Wamarekani wanawezaje kufanya uchaguzi bila purukushani za polisi?

Wamarekani wanawezaje kufanya uchaguzi bila purukushani za polisi?

Marekani hakuna chama chenye mihemko na ghadhabu, wala hakuna chama chenye kutegemea huruma za wananchi kwa kuibua hisia za kuibiwa kura hali ya kua chama hicho huenda hakina sera, hakiaminiki wala kukubalika kwa wananchi, na matokeo yake huibua fujo na vurugu ambazo zitawalazimu polisi kuingilia kati kujaribu kudhibiti makaidi hayo ya vyama vyao siasa ili amani ya uchaguzi itawale miongoni mwa wananchi wanaoshiriki uchaguzi huo Africa.

Ni hivyo tu.
Kinyume na hapo Chaguzi hususan Tanzania zinaweza kua za Amani zaid kuliko maeneo mengine yote duniani.

Na kuna viongozi wa vyama mbalimbali hususan Tanzania hawajiandikisha, halafu eti kwenye uchaguzi wao ndio watakaleta fujo, kwahiyo ni lazima polisi kuwadhibiti vilivyo 🐒
Ccm mtaacha lini kutumia policcm kuwakamata wapinzani na kuwaua?

Kwenye uandikishaji wa serikali za mitaa mmeshafanya mazingaombwe mengi yawasimamizi kukimbia na fomu, kuandikisha watoto chini ya miaka 18 na ujinga mwengine. Mbona hamjikubali mambo yawe huru ili tujue nguvu zenu za kukubalika?
 
Ccm mtaacha lini kutumia policcm kuwakamata wapinzani na kuwaua?

Kwenye uandikishaji wa serikali za mitaa mmeshafanya mazingaombwe mengi yawasimamizi kukimbia na fomu, kuandikisha watoto chini ya miaka 18 na ujinga mwengine. Mbona hamjikubali mambo yawe huru ili tujue nguvu zenu za kukubalika?
mpaka pale upinzani hususan Chadema watakapoacha kutoana kafara na kuchukuana misukule kwaajili tu ya uongozi wa chama wakati wa uchaguzi wa ndani, huku wakisingizia wengine..

viongozi wa upinzani mathalani Chadema wamefanya kazi kubwa sana kuhamasisha watu wasiende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

halafu tena hao hao wanalalamika zoezi kua na dosari na kasoro mbalimbali. Sasa unajiuliza hawa Chadema wanajua wanachotaka au hawaelewi?

Infact,
vyovyote itakavyokua, uchaguzi muhimu sana wa kihistiria wa serikali za mitaa baadae Nov 27, utafanyika kwa uhuru, uwaazi na kwa haki bila mbambamba ya chama au kikundi Fulani cha watu wa vurugu.

Ni wazi CCM itashinda kwa kishindo kikuu 🐒
 
Tofauti kubwa USA na nchi zetu za Africa ni viongozi wanaogombania nafasi za juu tayari ni matajiri sisi huku ni mtaji wa kutokea lakini kubwa kuliko yote system waliyonayo kuiba kidogo changamoto maana mshindi hapatikani kwa wingi wa kura ila ni majimbo ingekuwa ni wingi basi wangekuwa na shida sana. Uchaguzi wao ni kama chess ukijuwa kucheza vizuri basi unachukuwa nchi, uhitaji ubabe ila akili.
 
Inawezekanaje kwa miaka zaidi ya 200 Marekani kubwa hivyo yenye wapiga kura takribani milioni 150 na maelfu ya wagombea uchaguzi unafanyika bila wagombea kukamatwa na polisi au mikutano ya siasa kuzuiwa kama ambavyo huwa inatokea katika nchi ndogo za Africa?

Japo kipindi hiki Trump anaweza kuzua balaa akishindwa na kuharibu historia hiyo.

Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Hao wamekamilika kuwa binadamu kamili africa bado tunajitafuta.
Bado sana.

Na hapo Trump amekoswa koswa hadharani kuuliwa na risasi mara mbili na hakuna kelele. Watuhumiwa wamekamatwa na waliouliwa wameuliwa na sababu zipo wazi.
 
mpaka pale upinzani hususan Chadema watakapoacha kutoana kafara na kuchukuana misukule kwaajili tu ya uongozi wa chama wakati wa uchaguzi wa ndani, huku wakisingizia wengine..

viongozi wa upinzani mathalani Chadema wamefanya kazi kubwa sana kuhamasisha watu wasiende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

halafu tena hao hao wanalalamika zoezi kua na dosari na kasoro mbalimbali. Sasa unajiuliza hawa Chadema wanajua wanachotaka au hawaelewi?

Infact,
vyovyote itakavyokua, uchaguzi muhimu sana wa kihistiria wa serikali za mitaa baadae Nov 27, utafanyika kwa uhuru, uwaazi na kwa haki bila mbambamba ya chama au kikundi Fulani cha watu wa vurugu.

Ni wazi CCM itashinda kwa kishindo kikuu 🐒
20241025_083803.jpg

Kwahiyo mnatumia vyombo vya dola kuuwa wapinzani?
 
US is not a shithole country.

Marekani kuna mifumo ya uongozi wa nchi, nchi inaongozwa kwa mifumo shirikishi ambayo ipo wazi katika utendaji wake wa kazi, hakuna magenge ya watu ambayo yamehodhi madaraka yote katika kuitawala nchi.
Nchi hiyo inaongozwa kwa mujibu wa Katiba ya nchi, Sheria, Kanuni na taratibu zao ambazo wamejiwekea wao wenyewe kwa umoja wao. Wakati katika nchi nyingi Sana za kiafrika, nchi hizi zinatawaliwa kwa mtindo wa magenge ya watu.
Watawala wa nchi wamekuwa wakiunda magenge yao ya Utawala ili kuweza kuwatawala Wananchi na nchi husika kwa ujumla.

NB: Elewa tofauti iliyopo kati ya neno 'Uongozi' na 'Utawala.' Nchi nyingi za Afrika kuna Watawala, Hakuna Viongozi.
Boss naomba kufahamu tofauti ya uongozi na utawala, ukipata muda weka hapa tofauti kati ya hivyo viwili
 
Inawezekanaje kwa miaka zaidi ya 200 Marekani kubwa hivyo yenye wapiga kura takribani milioni 150 na maelfu ya wagombea uchaguzi unafanyika bila wagombea kukamatwa na polisi au mikutano ya siasa kuzuiwa kama ambavyo huwa inatokea katika nchi ndogo za Africa?

Japo kipindi hiki Trump anaweza kuzua balaa akishindwa na kuharibu historia hiyo.

Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Marekani sio wapumbavu kama ulivyo ccm na wanachama wake
 
Marekani hakuna chama chenye mihemko na ghadhabu, wala hakuna chama chenye kutegemea huruma za wananchi kwa kuibua hisia za kuibiwa kura hali ya kua chama hicho huenda hakina sera, hakiaminiki wala kukubalika kwa wananchi, na matokeo yake huibua fujo na vurugu ambazo zitawalazimu polisi kuingilia kati kujaribu kudhibiti makaidi hayo ya vyama vyao siasa ili amani ya uchaguzi itawale miongoni mwa wananchi wanaoshiriki uchaguzi huo Africa.

Ni hivyo tu.
Kinyume na hapo Chaguzi hususan Tanzania zinaweza kua za Amani zaid kuliko maeneo mengine yote duniani.

Na kuna viongozi wa vyama mbalimbali hususan Tanzania hawajiandikisha, halafu eti kwenye uchaguzi wao ndio watakaleta fujo, kwahiyo ni lazima polisi kuwadhibiti vilivyo 🐒
Ccm imejaa mapumbavu yanayoteka watu na kuogopa uchaguzi ndio halafu utayasikia tumeshinda Kwa kishindo huko machawa yakiona chadema yanatetemeka yakikosa msaada wa polis.
 
Marekani hakuna chama chenye mihemko na ghadhabu, wala hakuna chama chenye kutegemea huruma za wananchi kwa kuibua hisia za kuibiwa kura hali ya kua chama hicho huenda hakina sera, hakiaminiki wala kukubalika kwa wananchi, na matokeo yake huibua fujo na vurugu ambazo zitawalazimu polisi kuingilia kati kujaribu kudhibiti makaidi hayo ya vyama vyao siasa ili amani ya uchaguzi itawale miongoni mwa wananchi wanaoshiriki uchaguzi huo Africa.

Ni hivyo tu.
Kinyume na hapo Chaguzi hususan Tanzania zinaweza kua za Amani zaid kuliko maeneo mengine yote duniani.

Na kuna viongozi wa vyama mbalimbali hususan Tanzania hawajiandikisha, halafu eti kwenye uchaguzi wao ndio watakaleta fujo, kwahiyo ni lazima polisi kuwadhibiti vilivyo 🐒
CCM inacho kifanya Tanzania ni Kama yule JOGOO mwenye utawala wake kwenye BANDA na amejimilikisha kila mtetea so ni marufuku kwa JOGOO yeyote bandani kumpanda mtetea yeyote Wala KUWIKA.

The manipulation of polls is the real thing & is the only thing that helps CCM to remain in power they threat everything even THEIR OWN SHADOW.

Nukuu ya askofu ruwai'chi mmeandikisha mpaka watoto wa primary uchaguzi wa serikali za mitaa mnaogopaga Nini.

NB.
KUra ya mjinga na mwerevu zoteee Zina uzito sawa.. kwenye secret ballot ie kura ya mwerevu vs mjinga zoteee Zina uzito sawa.
 
Tofauti kubwa USA na nchi zetu za Africa ni viongozi wanaogombania nafasi za juu tayari ni matajiri sisi huku ni mtaji wa kutokea lakini kubwa kuliko yote system waliyonayo kuiba kidogo changamoto maana mshindi hapatikani kwa wingi wa kura ila ni majimbo ingekuwa ni wingi basi wangekuwa na shida sana. Uchaguzi wao ni kama chess ukijuwa kucheza vizuri basi unachukuwa nchi, uhitaji ubabe ila akili.
Hahahaaa yule jamaa wa kanda ya ziwa hakuwa tajiri?
 
Inawezekanaje kwa miaka zaidi ya 200 Marekani kubwa hivyo yenye wapiga kura takribani milioni 150 na maelfu ya wagombea uchaguzi unafanyika bila wagombea kukamatwa na polisi au mikutano ya siasa kuzuiwa kama ambavyo huwa inatokea katika nchi ndogo za Africa?

Japo kipindi hiki Trump anaweza kuzua balaa akishindwa na kuharibu historia hiyo.

Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Trump alishazua balaa baada ya kushindwa 2020,na atalizua safari hii akishindwa, uchaguzi ni kwa ajili ya watu walioelimika,jamii ngumbaru kama tz huwezi iachia ichague kiongozi,watu wanaotapeliwa na kiboko ya wachawi,babu wa loliondo,mafuta ya mwamposa na helkopta ya mbowe!
 
Bongo unakuta mitutu,mabomu ya machozi na magari ya maji ya kuwasha

Uchaguzi wa bongo ni kama vita
 
Shangaa hapo sasa, sisi ka uchaguzi tu haka ka serikali za mitaa yetu kanatutoa jasho kama si kamasi, mara wapokea form wamekimbia ofisi, mara tumeandikisha wasio wakazi wa mitaa, mara tumeaddika watoto under 18, mara yameingizwa majina hewa etc

Yaani kuufikia ustaarabu wa wamarekani tutahitaji miaka 1000 mingine toka leo. Mwaka 3024 yawezekana kwa watakaokuwepo.
Bila kusahau na wengine kupotezwa, kauwawa
So sad
 
CCM inacho kifanya Tanzania ni Kama yule JOGOO mwenye utawala wake kwenye BANDA na amejimilikisha kila mtetea so ni marufuku kwa JOGOO yeyote bandani kumpanda mtetea yeyote Wala KUWIKA.

The manipulation of polls is the real thing & is the only thing that helps CCM to remain in power they threat everything even THEIR OWN SHADOW.

Nukuu ya askofu ruwai'chi mmeandikisha mpaka watoto wa primary uchaguzi wa serikali za mitaa mnaogopaga Nini.

NB.
KUra ya mjinga na mwerevu zoteee Zina uzito sawa.. kwenye secret ballot ie kura ya mwerevu vs mjinga zoteee Zina uzito sawa.
Tz mpinzani akushinda uchaguzi eti huo ndiyo uchaguzi huru,wa wazi na wa haki 🤣

yaan chama cha siasa kiwekeze na kushawishi wananchi wakiunge mkono na kukichagua kwenye sanduku la kura,

halafu eti from no where mtu na chama chake aje kusema ati kaibiwa kura, sijui uchaguzi haukua huru and other useless complains halafu nilieshinda nibabaike nae? uliskia wapi..

kama kuna mambo ambayo CCM iko serious nayo, haioni haya, haioni aibu na wala haimuonei mtu au chama kingine huruma, ni maendeleo kwa wananchi na ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi inazoshiriki 🐒
 
Inawezekanaje kwa miaka zaidi ya 200 Marekani kubwa hivyo yenye wapiga kura takribani milioni 150 na maelfu ya wagombea uchaguzi unafanyika bila wagombea kukamatwa na polisi au mikutano ya siasa kuzuiwa kama ambavyo huwa inatokea katika nchi ndogo za Africa?

Japo kipindi hiki Trump anaweza kuzua balaa akishindwa na kuharibu historia hiyo.

Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
 
Back
Top Bottom