Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata

Hili suala ni gumu sababu wamasai wanadhani Ngorongoro ni Mali yaoo... hata kama wanafanya uharibifu na kuongeza idadi ya makazi hawaoni kama ni shida inabidi Serikali itumie nguvu sasa maana hawaelewi kabisa. Lakini kama unataka kuwahamisha wamasai ujenge hotel pia Serikali itazingua sana
 
spika ameongea kitu cha maana sana. watu kama Tito magoti, maria sarungi, ole ngurumo na type zake zooote hizo, wanaichafua sana nchi na wanatamani hata masai mmoja tu afe ili wapate cha kuongea. wadhibitiwe mapema, sio afya kwa taifa.
Wakati Magufuli anawapuuza hao wajinga, nyie mlikuwa mnakata viuno humu mkimuita dikteta na mshamba!

Ngoja sasa waanze kuwatia vidole kwenye macho ndio mtajua hamjui.
 
Maridhiano ya KITAIFA NI MUHIMU SANA

Kwenye Giza Majoka yenye ndimi tatu za Moto huwa yanapita huko

CC Yercko Nyerere jasusi la KIGAMBONI
 
Makapi ya mwendazake yanasumbua Nchi
Mwendazake mtamsingizia hata waume zenu wakishindwa kusimamisha!

Huyo mamaenu alikuwa na nafasi ya kumuweka spika wake ila akampa tena huyo huyo sasa sijui mwendazake anaingiaje hapa
 
Watuonyeshe hizo clip tujue kama ni OG au fake
 
Waliochukua clip hawa hapa,

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…