Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habarini za jumapili wa jf kwenye pitapita zangu huko X nimekutana na hizi video na picha za wamaasai wanaandamana wanataka haki zao za msingi ambazo serikali inaoonekana kuwanyima.Serikali ya CCM naona wamekosa weledi kabisa wa kuiongoza hii nchi naona zile sifa ambazo samia alikuwa akipewa huko nje taratibu watu watajua yeye ni mtu wa aina gani.Skendo zake zimekuwa nyingi kwenye maandano ya kenya walisema kapeleka askari,zimbabwe wakasema alihongwa pesa na wanamuita CHEAP PRESIDENT.

Sasahivi ukisema chochote kuhusu serikali watu wasiojulikana wanakufata na magari meusi wanakupeleka kusikojulikana.Sasahivi tanzania imekuwa haina amani tena,unajiuliza kama kina sugu wanapigwa hadharani sisi ambao hatuna vyeo tutafanywa nini.Kama mimi naandika ila nkikamatwa ni kwaheri.

Wamaasai wamedhihirisha yale maneno ya mbowe kwamba watu wamechoka,wamaasai nao wao wamelianzisha sijui ni lini na sisi watanzania wengine tutaingia barabarani na kudai haki zetu kama wakenya.

Ni muda sahihi sasa wa sisi kama watanzania kuamka na kuzidai haki zetu maana kutoka kwa mabepari wa kiafrica.Nsipopost kwa siku mbili mfululizo mjue na mimi washanbeba maana ukisema lolote siku hizi unakwenda na maji.Hii nchi imekuwa kama jehanamu

Mungu ibariki Africa,Mungu ibariki Tanzania,

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Ukishauliwa na wajinga ukiwa mtawala utakuwa kama huyu👇👇

2 Mambo ya Nyakati 10
10 Na wale vijana waliokua pamoja naye wakamwambia, wakasema, Uwaambie hivi watu wale waliosema nawe, wakinena, Baba yako alilifanya zito kongwa letu, lakini wewe tufanyie jepesi; uwaambie hivi, Kidole changu cha mwisho ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
 
Hii nchi Viongozi wa sasa hawana uchungu na hili Taifa na wako kwa ajili ya kuuza nchi kwa Wageni hasa Waraabu.

Wamasai wamechoka Aridhi yao kupewa Mwarabu.
View attachment 3073146
Waarabu kwa sasa wananeemeka na Ngorongoro huku wenyeji wakiteseka.
View attachment 3073147
Samia hataki hata wamasai wapige kura kwa sasa na hili ni agizo la Mwarabu ndie anaye endesha Ngongongoro.Pale ni Arabus Republic of Ngorongoro.
View attachment 3073151

Huwezi amini hii ni Bongo, Viongozi wasio kuwa na uchungu na hili Taifa wanauza nchi kama njugumawe.
View attachment 3073152
Tatizo hawa wamasai nao ni waoga sana ni Bora wafe wakiwa wamesimama kuliko kuishi wakiwa wamepiga magoti.
View attachment 3073154

Dah MWarabu kaamua, na ni yeye anaye amrisha Serikali isipeleke huduma kwa raia walio bakia Ngorongoro. Mwarabu ndie anaye amrisha.Mwarabu ni shida sana

Sisi Wabongo wengine tuendelee kuchekelea yanayo wapata wamasai wa Ngorongoro but ni swala ka muda tu, huyu Mama atauza kila mahali katika nchi hii.
CCM ni majambazi
 
Solution ni moja tu. Watanganyika tuandamane kudai nchi yetu Tanganyika na kuvunja huu muunganano anauza rasilimali zetu kwa kivuli cha muungano. Tukivunja muungano samia hatakuwa raisi wetu na hiyo mikataba waliyoingia itaangaliwa upya maana hawakuingia mkataba na Tanganyika kwa hiyo kila kitu kitaanza upya. Tusipofanya hivo tutaishia kulalamika lakini hakuna kitakachobadilika. Najua watatuua wengi lakini hakuna njia nyingine ya ukombozi wa taifa letu na wao hawawezi kutuachia kirahisi maana wameshajimilikisha sio rahisi kukubali kupokonywa tonge mdomon. Lakini hatuna budi kufanya hivo kwa maslahi ya taifa letu na vizazi vijavyo. Haya yaliyofanywa Tanganyika sidhan kawa ingekuwa zanzibar wangekubali.
 
