Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Argumentum ad hominemCCM ni wezi na wanatengeneza masikini wengi sana ili wawahinhe TShirt na Kofia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Argumentum ad hominemCCM ni wezi na wanatengeneza masikini wengi sana ili wawahinhe TShirt na Kofia
Laana unayo wewe peke yako...Ngozi nyeusi tuna laana aisee [emoji2]
Wawekezaji...Na waarabu ni kinanani katika hii nchi
Very True....Armed Rebellion huanza hivi hivi kama Kongo ya Mashariki.
Maadui zetu wanaweza kupitia hapo kwenye mgogoro huo.
Kwahyo ww unatakaje!? KWasio na nia njema wameanza kutumia hoja za waarabu na uarabu kumshambulia Rais wa nchi.....
Ni mipango mahsusi....
Mipango kama hii si ya kuichekea hata kidogo......
#Nchi Kwanza[emoji7]
Hata huyo mmasai sio mbantu,mmasai anatokea huko huko nchi za kiarabu.Angalia utamaduni wa mmasai nq muarabu uko sawa tu.Kuanzia mavazi,kuvaa shuka na rubega,kutembea na visu ,fombo,bakora.Vyakula vyao ni nyama na maziwa.Wote ni wafugaji wa wanyama sio wakulima.Mpaka lugha zao zinafanana.Hii nchi Viongozi wa sasa hawana uchungu na hili Taifa na wako kwa ajili ya kuuza nchi kwa Wageni hasa Waraabu.
Wamasai wamechoka Aridhi yao kupewa Mwarabu.
View attachment 3073146
Waarabu kwa sasa wananeemeka na Ngorongoro huku wenyeji wakiteseka.
View attachment 3073147
Samia hataki hata wamasai wapige kura kwa sasa na hili ni agizo la Mwarabu ndie anaye endesha Ngongongoro.Pale ni Arabus Republic of Ngorongoro.
View attachment 3073151
Huwezi amini hii ni Bongo, Viongozi wasio kuwa na uchungu na hili Taifa wanauza nchi kama njugumawe.
View attachment 3073152
Tatizo hawa wamasai nao ni waoga sana ni Bora wafe wakiwa wamesimama kuliko kuishi wakiwa wamepiga magoti.
View attachment 3073154
Dah MWarabu kaamua, na ni yeye anaye amrisha Serikali isipeleke huduma kwa raia walio bakia Ngorongoro. Mwarabu ndie anaye amrisha.Mwarabu ni shida sana
Sisi Wabongo wengine tuendelee kuchekelea yanayo wapata wamasai wa Ngorongoro but ni swala ka muda tu, huyu Mama atauza kila mahali katika nchi hii.
Ni kweli mkuuLaana unayo wewe peke yako...
Hivi hyo ardhi waarabu wanaitumia kama carbon tax credit au serikali imeuza mazima?
Nakumbuka Mstaf General Venance Mabeyo ndio Mwenyekiti ya Board ya Wazamini wa Ngorongoro conservation Authority.Hii nchi Viongozi wa sasa hawana uchungu na hili Taifa na wako kwa ajili ya kuuza nchi kwa Wageni hasa Waraabu.
Wamasai wamechoka Aridhi yao kupewa Mwarabu.
View attachment 3073146
Waarabu kwa sasa wananeemeka na Ngorongoro huku wenyeji wakiteseka.
View attachment 3073147
Samia hataki hata wamasai wapige kura kwa sasa na hili ni agizo la Mwarabu ndie anaye endesha Ngongongoro.Pale ni Arabus Republic of Ngorongoro.
View attachment 3073151
Huwezi amini hii ni Bongo, Viongozi wasio kuwa na uchungu na hili Taifa wanauza nchi kama njugumawe.
View attachment 3073152
Tatizo hawa wamasai nao ni waoga sana ni Bora wafe wakiwa wamesimama kuliko kuishi wakiwa wamepiga magoti.
View attachment 3073154
Dah MWarabu kaamua, na ni yeye anaye amrisha Serikali isipeleke huduma kwa raia walio bakia Ngorongoro. Mwarabu ndie anaye amrisha.Mwarabu ni shida sana
Sisi Wabongo wengine tuendelee kuchekelea yanayo wapata wamasai wa Ngorongoro but ni swala ka muda tu, huyu Mama atauza kila mahali katika nchi hii.
HivyohivyoKwahyo ww unatakaje!? K
Unasubiri muone nini mkuu ?Very True....
Ngoja tuone.
Umaskini wa kibinafsi sina Atupele....Matusi hayatakuondolea huo umasikini unaokuandama kila kona
Ni kweli HAKI Haiombwi!Haki ipi? haki inapiganiwa,
Tutaachaje wakati wajinga kama wewe bado wanaexist!Wamasai ni nani nchi hii hata wadekezwe? Hii nchi ina jamii zaidi ya 125 huko. Acheni kushabikia ujinga.
Ndio! Wao ni spesho!Kwamba wao ni spesho sana au? Wangekuwa wanafukuzwa bila kupewa chochote sawa ila wanahamishwa Kwa staha na kupewa Ardhi ,fidia na stahiki zingine kwa maslahi mapana ya Hifadhi na Nchi hapo Ngorongoro.
Hata kama sio Mwarabu kuwekeza kama inavyopotoshwa ,angekuwa John Bado wangehamishwa.
huo sio uwekezaji nilichogundua wewe si mtanganyika ni mzanzibar kwa hiyo unaongea lolote coz hayo hayafanyiki zanzibarWawekezaji...
DP World ni wawekezaji nao...