MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wamasai wahame tu. Walishaanza kujenga maghorofa Ngorongoro. Hiyo hifadhi ina manufaa kwa watanzania wote na sio wamasai tu. Fidia wanayopewa hakuna kabila lingine liliwahi kupewa. Serikali isiwachekee.