Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Kipochi manyoya huu misamiati unamaanisha nini?
Tatizo vijana wa sasa mnawaza sana ngono,,,,Mimi nikisema Mzee kifimbo cheza malegend tuliosoma gazeti la Sani wote tunamjua,ndio maana huoni hata yeye hajapanic maana anajua tabia za huyo mtoto
 
Where are talking about Definition of illegal immigrants, Kwa wakati up kama unajua historia Slave trade was Legitimate business (Biashara ya utumwa enzi ya Ukoloni haikuwa biashara haramu)ilikuwa inaendashewa kisheria kabisa

Kwa hiyo kwako wewe biashara ya utumwa ilikuwa ni biashara halali sio?
 
Tatizo vijana wa sasa mnawaza sana ngono,,,,Mimi nikisema Mzee kifimbo cheza malegend tuliosoma gazeti la Sani wote tunamjua,ndio maana huoni hata yeye hajapanic maana anajua tabia za huyo mtoto
Mzee kifimbocheza ni neno la tafsida tu kutufunika macho km Mambo kwa Soksi hio wimbo ilipotoka ulikwepo na unajua maana yake?
 
Nimekujibu Kwa wakati huo ilikuwa halali, kama ilivyokiwa apartheid policy(Ubaguzi wa rangi ,South Africa ilikuwa endorsed na Serikali za kikoloni
Kwa hiyo ilikuwa ni biashara haramu ila iliyo halalishwa na wazungu kwa sababu walikuwa na faida nayo si Ndio? Sawa na ilivyo kwa suala la ushoga katika baadhi ya nchi ambazo zimehalalisha ushoga. Kwa hiyo ushoga ni jambo halali kwa sababu limehalalishwa kisheria?
 
Kwa hiyo ilikuwa ni biashara haramu ila iliyo halalishwa na wazungu kwa sababu walikuwa na faida nayo si Ndio? Sawa na ilivyo kwa suala la ushoga katika baadhi ya nchi ambazo zimehalalisha ushoga. Kwa hiyo ushoga ni jambo halali kwa sababu limehalalishwa kisheria?
Elewa point, Anything illegal can be made Legal but it's not Legal/ moral accepted.Sasa Ushoga ni legal kwao ila natural it's immoral acts.
 
Tatizo lako mtoa mada unapoteza muda wako kubishana na vilaza. Ni hivi wewe Joannah na wenzako,anachokisema mtoa ni kwamba 50 Cent hapaswi kuwanyanyapaa wahamiaji haramu kwa vile hata yeye pia ni kitukuu wa wahamiaji haramu kwa sababu babu zake waliingia Marekani kiharamu.Walichukuliwa Africa kiharamu na kwenda kuuzwa Marekani kiharamu kupitia biashara haramu ya utumwa. Kwa hiyo hata wao wamarekani weusi pia kimsingi ni wahamiaji haramu. Tofauti yao na un documented immigrants ni kwamba wao wapo documented ila kimsingi wao pia ni haramu.

Ni sawa tunaposema mtoto haramu mtoto huyo ni haramu kwa sababu amezaliwa wazazi wake wamekutana kiharamu.

Hata wewe binti kiziwi ukibakwa akazaliwa mtoto huyo mtoto ataitwa haramu sio kwa sababu ni haramu ila kwa sababu akipatikana kiharamu.

Mtoa mada usipoteze muda wako kubishana na WAJINGA kuna WAJINGA wengi sana hapa jukwaani
Wewe na mleta mada akili zenu zinafanana.....unaelewa maana ya illegal migrant?yaani watu wazazi wao wameingia huko 16century ardhi ikiwa mapori,mpaka wameijenga kupitia kilimo na viwanda,halafu Leo unakuja kusema ni illigal migrant?
 
Mzee kifimbocheza ni neno la tafsida tu kutufunika macho km Mambo kwa Soksi hio wimbo ilipotoka ulikwepo na unajua maana yake?
Umewahi kuliona gazeti la Sani hebu tuanzie hapo?nisije kutana na bishana na katoto changu ka late 1900😁😁😁😁
 
Britain walizua Slave Trade mwa 1803 badae Usa 1807,Kwa kutunga sheria ila mwanzo hao hao ilikuwa ni legal business,
Sikupingi mkuu. Mimi ninacho zungumzia ni uhalali wa kuhalalisha biashara ya kuwauza binadamu kama bidhaa. Au kwa kukusaidia kuelewa ninazungumzia uhalali wa kupitisha sheria ya kuuza watumwa. Nimekupa na mfano kabisa hapo South Africa bunge limepitisha sheria ya kuhahalisha ushoga. Kwa hiyo tunasema ushoga ni jambo halali kwa sababu sheria imeruhusu?
 
