Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwamara yakwanza naona umeisema vibaya us leo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Muajemi wa kwa mtongole mbona unayaleta yasiyohusiana na uzi, mimi hamna taifa hata moja ambalo huwa nashobokea, yakifanyika hovyoo lazima niyataje hata yawe Marekani, ila wewe Iran ikitajwa yaani siku inakuharibikia, unakua tayari kujitoa mhanga hata ulipuke kwa mabomu....huku ukifoka ala akbarrrr
Huko kwengne wataka wapewe nyadhfa sio mbaya ila angalia na uwingi na uchache wakeKati ya hizi nchi kubwa za waupe hakuna nchi ambayo watu weusi wako huru, wanapiga pesa, wanakuwa viongozi, talents zao zinathaminiwa, nk kama Marekani. Ulizia Russia, saudia, Iran, nk mweusi hata uenyekiti wa mtaa Urusi au Saudia hawezi kupata. Huwa nawashangaa sana mtu mweusi kuiponda US na kufagilia wabaguzi wakubwa waarab, warusi, wachina, nk.
Sio waafrika tu, US race yoyote ile unaishi kama kwenu na unatoboa. Na ndo nchi yenye raia wengi kutoka kila Kona ya dunia na hawatamani hata kuondoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla yahuo obama walipita marais wangapi wa US Kabla Kupatikana Huyo Barack ?!Unaongelea Councillor wakati Marekani mtu mweusi amekuwa rais tena kwa mihula miwili mfululizo na kuna Senator mwanamke wa kisomalia, hapo utaongea kitu gani.
'Ulizia Russia, saudia, Iran, nk mweusi hata uenyekiti wa mtaa Urusi au Saudia hawezi kupata.'Unaongelea Councillor wakati Marekani mtu mweusi amekuwa rais tena kwa mihula miwili mfululizo na kuna Senator mwanamke wa kisomalia, hapo utaongea kitu gani.
Kweli mkuu,mtu anapolaumu Russia kutokua na watu weusi madarakani ajiulize pia Kwa historia ya Russia lini ilishakua na integration na weusi kiasi cha kwamba wazoeleke huko Russia?Ni kweli kabisa mkuu, bwana Sagbo ambae ni Benin ameshikilia kiti hicho hata amebakisha miezi kidogo kumaliza.
Na vile mimi huona Warusi kama makatili sana !!!
Marekani weusi halisi kama huku Afrika ni wachache sana, Wengi ni machotara au wana damu ya kizungu kama Obama.
Sijskusudia kwamba black indian wako america
Nimekusudia kua sio kila mweusi ni muafrica na kwamba kwasababu hiyo basi anavidhibiti imara dhidi ya corona
Hiyo sio subject.Kabla yahuo obama walipita marais wangapi wa US Kabla Kupatikana Huyo Barack ?!
Sent using My COVID-19
Nikweli ila weusi kama weusi bado sio kigezo sana, maana hapa hata wahindi weusi wanaweza kuingia.
Ila immunity ya muafrika ambaye hana chembe ya cloning wala uchotara hapa mamzungumzia mtu ambaye katika ukoo wao hakujawahi kuwepo mzungu. Mtu huyu anakinga imara zaidi katika ugonjwa huu especially kijana asiyekua affected na magonjwa mengine
Umasikini wao unazidi huu wa hapa Tz?Lakini hili limeelezwa kwanini wa Marikani weusi wanakufa zaidi na hili gonjwa uko Chicago kuliko weupe ni sababu ya umasikini..... wanashi wengi sehemu moja pia wanatokatoka nje sana, kwahiyo ni rahisi kusambaza hu ungojwa kwa weusi wenzao pia hawana routine medical check up kwa hiyo miili yao imesha kua dhaifu na maradhi mengine mengi..........tuombe Mungu hili gonjwa lisisambae hapa kwetu natabia zetu hizi za kiswahili, Mungu atakua ametusaliti tu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini maradhi wawe nayo black tu?Badili kichwa cha habari. ....WAMAREKANI WEUSI WENYE MARADHI MENGINE SUGU YASIYOAMBUKIZWA WANAATHIRIKA ZAIDI...
hata waliofariki Africa wote walikuwa na maradhi covid ikamalizia.
Wanakufa sana mji gani?
Kati ya hizi nchi kubwa za waupe hakuna nchi ambayo watu weusi wako huru, wanapiga pesa, wanakuwa viongozi, talents zao zinathaminiwa, nk kama Marekani. Ulizia Russia, saudia, Iran, nk mweusi hata uenyekiti wa mtaa Urusi au Saudia hawezi kupata. Huwa nawashangaa sana mtu mweusi kuiponda US na kufagilia wabaguzi wakubwa waarab, warusi, wachina, nk.
Sio waafrika tu, US race yoyote ile unaishi kama kwenu na unatoboa. Na ndo nchi yenye raia wengi kutoka kila Kona ya dunia na hawatamani hata kuondoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
'Ulizia Russia, saudia, Iran, nk mweusi hata uenyekiti wa mtaa Urusi au Saudia hawezi kupata. '
Hio sentensi hapo juu si ya kweli, kuna jamaa anaitwa Jean Gregoire Sagbo, ni mzaliwa za Benin na ni councilor of Novozavidovo huko Urussi.
Kuna kitu wazungu wanataka kutuaminisha kwamba mwafrika naye anaathirika kama mzungu. Kuna kitu wanafanyiwa. Nahisi kuna hujuma wanafanyiwiì ili wapukutike.
Sent using Jamii Forums mobile app