Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Wasukuma wametaoakaa Mkoani Lindi mwaka wa 10 sasa .
Kuna migogoro ya hapa na pale, sometimes vifo vinatokea huko kwa migogoro ya wafugaji na wakulima. Kuongeza wamasai tena itakuwa ni mzigo mwingine. Kuna rafiki yangu yuko police Liwale Lindi ananipa habari za operation zao za kutatua changamoto za Wasukuma na wakulima wa Lindi
Kuna migogoro ya hapa na pale, sometimes vifo vinatokea huko kwa migogoro ya wafugaji na wakulima. Kuongeza wamasai tena itakuwa ni mzigo mwingine. Kuna rafiki yangu yuko police Liwale Lindi ananipa habari za operation zao za kutatua changamoto za Wasukuma na wakulima wa Lindi