Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Biashara ya utumwa ilikuwa halali au haramu?M
Jinga jingine, how do you say Africa - American waliopelekewa kitumwa ni Illegal immigrants?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara ya utumwa ilikuwa halali au haramu?M
Jinga jingine, how do you say Africa - American waliopelekewa kitumwa ni Illegal immigrants?
Tatizo vijana wa sasa mnawaza sana ngono,,,,Mimi nikisema Mzee kifimbo cheza malegend tuliosoma gazeti la Sani wote tunamjua,ndio maana huoni hata yeye hajapanic maana anajua tabia za huyo mtotoKipochi manyoya huu misamiati unamaanisha nini?
Where are talking about Definition of illegal immigrants, Kwa wakati up kama unajua historia Slave trade was Legitimate business (Biashara ya utumwa enzi ya Ukoloni haikuwa biashara haramu)ilikuwa inaendashewa kisheria kabisaBiashara ya utumwa ilikuwa halali au haramu?
Where are talking about Definition of illegal immigrants, Kwa wakati up kama unajua historia Slave trade was Legitimate business (Biashara ya utumwa enzi ya Ukoloni haikuwa biashara haramu)ilikuwa inaendashewa kisheria kabisa
Nimekujibu Kwa wakati huo ilikuwa halali, kama ilivyokiwa apartheid policy(Ubaguzi wa rangi ,South Africa ilikuwa endorsed na Serikali za kikoloniKwa hiyo kwako wewe biashara ya utumwa ilikuwa ni biashara halali sio?
Mzee kifimbocheza ni neno la tafsida tu kutufunika macho km Mambo kwa Soksi hio wimbo ilipotoka ulikwepo na unajua maana yake?Tatizo vijana wa sasa mnawaza sana ngono,,,,Mimi nikisema Mzee kifimbo cheza malegend tuliosoma gazeti la Sani wote tunamjua,ndio maana huoni hata yeye hajapanic maana anajua tabia za huyo mtoto
Kwa hiyo ilikuwa ni biashara haramu ila iliyo halalishwa na wazungu kwa sababu walikuwa na faida nayo si Ndio? Sawa na ilivyo kwa suala la ushoga katika baadhi ya nchi ambazo zimehalalisha ushoga. Kwa hiyo ushoga ni jambo halali kwa sababu limehalalishwa kisheria?Nimekujibu Kwa wakati huo ilikuwa halali, kama ilivyokiwa apartheid policy(Ubaguzi wa rangi ,South Africa ilikuwa endorsed na Serikali za kikoloni
Britain walizua Slave Trade mwa 1803 badae Usa 1807,Kwa kutunga sheria ila mwanzo hao hao ilikuwa ni legal business,Kwa hiyo kwako wewe biashara ya utumwa ilikuwa ni biashara halali sio?
Elewa point, Anything illegal can be made Legal but it's not Legal/ moral accepted.Sasa Ushoga ni legal kwao ila natural it's immoral acts.Kwa hiyo ilikuwa ni biashara haramu ila iliyo halalishwa na wazungu kwa sababu walikuwa na faida nayo si Ndio? Sawa na ilivyo kwa suala la ushoga katika baadhi ya nchi ambazo zimehalalisha ushoga. Kwa hiyo ushoga ni jambo halali kwa sababu limehalalishwa kisheria?
Wewe na mleta mada akili zenu zinafanana.....unaelewa maana ya illegal migrant?yaani watu wazazi wao wameingia huko 16century ardhi ikiwa mapori,mpaka wameijenga kupitia kilimo na viwanda,halafu Leo unakuja kusema ni illigal migrant?Tatizo lako mtoa mada unapoteza muda wako kubishana na vilaza. Ni hivi wewe Joannah na wenzako,anachokisema mtoa ni kwamba 50 Cent hapaswi kuwanyanyapaa wahamiaji haramu kwa vile hata yeye pia ni kitukuu wa wahamiaji haramu kwa sababu babu zake waliingia Marekani kiharamu.Walichukuliwa Africa kiharamu na kwenda kuuzwa Marekani kiharamu kupitia biashara haramu ya utumwa. Kwa hiyo hata wao wamarekani weusi pia kimsingi ni wahamiaji haramu. Tofauti yao na un documented immigrants ni kwamba wao wapo documented ila kimsingi wao pia ni haramu.
