Wamenimalizia pesa zote za semina

Wamenimalizia pesa zote za semina

Kawaida hiyo, acha utoto wa kulialia na kubana bana pesa
 
Singida Kuna wanawake mkuu.
Sema Sisi wanaume tunamuona mwanamke akishapaka poda na Wanja.
Wanawake wengi wa Singida sura zimepauka na vumbi.
Ila ni wazuri in nature.
Kwa Tanzania mikoa yenye wanawake wazuri kuanzia namba moja mimi nina list yangu niliyo ifanyia research:

1. Tanga Tz
2. Manyara Tz
3. Arusha Tz
4. Dodoma Kondoa Tz
5. Singida Tz
6. Kilimanjaro Tz
7. Mbeya Tz
8. Mwanza Tz
9. Kigoma Tz
10. Tabora Tz

Kwa mikoa yenye wanawake natural wakiafrika ni
1. Musoma na
2. Songea.
Mikoa mingine iliyobaki wana wanawake wa kawaida
 
Ila sio kama wanyaturu kaka.
Wanyaturu aisee wale Mungu kawabariki.
Angalia list hapo juu nimekuwekea tayari mikoa yenye wanawake wazuri Tanzania hii....utauliza kwa nini arusha na siyo singida, arusha kuna pisi za kimeru kali mnoo kama zile za kigali.....

Kuna hao wamasai, kuna wamanga'ti na hadzabe, kiufupi arusha ipo kwa top three Tanga wala usiulize sana maana ndiyo Top kinara pale juu, kwa aliyeishi Tanga mjini kwa muda mrefu atakubaliana na mimi.....manyara wala sitaki kutia neno.
 
Kwenye matacooo sasa unachanganya madesaaaa😅😅😅😅
Ngoja niseme kitu mikoa ya kanda ya ziwa na kule mbeya kwa Tz ndio wengi wao wako na matacooo tena miguu yao wengi ni miguu ya bia zile chupa za bia za zamani, au niseme wanamiguu ya shampeni. Wana umbo namba nane.

Wanyaturi wengi wana sura na rangi nyeupe ila shape ni wachache kidogo labda wanyiramba kwa shape zao wako bie.........

Wapwani hawakuti wanawake watanga maana Tanga bhna kuna wazigua warefu kama minazi ila wanaye sura......wabondei na wasambaa wanaye takoorooo na sura.

Nilisahau PWANI kwenye list yangu ambayo ni namba Tisa ivo Tabora anatoka kwenye top 10 anamwacha kigoma.
Umefika Korogwe msambiazi na Bumbuli!?
Ukutane na wanawake wa kigunya,wasmabaa wakilindi!?
Booob wana matyaakoooo hao wa Mbeya hawaoni ndani😂😂.
Embu kazunguke tena mkuu.
Pia kuna wabondei wa Usambara na mashewa yake kawaone mkuu.
Hao wanyaturu ulokutana nao isije ikawa umekutana na wanyisanzu ukasema wanyaturu.
Maana wanyisanzu wanataka kufanania na wanyaturu na wao pia wapo Singida vile vile.
 
Mi naona Arusha ndio imebeba wanawake wazuri maana wanawake kutoka mikoa ya Tanga, Manyara, Singida, Dodoma wote wapo Arusha either kwa kuzaliwa au kuhamia.. mfano ukienda Ngarenaro imetawaliwa na warangi
Tunazungumzia asili kaka.
Asili ya Arusha je ina wanawake wazuri!?
Maana hiyo Arusha unayoiona imehemewa sana na wambulu,wmabulu wamezaana sana hapo pia.
Maana hiyo Manyara ilikua mkoa wa Arusha kabla haijavunjwa kuwa mkoa.
 
Kwa Tanzania mikoa yenye wanawake wazuri kuanzia namba moja mimi nina list yangu niliyo ifanyia research:

1. Tanga Tz
2. Manyara Tz
3. Arusha Tz
4. Dodoma Kondoa Tz
5. Singida Tz
6. Kilimanjaro Tz
7. Mbeya Tz
8. Mwanza Tz
9. Kigoma Tz
10. Tabora Tz

Kwa mikoa yenye wanawake natural wakiafrika ni
1. Musoma na
2. Songea.
Mikoa mingine iliyobaki wana wanawake wa kawaida
Mbeya???? Kigoma????
You cant be serious 🤣🤣🤣🤣

Ngoja nimtag Mtu hapa
 
Umefika Korogwe msambiazi na Bumbuli!?
Ukutane na wanawake wa kigunya,wasmabaa wakilindi!?
Booob wana matyaakoooo hao wa Mbeya hawaoni ndani😂😂.
Embu kazunguke tena mkuu.
Pia kuna wabondei wa Usambara na mashewa yake kawaone mkuu.
Hao wanyaturu ulokutana nao isije ikawa umekutana na wanyisanzu ukasema wanyaturu.
Maana wanyisanzu wanataka kufanania na wanyaturu na wao pia wapo Singida vile vile.
Kaka 😅😅😅😅 ndiyo maana nikawaweka Tanga kuwa namba moja Tanzania najua balaa la watoto wa kitanga.....yaani mtoto wa kitanga nachompendea mimi hata ukimuweka ndani kama mke anatulia anakusikiliza yaani wako na staha....sio wanyaturu wanatoa mpaka kwa mnyampaaa 😅 wanyaturu wengi wapo tu kama dada zangu wakichagga yaani wanasura.
 
Mbeya???? Kigoma????
You cant be serious 🤣🤣🤣🤣

Ngoja nimtag Mtu hapa
Unawajua waha vizuri kaka au unasikia sikia, watoto wa mbeya kama kina posh wa konde wanatokea mbeya.
 
Kaka 😅😅😅😅 ndiyo maana nikawaweka Tanga kuwa namba moja Tanzania najua balaa la watoto wa kitanga.....yaani mtoto wa kitanga nachompendea mimi hata ukimuweka ndani kama mke anatulia anakusikiliza yaani wako na staha....sio wanyaturu wanatoa mpaka kwa mnyampaaa 😅 wanyaturu wengi wapo tu kama dada zangu wakichagga yaani wanasura.
Sijai ona mnyaturu flat kaka.
😂😂😂😂Toka nifike salanda kila mnyaturu nayemgusa ni nyash.
Sema tu ni hawajatulia kimaadili ni viruka njia.
Wachaga ni exceptional kama ingekua wanyama wanapewa makabila basi nyoka wangekua wachaga😂😂😂
 
Tunazungumzia asili kaka.
Asili ya Arusha je ina wanawake wazuri!?
Maana hiyo Arusha unayoiona imehemewa sana na wambulu,wmabulu wamezaana sana hapo pia.
Maana hiyo Manyara ilikua mkoa wa Arusha kabla haijavunjwa kuwa mkoa.
Kwa asili ya arusha wameru ni wazuri kama wale wa kigali....
 
Kilimanjaro ukiachana na wachagga kuna wapare nao huwa wazuri sana
 
Back
Top Bottom