Yaani FaizaFoxy huu ni zaidi ya unyama..... halafu wanajidai kutuletea misaada..... too sad
naomba unittumie hicho kitabu cha richardHakuna msaada wa bure bila maslahi yao.
Huwa wanasema siku zote kuwa wana "interests" zao.
Ukitaka kuwajuwa hawa watu kuwa ni wanyama soma kitabu cha Richard Seymour Hall, uone Vasco Da Gama alifanya nini huku pwani ya kwetu.
Soma kuhusu Argentina, kwanini hakuna watu weusi huko.
Lakini ni sisi wenyewe tunawatukuza, towa "z" katika mzungu inabaki nini?
Huo ndio uwezo wetu wa kufikiritumenunua ndege na tumeacha kitoa mikopo kwa wanafunzi
Nani Humu ndani aliwahi kusoma kitu kinaitwa The Presidential Apology??? Aliitoa Mzee Clinton January sikumbuki Mwaka kuhusu Mkakati wa kutengeneza Kaswende na kuwapandikiza Weusi na hata pale ambapo Dawa ilipatikana bado Weusi walinyimwa? Ni issue ya 1940s sio mbali. Ngoja niitafute niiweke hapa muone
Nina imani huyu ni mkuu Deception amekuja na kivingine,ameingia ID tofautiUnapokwenda hospitali haupimwi UKIMWI bali wanapima antibody ambazo mwili unakuwa unatoa ili kupambana na maradhi.Cha ajabu badala wakuone huumwi wanasema unaumwa,hili ni ajabu la kwanza...
Huyo aliyepimwa walipima nini? kwanini alikwenda hospital? Alikuwa anaumwa nini?
Kimsingi kilichomuua siyo kingine bali kuna maradhi specific alikuwa anaumwa,ARVs hazitibu ugonjwa wowote ndani ya mwili wa binadamu,yes hazitibu chochote na hizo ndiyo zilisababisha kifo cha huyo ndugu kwa kasi kubwa....
Sema alikuwa anaumwa nini achana na mambo ua UKIMWI kwasababu hilo ni tatizo linaloondolewa na chakula bora tu....
Sema historia ya maisha yake...
[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDena[/HASHTAG]
Ni kweli mkuu.. Wenzetu wanajua sana kutuchekea usoni.. Kumbe moyoni wanamipango negative tusio ijua.
Unafikiria kirahisi sana......Nina imani huyu ni mkuu Deception amekuja na kivingine,ameingia ID tofauti
Nimekuelewa......Hata huko unakokuzungumza wewe ndiyo kutengeneza kwenyewe huko.
Dah! Mtihani mkubwa umenipa, sitoweza kukutumia kwa sasa lakini nimeshawahi kukiona copy yake kwa wale wanaotembeza vitabu Dar. Ukiwaona waulizie.naomba unittumie hicho kitabu cha richard
waafrica wapumbavu, wazungu utasikia hata nyanya au kitunguu wanataka ambacho hakijapandwa kwa mbolea kwa sababu huu mchezo wanaujua. Sisi badala ya kusomesha vijana tuwe na labs za utafiti za kufa MTU tunaenda kununua ndege. huu mchezo hauhitaji hasira, tutakufa hadi tuishe.
Africa inabidi ubadilike, itegemee technology yake , itegemee watu wake, itegemee maarifa take , iwekeze kwenye raslimali watu na kutengeneza miundombinu itakayo saidia kuleta mazingira rahisi kwa vijana wa kiafrica kuleta mapinduzi ya viwanda.
Unafikiria kirahisi sana......
Inaonekana wewe ni mgeni humu ndiyo maana unapata hitimisho rahisi rahisi namna hii...
Haya ni matokeo ya kudhani elimu haipatikani kwa watu wengine isipokuwa watu fulani tu,hasara kubwa sana hii....
Hakuna msaada wa bure bila maslahi yao.
Huwa wanasema siku zote kuwa wana "interests" zao.
Ukitaka kuwajuwa hawa watu kuwa ni wanyama soma kitabu cha Richard Seymour Hall, uone Vasco Da Gama alifanya nini huku pwani ya kwetu.
Soma kuhusu Argentina, kwanini hakuna watu weusi huko.
Lakini ni sisi wenyewe tunawatukuza, towa "z" katika mzungu inabaki nini?
Mkuu tuna changamoto nyingi sana lakini changamoto kubwa ni mtindo wetu wa kufikiri uivyo,sijui tuna matatizo gani kwakweli....Heshima yako mkuu.....wewe ni miongoni mwa GREAT THINKER wachache waliobakia humu.....
Fikra za vijana wa sasa utadhani bongo zao....zimepigwa sindano ya ujinga na upumbavu.....
Hawa ndio tegemeo letu kama taifa....
Hakika ni hasara....
Hili ni janga ku la kitaifa ndugu, elimu imepigwa teke la kifo na hakuna anayeonekana kujali si rais wala nani.tumenunua ndege na tumeacha kitoa mikopo kwa wanafunzi
waafrica wapumbavu, wazungu utasikia hata nyanya au kitunguu wanataka ambacho hakijapandwa kwa mbolea kwa sababu huu mchezo wanaujua. Sisi badala ya kusomesha vijana tuwe na labs za utafiti za kufa MTU tunaenda kununua ndege. huu mchezo hauhitaji hasira, tutakufa hadi tuishe.
Africa inabidi ubadilike, itegemee technology yake , itegemee watu wake, itegemee maarifa take , iwekeze kwenye raslimali watu na kutengeneza miundombinu itakayo saidia kuleta mazingira rahisi kwa vijana wa kiafrica kuleta mapinduzi ya viwanda.