Ni sawa tunaposema mtoto haramu mtoto huyo ni haramu kwa sababu amezaliwa wazazi wake wamekutana kiharamu.
Hata wewe binti kiziwi ukibakwa akazaliwa mtoto huyo mtoto ataitwa haramu sio kwa sababu ni haramu ila kwa sababu akipatikana kiharamu.
Mtoa mada usipoteze muda wako kubishana na WAJINGA kuna WAJINGA wengi sana hapa jukwaani
Umewahi kuliona gazeti la Sani hebu tuanzie hapo?nisije kutana na bishana na katoto changu ka late 1900😁😁😁😁Mzee kifimbocheza ni neno la tafsida tu kutufunika macho km Mambo kwa Soksi hio wimbo ilipotoka ulikwepo na unajua maana yake?
Sikupingi mkuu. Mimi ninacho zungumzia ni uhalali wa kuhalalisha biashara ya kuwauza binadamu kama bidhaa. Au kwa kukusaidia kuelewa ninazungumzia uhalali wa kupitisha sheria ya kuuza watumwa. Nimekupa na mfano kabisa hapo South Africa bunge limepitisha sheria ya kuhahalisha ushoga. Kwa hiyo tunasema ushoga ni jambo halali kwa sababu sheria imeruhusu?Britain walizua Slave Trade mwa 1803 badae Usa 1807,Kwa kutunga sheria ila mwanzo hao hao ilikuwa ni legal business,
An illegal immigrant is a foreign person who lives in a country without official permission. They are also known as undocumented immigrants. Sasa hao Black Americans ni documented anawaitaje Illegal immigrantsWewe na mleta mada akili zenu zinafanana.....unaelewa maana ya illegal migrant?yaani watu wazazi wao wameingia huko 16century ardhi ikiwa mapori,mpaka wameijenga kupitia kilimo na viwanda,halafu Leo unakuja kusema ni illigal migrant?
Wewe na mleta mada akili zenu zinafanana.....unaelewa maana ya illegal migrant?yaani watu wazazi wao wameingia huko 16century ardhi ikiwa mapori,mpaka wameijenga kupitia kilimo na viwanda,halafu Leo unakuja kusema ni illigal migrant?
Haelewi hata anaongea Nini kakurupukia kuja kujifanya ananielekeza ujingaAn illegal immigrant is a foreign person who lives in a country without official permission. They are also known as undocumented immigrants. Sasa hao Black Americans ni documented anawaitaje Illegal immigrants
Kwa muktadha huo unaotaka kwenda nao,Slave trade was legal trade until abolition of slave trade 1807.....so waliingia legallySwali kwako madam. Kuwachukua waafrika kwa nguvu na kwenda kuwatumikisha kazi America lilikuwa jambo halali au haramu?
Una Majibu Logical madam nakupa mau.Kwa muktadha huo unaotaka kwenda nao,Slave trade was legal trade until abolition of slave trade 1807.....
The question is simply this: Can a negro, whose ancestors were imported into this country, and sold as slaves become a member of the political community formed and brought into existence by the Constitution of the United States?...Una Majibu Logical madam nakupa mau.
Najua umesoma sheria. Mimi sijasoma sheria ila Nina ufahamu kidogo kuhusu kitu kinaitwa Jurisprudence. Somo la jurisprudence linakukataza kuwaza namna hii mkuu.An illegal immigrant is a foreign person who lives in a country without official permission. They are also known as undocumented immigrants. Sasa hao Black Americans ni documented anawaitaje Illegal immigrants
LIKUD hapa huna mke mkuuKwa muktadha huo unaotaka kwenda nao,Slave trade was legal trade until abolition of slave trade 1807.....so waliingia legally