Wewe na mleta mada akili zenu zinafanana.....unaelewa maana ya illegal migrant?yaani watu wazazi wao wameingia huko 16century ardhi ikiwa mapori,mpaka wameijenga kupitia kilimo na viwanda,halafu Leo unakuja kusema ni illigal migrant?
An illegal immigrant is a foreign person who lives in a country without official permission. They are also known as undocumented immigrants. Sasa hao Black Americans ni documented anawaitaje Illegal immigrants
 
Wewe na mleta mada akili zenu zinafanana.....unaelewa maana ya illegal migrant?yaani watu wazazi wao wameingia huko 16century ardhi ikiwa mapori,mpaka wameijenga kupitia kilimo na viwanda,halafu Leo unakuja kusema ni illigal migrant?

Swali kwako madam. Kuwachukua waafrika kwa nguvu na kwenda kuwatumikisha kazi America lilikuwa jambo halali au haramu?
 
An illegal immigrant is a foreign person who lives in a country without official permission. They are also known as undocumented immigrants. Sasa hao Black Americans ni documented anawaitaje Illegal immigrants
Haelewi hata anaongea Nini kakurupukia kuja kujifanya ananielekeza ujinga
 
Swali kwako madam. Kuwachukua waafrika kwa nguvu na kwenda kuwatumikisha kazi America lilikuwa jambo halali au haramu?
Kwa muktadha huo unaotaka kwenda nao,Slave trade was legal trade until abolition of slave trade 1807.....so waliingia legally
 
Una Majibu Logical madam nakupa mau.
The question is simply this: Can a negro, whose ancestors were imported into this country, and sold as slaves become a member of the political community formed and brought into existence by the Constitution of the United States?...

We think they are not, and that they are not included under the word “citizen” in the Constitution and can therefore claim none of the rights and privileges which that instrument provides…

No one of that race had ever migrated to the United States voluntarily; all of them had been brought here as articles of merchandise…and so far inferior, that they had no rights which the white man was bound to respect. Reference :American Black Holocaust Museum.,.....Ukisoma hapa utaelewa mentality ya mtoa post Iko sawa na Wazungu walivyo kuwa enzi hizo.
 
An illegal immigrant is a foreign person who lives in a country without official permission. They are also known as undocumented immigrants. Sasa hao Black Americans ni documented anawaitaje Illegal immigrants
Najua umesoma sheria. Mimi sijasoma sheria ila Nina ufahamu kidogo kuhusu kitu kinaitwa Jurisprudence. Somo la jurisprudence linakukataza kuwaza namna hii mkuu.

Mwanasheria anatakiwa kutafsiri sheria kama zinavyo takiwa kuwa na sio kama zilivyo andikwa..

wewe una tafsiri sheria kama ilivyo andikwa kwenye hilo desa ulilosoma ndio maana umeshindwa kumuelewa mtoa mada.

Mtoa mada amewaza nje ya box.

Amekataa kufungwa na hii definition ya immigrant ambayo umekaririshwa chuoni.

Sheria: ndoa kati ya mwanaume na binamu yake ni haramu.

Kesi imekuja mbele yako. Mwanamke aliolewa na binamu yake wakazaa watoto watano mume kafariki kaacha mali umetokea mgogoro wa mali kesi imefika kwako then una rule out against the widower kwa kusema hastahili kurithi mali kwa sababu ndoa yake ilikuwa haramu lakini kumbe kama ungetumia akili yako kidogo na ku apply knowledge yako ya jurisprudence ungegundua kwamba judge unapokuwa una judge baadhi yakesi unatakiwa utazame na other facts kama vile historical and cultural.

Mwisho wa siku unakuja kugundua kumbe huyu mjane anatoka katika jamii na tamaduni ambazo kwazo ni kawaida mtu na binamu kuoana.

Soma vitabu mkuu upanue ubongo wako.

Msomi anae kariri ni hatari ni mjinga alie changamka
 
Back
Top Bottom