Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Armed Rebellion huanza hivi hivi kama Kongo ya Mashariki.

Maadui zetu wanaweza kupitia hapo kwenye mgogoro huo.

Mnakumbuka Wanyamulenge waliponyimwa Haki zao za kiraia na kuanza kuuwawa kunyanyaswa na kupokwa Mifugo yao?!

Viongozi mliolewa Madaraka tafadhali msituharibie usalama wa Nchi.
 
Wasio na nia njema wameanza kutumia hoja za waarabu na uarabu kumshambulia Rais wa nchi.....

Ni mipango mahsusi....

Mipango kama hii si ya kuichekea hata kidogo......

#Nchi Kwanza[emoji7]
Kwahyo ww unatakaje!? K
 
Hii nchi Viongozi wa sasa hawana uchungu na hili Taifa na wako kwa ajili ya kuuza nchi kwa Wageni hasa Waraabu.

Wamasai wamechoka Aridhi yao kupewa Mwarabu.
View attachment 3073146
Waarabu kwa sasa wananeemeka na Ngorongoro huku wenyeji wakiteseka.
View attachment 3073147
Samia hataki hata wamasai wapige kura kwa sasa na hili ni agizo la Mwarabu ndie anaye endesha Ngongongoro.Pale ni Arabus Republic of Ngorongoro.
View attachment 3073151

Huwezi amini hii ni Bongo, Viongozi wasio kuwa na uchungu na hili Taifa wanauza nchi kama njugumawe.
View attachment 3073152
Tatizo hawa wamasai nao ni waoga sana ni Bora wafe wakiwa wamesimama kuliko kuishi wakiwa wamepiga magoti.
View attachment 3073154

Dah MWarabu kaamua, na ni yeye anaye amrisha Serikali isipeleke huduma kwa raia walio bakia Ngorongoro. Mwarabu ndie anaye amrisha.Mwarabu ni shida sana

Sisi Wabongo wengine tuendelee kuchekelea yanayo wapata wamasai wa Ngorongoro but ni swala ka muda tu, huyu Mama atauza kila mahali katika nchi hii.
Hata huyo mmasai sio mbantu,mmasai anatokea huko huko nchi za kiarabu.Angalia utamaduni wa mmasai nq muarabu uko sawa tu.Kuanzia mavazi,kuvaa shuka na rubega,kutembea na visu ,fombo,bakora.Vyakula vyao ni nyama na maziwa.Wote ni wafugaji wa wanyama sio wakulima.Mpaka lugha zao zinafanana.
 

Attachments

  • GVQM2GCX0AAuox_.jpeg
    GVQM2GCX0AAuox_.jpeg
    41.4 KB · Views: 2
Hii nchi Viongozi wa sasa hawana uchungu na hili Taifa na wako kwa ajili ya kuuza nchi kwa Wageni hasa Waraabu.

Wamasai wamechoka Aridhi yao kupewa Mwarabu.
View attachment 3073146
Waarabu kwa sasa wananeemeka na Ngorongoro huku wenyeji wakiteseka.
View attachment 3073147
Samia hataki hata wamasai wapige kura kwa sasa na hili ni agizo la Mwarabu ndie anaye endesha Ngongongoro.Pale ni Arabus Republic of Ngorongoro.
View attachment 3073151

Huwezi amini hii ni Bongo, Viongozi wasio kuwa na uchungu na hili Taifa wanauza nchi kama njugumawe.
View attachment 3073152
Tatizo hawa wamasai nao ni waoga sana ni Bora wafe wakiwa wamesimama kuliko kuishi wakiwa wamepiga magoti.
View attachment 3073154

Dah MWarabu kaamua, na ni yeye anaye amrisha Serikali isipeleke huduma kwa raia walio bakia Ngorongoro. Mwarabu ndie anaye amrisha.Mwarabu ni shida sana

Sisi Wabongo wengine tuendelee kuchekelea yanayo wapata wamasai wa Ngorongoro but ni swala ka muda tu, huyu Mama atauza kila mahali katika nchi hii.
Nakumbuka Mstaf General Venance Mabeyo ndio Mwenyekiti ya Board ya Wazamini wa Ngorongoro conservation Authority.

I hope hakitaharibika kitu.
 
Tuangalie hapa mzee Kikwete aliwahi kusema
 

Attachments

  • GVQM2GCX0AAuox_.jpeg
    GVQM2GCX0AAuox_.jpeg
    41.4 KB · Views: 1
Kwamba wao ni spesho sana au? Wangekuwa wanafukuzwa bila kupewa chochote sawa ila wanahamishwa Kwa staha na kupewa Ardhi ,fidia na stahiki zingine kwa maslahi mapana ya Hifadhi na Nchi hapo Ngorongoro.

Hata kama sio Mwarabu kuwekeza kama inavyopotoshwa ,angekuwa John Bado wangehamishwa.
Ndio! Wao ni spesho!
 
Back
Top Bottom