Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
kumbe we fuska upo Dom? Maeneo gani mkuu upo tutafute Binti wa threesome.aisee wako wapi hao warembo na mie nijimwaye mwaye nao. nipo domz hapa nipe muelekeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe we fuska upo Dom? Maeneo gani mkuu upo tutafute Binti wa threesome.aisee wako wapi hao warembo na mie nijimwaye mwaye nao. nipo domz hapa nipe muelekeo
Hata mimiMbona singida mie sionagi uzuri wa mademu wa pale na nimeishi karibia miaka miwili..
Ulisoma UDOM 😅😅😅Nilikuwa Nakaa jamhuri mbele ya Masjid Ghaddaf
Ugumu wa maisha na ni washamba.Wale watoto ukiwavuta na vimishkaki na soda huku unampigia swaga za nitakupeleka Darusalaame imeisha hiyo.
Ila shida wadada wa Singida kujipodoa hawajui wako rough sana wengi wao.
Asa sijui ni ugumu wa maisha au vipi!?
Tumuombee ndugu yetu mkuu asifikie huko.Kauli ngumu sana hii.
Ametokea Chato huyo ndio maana kawa Limbukeni wa Wanawake hivyo.Umefika Dom ukitokea wapi?
Ili arudi nyumbani kwa miguu.Ulihifadhi upwiru hatimae wamekutoa mkuu.
Heri shari kamili kuliko nusu shari, malizia tu na hako kalaki.
Unazungumzia wairak au wanyaturu?Yani sio kwamba ana tabia mbovu ambazo zinasumbua hapana.
Yani maisha walopitia yamewadumaza kisaikolojia.
Kwahiyo unatakiwa uende nae taratibu.Kukosea kwao kwa kurudiarudia ni kawaida pia wana uoga fulani hivi wa kujihisi wako unsafe kwa watu.
Yote ni harka za maisha walopitia.
Nipo ilazo huku jombaaakumbe we fuska upo Dom? Maeneo gani mkuu upo tutafute Binti wa threesome.
Ili arudi nyumbani kwa miguu.
Bora na wewe umejisemea mkuu.. nisije onekan nina nongwaHata mimi
Mi nipo mitaa ya Uzunguni huku ntakucheki MkuuNipo ilazo huku jombaaa
Nimecheka mpaka soksi zimelegea...🤣😭Wakati nasoma chuo sikutaka kuishi hostel nikapanga chakonichako hapo uwanja wa ndenge. Mungu ni mkubwa sikudisco ila shida nilizipata.
Round about ya Arusha road wanaita sijui area D, huko ni nomaChako ni chako ya yule Bwana pale machinjioni au chako ni chako ipi?
Mie namzungumzia nilipooa japo nao ni Wairaki.Unazungumzia wairak au wanyaturu?
Ila kwa uzuri aisee ni wazuri sana.Ugumu wa maisha na ni washamba.
Sasa kudisco kisa malaya wanaojiuza si ufala huo?Ni kichaka cha malaya mitaa hiyo