To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣Nataka pesa zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Nataka pesa zangu
Unajua hatutofautiani mkuu!?Kosugi napenda mishangazi ya hivi banaaView attachment 3088015
Aaaah ana dada yake kamaliza chuo mwaka huu ila yuko traumatized na maisha alopitia.kwao hawajabakiza mabaki 😂😂 na mie nikaoe
Unafaidi sana.. na home una mama la mama la hatari.. kula raha duniani ndio huko sasaUnajua hatutofautiani mkuu!?
Nina mke wa pili mshangazi wa miaka 42 kimo hiki hiki.
😂😂😂😂😂Yupo Morogoro Mafisa hapo toto la kizaramo.
Mimi sasa ndio kwanza naingia 30.
Navumia mkuu, nimeisha kaa na wanawake vichaa... kikubwa awe mzuri sana na awe kakidhi vigezo.. mengine yanavumilila.. raha sana uwe na mwanamke mzuri sana ndani ya nyumba huwa inasaidia mengi sanaAaaah ana dada yake kamaliza chuo mwaka huu ila yuko traumatized na maisha alopitia.
Unajua watu wa kule wanapitia hardship sana wengi historia zao daah masikitiko.
Sasa mtu kama huyo unahitajika uwe mpole zaidi na mstahamilivu zaidi kwake kumvumilia baadhi ya vitu.
Singapore moj hiyoo.. kifuani hapo kaniua.. mie na manyonyo makubwa kama samaki na majiNamna kama hii mkuu.
😁😁😁View attachment 3088048
Wacha niifute maana huyo ndio second wife mkuu.Singapore moj hiyoo.. kifuani hapo kaniua.. mie na manyonyo makubwa kama samaki na maji
unanyonyaaa tu mzee 😂😂Wacha niifute maana huyo ndio second wife mkuu.
😬😬😬😬😬
Yani sio kwamba ana tabia mbovu ambazo zinasumbua hapana.Navumia mkuu, nimeisha kaa na wanawake vichaa... kikubwa awe mzuri sana na awe kakidhi vigezo.. mengine yanavumilila.. raha sana uwe na mwanamke mzuri sana ndani ya nyumba huwa inasaidia mengi sana
huyo rahisi kuishi nae, mie nilitaka kwenda Sambaru kuchukua chumaYani sio kwamba ana tabia mbovu ambazo zinasumbua hapana.
Yani maisha walopitia yamewadumaza kisaikolojia.
Kwahiyo unatakiwa uende nae taratibu.Kukosea kwao kwa kurudiarudia ni kawaida pia wana uoga fulani hivi wa kujihisi wako unsafe kwa watu.
Yote ni harka za maisha walopitia.
Usiwe na wasiwasi mkuu wewe endelea kuliwa ila kuwa makini usiliwe vyote ukaja ishia kuliwa visivyoliwa.Dodoma kuna watoto wazuri asikwambie mtu. Ilivyobaki Laki 1 nanusu ndiyo akili ikarejea. Nimeambiwa kipindi cha Bunge ndiyo mambo yanakuwa hivi. Hili nalo mkalitizame.
Ngojea nikimcheki nikutupie namba zake DM.huyo rahisi kuishi nae, mie nilitaka kwenda Sambaru kuchukua chuma
Kauli ngumu sana hii.Usiwe na wasiwasi mkuu wewe endelea kuliwa ila kuwa makini usiliwe vyote ukaja ishia kuliwa visivyoliwa.
🙏🙏🙏🙏 hapo maneno yangu tu..Ngojea nikimcheki nikutupie namba zake DM.
Maana yuko Chuga ilaweek zijazo anarudi kigamboni ukweni kwa mdogo wake.
We ukiona nimekufuata DM jua mziki wa namba.🙏🙏🙏🙏 hapo maneno yangu tu..
Hahahaa huyo binti anaitwa Z... ni noma saana nduguNakukumbusha utakae muona ana kipini puani upande wa kushoto wa pua yake mchukue huyo huko unaacha mpaka hio 150 yote utarudi na mbupu zako tu hua wanaangalia na macho ya kukata roho km wanakufakufa hivi
Kama haita kuwa tatizo, waweza nipa nafasi ya kuona pia.We ukiona nimekufuata DM jua mziki wa namba.
Ila nitakuja na picha uchague maana wapo kama watatu.
Utaechagua naacha namba nasepa.