Afadhali uwaambie wewe mwenyewe shahidiMimi nimetahiriwa Hindu Mandal siku moja na kaka yangu, yeye miaka minne mimi mwaka mmoja.
Aisee kuna difference kubwa ya flaccid size.
Mdogo wangu ametahiriwa na miaka saba. Flaccid size kanizidi kitambo.
Sisi wote ni watoto wa baba mmoja mama mmoja. Genetically nakuwaje tofauti nao?
MSINITANIE.
Also sihisi pleasure kwenye blowjob, another effect ya tohara ya mapema.
Sasa nyie semeni tu kirahisi wakati mashuhuda tupo street.
Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
Hata ujinga na ujuaji nao ni kipaji kama vipaji vyengineUmesomea nini mkuu? Ina ukubwa wa mashine unaongezwa na govi? Ndiyo Wasukuma mnadanganyana kukaa na malucas Mwashambwa mpka uzeeni ili msiwe na vibamia?
Wakwangu atatahiriwa akiwa na miaka 12 ili aende secondary akaniletee wajukuuKama wewe sio mwanaume, halafu mwanaume wa kiafrika hili jambo ni kubwa sana kwako kulielewa
Kala yangu alitahiriwa akiwa na miaka 12Mwanaume anatakiwa ajitambue wanaume wake kupitia maumivu ya kukatwa hivi akiwa na umri angalau miaka nane au tisa mpaka 12 .
Jikute mjuaji mpaka kwenye personal experience za watu.Aiseee elimu inahitajika sana sasa kama kuwa ndugu ndo sababu mbona ma group ya damu mnatofautiana? Ishu ni kwamba umerithi tu kibamia mkuu na ndugu zako wamebahatika kupata genes ninazo sapoti maumbile kuwa makubwa .
Kingine flaccid size haina mashiko yoyote maana unapojaamiiiana kinachoangaliwa ni erection size na sio flaccid size.
Samaleko mkuumnaona jinsi wanawake wa kizungu wanavyopenda kutombwa na wanaume wa kiafrika..?
Urefu hauna lolote,kikubwa asiuzege mechi hovyohovyo😀😀😀😀Mzigo atapiga haswa maana hamalizi kirahisi kwasababu feeling inapungua.
Ishu ni kwamba kuna uwezekano wa kuzuia natural potential yake haswa kwenye urefu
Kumbe Lucas Mwashambwa ni govindaUmesomea nini mkuu? Ina ukubwa wa mashine unaongezwa na govi? Ndiyo Wasukuma mnadanganyana kukaa na malucas Mwashambwa mpka uzeeni ili msiwe na vibamia?
Kutahiriwa mkubwa changamoto, mie nilitahiriwa nipo darasa la tano, yaani kuna kujitonesha especially mashine ikisimama maana kwa umri ule ilikuwa ukiona upaja tu linadisaWatoto wangu nimewatoa govi wakiwa darasa 7, wakat wa jando manesi wenyewe walikuwa wanashangaa mtoto wa darasa 7 ana paipu kubwa.... Nyie wazaz wa sikuhizi mnadhan kutahiri mtoto akiwa mdogo ni fashion au sifa... Hamjiulizi kwanin zaman watu walitahiriwa wakiwa na akili zao timamu au mnadhan hawakuweza kutahiri mtoto akiwa mdogo...?
Hamjiulizi kwanin wazungu wana mboo ndogo ila waafrika wengi wana mboo kubwa ndefu..? Si mnaona jinsi wanawake wa kizungu wanavyopenda kutombwa na wanaume wa kiafrika..?
Nyie endeleeni kuiga wazungu kutahiri mtoto hata kitovu hakijakomaa...
I have been very clear from the get go kuwa ni personal experience. Na sijajilinganisha na binadamu wengine nimejilinganisha na my genetic siblings.a grower not a shower😀 hongera sana
you're just talking your feelings,
'wadogo zako' sio sample ya kutosha
is there peer reviewed research to back your claim?
let's be rational here...
Basi jirani nimekoma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Unapata wapi Shauku ya kutaka kujua Umbile la Mume wa Jirani Yako?
Makahaba wa kiume utawagundua asubuhi kabisa kabla hapajachangamka🤣Kutahiriwa mkubwa changamoto, mie nilitahiriwa nipo darasa la tano, yaani kuna kujitonesha especially mashine ikisimama maana kwa umri ule ilikuwa ukiona upaja tu linadisa
Jodoki kalimilo anasema alitahiriwa akiwa darasa la 5.Basi jirani nimekoma🤣🤣🤣🤣
Siku 8 siyo 18Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa