Wamarekani wanawezaje kufanya uchaguzi bila purukushani za polisi?

Wamarekani wanawezaje kufanya uchaguzi bila purukushani za polisi?

Ccm imejaa mapumbavu yanayoteka watu na kuogopa uchaguzi ndio halafu utayasikia tumeshinda Kwa kishindo huko machawa yakiona chadema yanatetemeka yakikosa msaada wa polis.
mihemko na ghadhabu zenyewe ndiyo hizi sasa 🤣

watu mtoaene kafara kwenye uchaguzi wa chama chenu kwaajili ya uongozi wa chama then mje kutia huruma na kusingizia sijui nini huko, kanakwamba kuna atakae babaika nanyi..

yaan Chadema ndiyo itetemeshe nini sasa kwa mfano gentleman? 🤣

uchaguzi wake wa ndani tu kila ukifika lazima kutoana roho, labda ni Chadema wenyewe ndiyo huogopa kuonja sumu kwa ulimi..

waliojaribu ndiyo hivyo tena dah hatunao 🐒
 
Wenzetu walianza kujenga nchi bila demokrasia,,Ndiyo wakaja kujenga demokrasia,,,sisi waafrika tumevamia hii political democracy ,,Ndiyo maaana nchi nyingi za kiafrika zinaingia kwenye migogoro ya kivita sababu ya siasa
 
Jibu ni ELIMU.polisi wa marekani wameelimika .Polisi wa marekani hufuata PGO na Sheria za Nchi Yao siyo matamko ya watawala kama walivyo polisi wa Tanzania na hawajipendekezi Kwa watawala.
I can not breath!
Unakumbuka hiyo skendo shidi ya polisi wa marekani?
 
Tz mpinzani akushinda uchaguzi eti huo ndiyo uchaguzi huru,wa wazi na wa haki 🤣

yaan chama cha siasa kiwekeze na kushawishi wananchi wakiunge mkono na kukichagua kwenye sanduku la kura,

halafu eti from no where mtu na chama chake aje kusema ati kaibiwa kura, sijui uchaguzi haukua huru and other useless complains halafu nilieshinda nibabaike nae? uliskia wapi..

kama kuna mambo ambayo CCM iko serious nayo, haioni haya, haioni aibu na wala haimuonei mtu au chama kingine huruma, ni maendeleo kwa wananchi na ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi inazoshiriki 🐒
Tatizo kubwa Tanzania 🇹🇿 tumeruhusu ⌛ ⏳ akili ndogo itawale akili kubwa.

Watu smart wote wapo kando na SIASA mfano humu ndani JF Kuna wadau very conshaz Ila wapo kando na SIASA sababu ya mambo mbali mbali.

Nakubaliana na wadau mbali mbali kua Kuna jitihada za ki maendeleo zimefanyika Tangu uhuru mpaka Sasa.

Uchafuzi wa 2020 tulishuhudia/ tumeshuhudia un equal & unfair election ever refer nape nnauye, Dc. Longido Marco N'gumbi.
Alinukuliwa akisema

anatokea kiongozi mwandamizi wa Serikali, mkuu wa Wilaya, mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Wilaya, na mjumbe wa kamati ya siasa ya CCM ya wilaya, anatoka hadharani na kutamka kwa uwazi kuwa ushindi wa CCM wakati wa uchaguzi huwa hautokani na kura za wananchi bali kwa uharamia ambao Serikali huwa inafanya dhidi ya wapinzani huko maporini.

Sawa mnashinda kwa kishindo kwa faida ya NANI?!

Huduma mbovu za elimu,afya ,mabarabara, madawati, madawa, rushwa, Hali ngumu ya Maisha, umaskini ulio topea .

Miaka ya 1961 tulikua karibu uchumi sawa na china...why great leap??! Why tatizo ni serikali ya CCM ku hodhi Tanzania Kama Mali yake binafsi na ikitokea mtu mwenye kwenda kinyume na maCCM na mifumo yao ovu unazawadiwa JENEZA.

Ni gharama kubwa Sana kuwa mpinzani kwenye siasa za SHITHOLE COUNTRIES wapo walio SEMA wazi wazi kunyimwa ushirikiano na wakurugenzi wa halmashauli,wakuu wa wilaya,mkoa N.k falsafa na tafsiri ya vyama vya upinzani haijawai kueleweka kwa miongo mingi Sana kwa baadhi ya watu hapa nyumbani Tz.

