Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wewe ni Zero # Case closed,Kwa hiyo baba Ako ana akili kuliko Martin Luther king Jr tuambie? Au wewe
To set the record straight to me, given the American civil rights struggle, I will choose Malcom X over Martin. To me, Martin was clever but Malcom was a fighter, he took no nonsense from white.
 
To set the record straight to me, given the American civil rights struggle, I will choose Malcom X over Martin. To me, Martin was clever but Malcom was a fighter, he took no nonsense from white.
A man of no none sense ,by any means necessary! If someone touch you sent him to cemetery.
 
Hii JF ni jukwaa la Waafrika basically,kwa hiyo haupaswi kuwatukana Waafrika hapa. Usiwagawe Waafrika.
Fifty Cent ni illiterate rapper. Kwa nini maneno yake yaonekane (kwako) kwamba yanawawakilisha Aftican Americans wote?
 
Yaani nchi yako inapumulia mashine uko busy na Marekani are you serious?Shule zako tu zile unazisifiaga hazina vitabu Wala walimu unashindana wamarekani...maajabu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Devide n rule bado ina apply kwao
 
Hawa ni wapuuzi sana wanadai eti wao ndo wayahudi na Marekani ni yerusalem yaao, mwafrika ni mwafrika tu hata aende vatikani
 
Huko C.H wana magroup yao wanatuponda sana waafrica wanajiona wao ni bora zaidi .

Ukijichanganya ukaingia kuwasikiliza wakagundua wewe ni mwafrica utaoga matusi yote.
Wanadai Wana ubaguzi Bora hata ubaguzi wa mzungu kuliko black Americans. Yaani huwa wanataka kuitwa Americans Sasa wakiitwa African American Wana mind mno wanadai kuwa mbona wanaotoka Europe hawaitwi Europe American huyu Ni myweather alikataa kuwa yeye sio African American
 
Yaani nchi yako inapumulia mashine uko busy na Marekani are you serious?Shule zako tu zile unazisifiaga hazina vitabu Wala walimu unashindana wamarekani...maajabu!
Miaka hii wanaume wameisha kabisa. Miaka hii vijana wamekuwa wa hovyo sana. Anajisifia ujinga. Nchi yake imemshinda... Anahangaika na mitandao ya wengine
 
Miaka hii wanaume wameisha kabisa. Miaka hii vijana wamekuwa wa hovyo sana. Anajisifia ujinga. Nchi yake imemshinda... Anahangaika na mitandao ya wengine
Kasema yeye kawachallenge balaa Hadi wamemfollow kama aftatu hivi😁😁😁Bora na wewe ushangae Mzee kifimbocheza
 
Nasubiri mkuu LIKUD Nkaangalie huko alivyo watoa nishai black americA.

Ni kwenye page ya 50cent au page iliyo repost? Inaitwaje hio page nikajionee na mimi?
Kodi walipe wao, kina LIKUD waliokimbia kwao wanataka wao ndio wapewa FHC!
 
Kwa ufupi wanachukia kuitwa African Americans they are black Americans
 
Africans looking down on AA and vice versa is the stupidest thing ever.

Waafrika wanajiona Bora wakati nchi zao ni shitholes, can't change shit and leave in droves to enjoy fruits off of AA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…