Singida Kuna wanawake mkuu.Hata mimi
Sema Sisi wanaume tunamuona mwanamke akishapaka poda na Wanja.
Wanawake wengi wa Singida sura zimepauka na vumbi.
Ila ni wazuri in nature.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Singida Kuna wanawake mkuu.Hata mimi
Ilibidi utaje ndio ni wairaq au wanyaturuMie namzungumzia nilipooa japo nao ni Wairaki.
Nishakutajia hapo wairaki mkuu soma kwa makini.Ilibidi utaje ndio ni wairaq au wanyaturu
Ok mkuu nina mpango nikatafute mke wa pili huko chimbo laoNishakutajia hapo wairaki mkuu soma kwa makini.
Mimi huo mtego hauniendeshi kabisa, nimewapatia sana ktk kujizuia.katika mtego aliyetuumba alituwekea basi ni kutuumbia wanawake. mtego mgumu sana
hongera sanaMimi huo mtego hauniendeshi kabisa, nimewapatia sana ktk kujizuia.
Hebu nipe na mie, nipo DodomaNgojea nikimcheki nikutupie namba zake DM.
Maana yuko Chuga ilaweek zijazo anarudi kigamboni ukweni kwa mdogo wake.
Wanyiramba pia ni wazuri wafigaIla kwa uzuri aisee ni wazuri sana.
Ukimpata mmoja ukampiga msosi na ukamvisha vizuri aisee ni hallelujah.
Ila sio kama wanyaturu kaka.Wanyiramba pia ni wazuri wafiga
Kwa Tanzania mikoa yenye wanawake wazuri kuanzia namba moja mimi nina list yangu niliyo ifanyia research:Singida Kuna wanawake mkuu.
Sema Sisi wanaume tunamuona mwanamke akishapaka poda na Wanja.
Wanawake wengi wa Singida sura zimepauka na vumbi.
Ila ni wazuri in nature.
Angalia list hapo juu nimekuwekea tayari mikoa yenye wanawake wazuri Tanzania hii....utauliza kwa nini arusha na siyo singida, arusha kuna pisi za kimeru kali mnoo kama zile za kigali.....Ila sio kama wanyaturu kaka.
Wanyaturu aisee wale Mungu kawabariki.
Umefika Korogwe msambiazi na Bumbuli!?Kwenye matacooo sasa unachanganya madesaaaa😅😅😅😅
Ngoja niseme kitu mikoa ya kanda ya ziwa na kule mbeya kwa Tz ndio wengi wao wako na matacooo tena miguu yao wengi ni miguu ya bia zile chupa za bia za zamani, au niseme wanamiguu ya shampeni. Wana umbo namba nane.
Wanyaturi wengi wana sura na rangi nyeupe ila shape ni wachache kidogo labda wanyiramba kwa shape zao wako bie.........
Wapwani hawakuti wanawake watanga maana Tanga bhna kuna wazigua warefu kama minazi ila wanaye sura......wabondei na wasambaa wanaye takoorooo na sura.
Nilisahau PWANI kwenye list yangu ambayo ni namba Tisa ivo Tabora anatoka kwenye top 10 anamwacha kigoma.
Tunazungumzia asili kaka.Mi naona Arusha ndio imebeba wanawake wazuri maana wanawake kutoka mikoa ya Tanga, Manyara, Singida, Dodoma wote wapo Arusha either kwa kuzaliwa au kuhamia.. mfano ukienda Ngarenaro imetawaliwa na warangi
Mbeya???? Kigoma????Kwa Tanzania mikoa yenye wanawake wazuri kuanzia namba moja mimi nina list yangu niliyo ifanyia research:
1. Tanga Tz
2. Manyara Tz
3. Arusha Tz
4. Dodoma Kondoa Tz
5. Singida Tz
6. Kilimanjaro Tz
7. Mbeya Tz
8. Mwanza Tz
9. Kigoma Tz
10. Tabora Tz
Kwa mikoa yenye wanawake natural wakiafrika ni
1. Musoma na
2. Songea.
Mikoa mingine iliyobaki wana wanawake wa kawaida
Kaka 😅😅😅😅 ndiyo maana nikawaweka Tanga kuwa namba moja Tanzania najua balaa la watoto wa kitanga.....yaani mtoto wa kitanga nachompendea mimi hata ukimuweka ndani kama mke anatulia anakusikiliza yaani wako na staha....sio wanyaturu wanatoa mpaka kwa mnyampaaa 😅 wanyaturu wengi wapo tu kama dada zangu wakichagga yaani wanasura.Umefika Korogwe msambiazi na Bumbuli!?
Ukutane na wanawake wa kigunya,wasmabaa wakilindi!?
Booob wana matyaakoooo hao wa Mbeya hawaoni ndani😂😂.
Embu kazunguke tena mkuu.
Pia kuna wabondei wa Usambara na mashewa yake kawaone mkuu.
Hao wanyaturu ulokutana nao isije ikawa umekutana na wanyisanzu ukasema wanyaturu.
Maana wanyisanzu wanataka kufanania na wanyaturu na wao pia wapo Singida vile vile.
Unawajua waha vizuri kaka au unasikia sikia, watoto wa mbeya kama kina posh wa konde wanatokea mbeya.Mbeya???? Kigoma????
You cant be serious 🤣🤣🤣🤣
Ngoja nimtag Mtu hapa
Sijai ona mnyaturu flat kaka.Kaka 😅😅😅😅 ndiyo maana nikawaweka Tanga kuwa namba moja Tanzania najua balaa la watoto wa kitanga.....yaani mtoto wa kitanga nachompendea mimi hata ukimuweka ndani kama mke anatulia anakusikiliza yaani wako na staha....sio wanyaturu wanatoa mpaka kwa mnyampaaa 😅 wanyaturu wengi wapo tu kama dada zangu wakichagga yaani wanasura.
Kwa asili ya arusha wameru ni wazuri kama wale wa kigali....Tunazungumzia asili kaka.
Asili ya Arusha je ina wanawake wazuri!?
Maana hiyo Arusha unayoiona imehemewa sana na wambulu,wmabulu wamezaana sana hapo pia.
Maana hiyo Manyara ilikua mkoa wa Arusha kabla haijavunjwa kuwa mkoa.