Hii nchi Viongozi wa sasa hawana uchungu na hili Taifa na wako kwa ajili ya kuuza nchi kwa Wageni hasa Waraabu.

Wamasai wamechoka Aridhi yao kupewa Mwarabu.
View attachment 3073146
Waarabu kwa sasa wananeemeka na Ngorongoro huku wenyeji wakiteseka.
View attachment 3073147
Samia hataki hata wamasai wapige kura kwa sasa na hili ni agizo la Mwarabu ndie anaye endesha Ngongongoro.Pale ni Arabus Republic of Ngorongoro.
View attachment 3073151

Huwezi amini hii ni Bongo, Viongozi wasio kuwa na uchungu na hili Taifa wanauza nchi kama njugumawe.
View attachment 3073152
Tatizo hawa wamasai nao ni waoga sana ni Bora wafe wakiwa wamesimama kuliko kuishi wakiwa wamepiga magoti.
View attachment 3073154

Dah MWarabu kaamua, na ni yeye anaye amrisha Serikali isipeleke huduma kwa raia walio bakia Ngorongoro. Mwarabu ndie anaye amrisha.Mwarabu ni shida sana

Sisi Wabongo wengine tuendelee kuchekelea yanayo wapata wamasai wa Ngorongoro but ni swala ka muda tu, huyu Mama atauza kila mahali katika nchi hii.
Screenshot_2024-08-18-13-58-51-1.png
Screenshot_2024-08-18-13-58-51-1.png
Screenshot_2024-08-18-14-00-09-1.png
 
Wamasai ni nani nchi hii hata wadekezwe? Hii nchi ina jamii zaidi ya 125 huko. Acheni kushabikia ujinga.
 
View attachment 3073208
Haya ni baadhi ya mabango yenye jumbe mbalimbali ambazo zimetolewa na wakazi tarafa ya Ngorongoro ambao wanafanya maandamano ya amani kupinga kile wananchodai ni ukiukwahi wa Haki za Binadamu dhidi yao.

Wakazi hao wa jamii ya kifugaji ya Wamasai wanaandamana hii leo 18 Aug 2024 kupinga kile wanachodai kuchoshwa na vitendo vya ukiukwaji wa Haki dhidi yao katika Nyanja mbalimbali ikiwemo kunyimwa huduma za maendeleo ya jamii .
View attachment 3073215
Wakazi hao wanadai kuwa wamevumilia kwa muda mrefu ukiukwaji wa Haki za Binadamu ikiwemo kusitishwa na kuzoroteshewa kwa huduma mbalimbali zikiwemo za afya, elimu na hata miradi mingine ya maendeleo.

Mbali na hivyo wanadai kuwa kilichowashtua zaidi ni kuondolewa kwa tarafa hiyo katika orodha ya vituo vinavyotumika katika maboresho ya daftari la mpiga kura jambo linalowaashiria kuwa watakosa Haki ya kushiriki chaguzi ikiwemo wa serikali za mitaa mwaka huu 2024 na hata ule mkuu wa 2025.
View attachment 3073210
View attachment 3073213
Ni muda sasa tangu wakazi hao watoe malalmiko yao juu ya kutotendewa Haki tangu kulipoanza zoezi la kuwahamisha kutoka tarafa hiyo kuelekea Kijiji cha Msomera mkoani Tanga.

Source: Watetezi tv
Mkuu Wa Mkoa Yuko Wapi!?
 
Back
Top Bottom