Wamenimalizia pesa zote za semina

Wale watoto ukiwavuta na vimishkaki na soda huku unampigia swaga za nitakupeleka Darusalaame imeisha hiyo.
Ila shida wadada wa Singida kujipodoa hawajui wako rough sana wengi wao.
Asa sijui ni ugumu wa maisha au vipi!?
Ugumu wa maisha na ni washamba.
 
Ulihifadhi upwiru hatimae wamekutoa mkuu.

Heri shari kamili kuliko nusu shari, malizia tu na hako kalaki.
 
Unazungumzia wairak au wanyaturu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…