Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Mi niolewe na mjuaji kama wewe si utanipa talaka kesho yake maana humo ndani kutawaka moto😅.....zile shule zinachangamsha akili Sasa hapo umenunua uniform zako na mfagio na 200 ya uji hivi kweli akili itachangamka wewe🤔🤔🤔🤔
Kwa mwanamke anae nipa utamu wala sio mjuaji. Am a gentleman kama alivyo kuwa J.K enzi zake. A nice daddy
 
Mi niolewe na mjuaji kama wewe si utanipa talaka kesho yake maana humo ndani kutawaka moto😅.....zile shule zinachangamsha akili Sasa hapo umenunua uniform zako na mfagio na 200 ya uji hivi kweli akili itachangamka wewe🤔🤔🤔🤔
Kayumba ndo zinawafanya watoto wana changamka na kuwa wakakamavu.

Shule za English Medium anaingia mbu tu darasa zima wanaanza kulia na ni darasa la saba hao
 
Kayumba ndo zinawafanya watoto wana changamka na kuwa wakakamavu.

Shule za English Medium anaingia mbu tu darasa zima wanaanza kulia na ni darasa la saba hao
Umeuanza na Kayumba yako,ndio maana hujui maana ya illegal migrant na Illegal trade🏃🏃🏃
 
Kuna nyuzi zingine huwa naziangalia na kuzidharau tu. Hata kuchangia naona ghasia tu.

Kuna watu wana uwezo mkubwa wa kuanzisha thread na kupost kuliko wa kufikiri.
Wewe hapo mi ndio ukinipa story za Texas sijui St Monica ndio nakuamini,eti na huyu mwenzangu tunaengalia wote prison break anaanza kunisimulia mambo ya state jamani,anasema eti na huko hamna madawati na wamarekani wanakufa majumbani hawana hata Panadol 🙆🙆
 
Wewe hapo mi ndio ukinipa story za Texas sijui St Monica ndio nakuamini,eti na huyu mwenzangu tunaengalia wote prison break anaanza kunisimulia mambo ya state jamani,anasema eti na huko hamna madawati na wamarekani wanakufa majumbani hawana hata Panadol 🙆🙆
Huyo siku zote najua yuko Vingunguti.

Hata mimi nimeshangaa.
 
Hawa jamaa wana utoto mwingi sana ndio maana serikali ya Marekani haiwahitaji and soon their place in the United States will be replaced by African, Jamaican and Haitian immigrants plus other immigrants.


Na huo ndio ukweli kwa tulio wahi kufika Marekani tunaujua huu ukweli. Maeneo yalikuwa kuwa predominantly occupied BY African Americans now African Immigrants ndio wana take over.

Kwa mfano pale New York , the Bronx and Staten Island zimekuwa kama Lagos. Soon zitaanza kuitwa jina New Lagos or something.


Back to the topic. Picha lilianza kuhusu post ya 50 Cent' s reaction about the news that California Government is offering free healthcare to un documented immigrants.

50 anahoji how comes mnatoa free health care kwa un documented immigrants wakati wamarekani weusi wana ishi in abject poverty..

Wamarekani weusi kama kawaida yao waka anza kuiponda serikali ya California huku maelfu ya immigrants hasa hasa wa Mexico na baadhi kutoka Nigeria wakiiunga mkono serikali ya California kwa hoja zenye mashiko.

Mimi nilianza kwa kusema

"People in the government of California who have passed that decision are experts who know better than an everage guy like 50 Cent who all he knows is just rapping and trolling his fellow black people on the internet"

Hapa wakaja na hoja kama vile "50 is not an evarage guy" blah blah blah then nikawatwanga na bomu hili hapa chini[emoji116]

' African Americans too are illegal immigrants cause they were shipped from Africa illegally . Trans Attlantic Slave trade was illegal ab initio"

Outcome :

1. Wengi wao walikosa majibu.

2. Baadhi yao walikubaliana na hoja yangu.

3. Immigrants waliunga mkono hoja yangu mamia kwa mamia.

4. Nimepata follows elfu 3 na ushee kwenye page yangu ya instagram courtesy to my comment.


Tangu niwe karibu na hawa watu Nimetokea kuwadharau sana.. pia nina washangaa sana watanzania ambao bado wana washobokoea hawa watu na culture yao.. very hopeless kabisa
Kuna wale ndugu zetu wa damu walio sahau asili zao ,watakuwa wanafanana na hao.
 
Wewe hapo mi ndio ukinipa story za Texas sijui St Monica ndio nakuamini,eti na huyu mwenzangu tunaengalia wote prison break anaanza kunisimulia mambo ya state jamani,ana

sema eti na huko hamna madawati na wamarekani wanakufa majumbani hawana hata Panadol 🙆🙆
Umemuita mungu wako kiranga kajibu maombi yako basi umefurahi mwenyewe🤣🤣🤣.

Ila Ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Hakuna kilicho badilika kwenye hoja yangu.
 
Uhalifu hutokana na kukosa fursa,mosi ya elimu,pili ajira sababu ya kukosa elimu,weusi huko marekani njia ya mkato kujikomboa ni michezo na burudani
Wapo wahamiaji wengi ambao ni black kutoka Nigeria, Ghana, Jamaica m.k wamesoma Marekani na sasa hivi ni madaktari wakubwa n.k

Black wa Marekani hawataki kusoma. Na black mwenzao akisoma wanasema anajifananisha na mzungu. Wanamchukulia kwenye jamii yao kama msaliti.

Au black mwenzao akiongea kingereza vizuri wanamchukulia ni msaliti ambaye anajifananisha na mzungu.

Ni watu ambao ni wahuni na hawataki shule. Hawa jamaa culture yao ndiyo inawaharibu.

Jamii yao haihamasishani kwenye kusoma. Wanahamasishana kwenye michezo na uimbaji. Kwenye suala la elimu hawataki kulisikia.
 
Wapo wahamiaji wengi ambao ni black kutoka Nigeria, Ghana, Jamaica m.k wamesoma Marekani na sasa hivi ni madaktari wakubwa n.k

Black wa Marekani hawataki kusoma. Na black mwenzao akisoma wanasema anajifananisha na mzungu. Wanamchukulia kwenye jamii yao kama msaliti.

Au black mwenzao akiongea kingereza vizuri wanamchukulia ni msaliti ambaye anajifananisha na mzungu.

Ni watu ambao ni wahuni na hawataki shule. Hawa jamaa culture yao ndiyo inawaharibu.

Jamii yao haihamasishani kwenye kusoma. Wanahamasishana kwenye michezo na uimbaji. Kwenye suala la elimu hawataki kulisikia.
Kwamba black marekani hawataki shule,acha uwongo,eti akiongea kiingereza vizuri wana-mdiss,una umri gani!?..wamarekani weusi wanaongea kiingereza tangu utoto
 
Umemuita mungu wako kiranga kajibu maombi yako basi umefurahi mwenyewe🤣🤣🤣.

Ila Ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Hakuna kilicho badilika kwenye hoja yangu.
Au wewe unavutaga vitu vikali,Kiranga kama haamini Mungu Sasa yeye kawaje Mungu Tena?
 
Back
Top Bottom