Unakuta mtu mzima anasifia mpaka AUTRO 😂
 
Inawezekanaje kwa miaka zaidi ya 200 Marekani kubwa hivyo yenye wapiga kura takribani milioni 150 na maelfu ya wagombea uchaguzi unafanyika bila wagombea kukamatwa na polisi au mikutano ya siasa kuzuiwa kama ambavyo huwa inatokea katika nchi ndogo za Africa?

Japo kipindi hiki Trump anaweza kuzua balaa akishindwa na kuharibu historia hiyo. Awamu hii tujiandae kuwapatanisha Wamarekani.

Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Hiyo yote ndipo tunapata utofauti wa ubinadamu/ustaarabu versus unyaninyani na njaa-kali.
 
Tatizo kubwa Tanzania 🇹🇿 tumeruhusu ⌛ ⏳ akili ndogo itawale akili kubwa.

Watu smart wote wapo kando na SIASA mfano humu ndani JF Kuna wadau very conshaz Ila wapo kando na SIASA sababu ya mambo mbali mbali.

Nakubaliana na wadau mbali mbali kua Kuna jitihada za ki maendeleo zimefanyika Tangu uhuru mpaka Sasa.

Uchafuzi wa 2020 tulishuhudia/ tumeshuhudia un equal & unfair election ever refer nape nnauye, Dc. Longido Marco N'gumbi.
Alinukuliwa akisema

anatokea kiongozi mwandamizi wa Serikali, mkuu wa Wilaya, mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Wilaya, na mjumbe wa kamati ya siasa ya CCM ya wilaya, anatoka hadharani na kutamka kwa uwazi kuwa ushindi wa CCM wakati wa uchaguzi huwa hautokani na kura za wananchi bali kwa uharamia ambao Serikali huwa inafanya dhidi ya wapinzani huko maporini.

Sawa mnashinda kwa kishindo kwa faida ya NANI?!

Huduma mbovu za elimu,afya ,mabarabara, madawati, madawa, rushwa, Hali ngumu ya Maisha, umaskini ulio topea .

Miaka ya 1961 tulikua karibu uchumi sawa na china...why great leap??! Why tatizo ni serikali ya CCM ku hodhi Tanzania Kama Mali yake binafsi na ikitokea mtu mwenye kwenda kinyume na maCCM na mifumo yao ovu unazawadiwa JENEZA.

Ni gharama kubwa Sana kuwa mpinzani kwenye siasa za SHITHOLE COUNTRIES wapo walio SEMA wazi wazi kunyimwa ushirikiano na wakurugenzi wa halmashauli,wakuu wa wilaya,mkoa N.k falsafa na tafsiri ya vyama vya upinzani haijawai kueleweka kwa miongo mingi Sana kwa baadhi ya watu hapa nyumbani Tz.

Unakuta mtu mzima anasifia mpaka AUTRO 😂
Point Nzito, muhimu, makini na ya maana sana Paragraph ya kwanza.

hilo ni janga ambalo hayupo anaefikiria dawa au suluhu yake. watu hawataki compitions na ndiyo maana wanajipa umuhimu mkubwa kupindukia.

na wenye akili za wastani wamekua na experience ya uongozi zaid kushinda hao wasomi na wenye akili kubwa kiasi kwamba hivi sasa wameamua kuzira na kususia kujiandikisha kwajili ya uchaguzi na hata kupiga kura hawataki, walidhani ati hiyo ndiyo ahuweni yao.

Infact,
mtu hata alie machozi ya damu, yaani hashiriki michakato ya uchaguzi halafu eti aje kushinda uchaguzi tena kwa kulalamikia kitu asichokua nacho? labda kama anashindana pekeyake au kama anashindana na vyama ambavyo havitumii wala kuwekeza rasilimali watu, sera na mipango, fedha, hali na mali za kushawishi wananchi na kushinda uchaguzi.

Elections is very expensive process.
Huna pesa usisingizie kuibiwa kura au eti sijui mawakala wako wamefanyaje na blablaa gani sijui huko 🐒
 
Back
Top Bottom