Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Afadhali uwaambie wewe mwenyewe shahidi
Hawa "wasomi" wa hiki kizazi ni wajuaji sana
 
Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa

Mwanaume anatakiwa ajitambue wanaume wake kupitia maumivu ya kukatwa hivi akiwa na umri angalau miaka nane au tisa mpaka 12 .
 
Umesomea nini mkuu? Ina ukubwa wa mashine unaongezwa na govi? Ndiyo Wasukuma mnadanganyana kukaa na malucas Mwashambwa mpka uzeeni ili msiwe na vibamia?
Hata ujinga na ujuaji nao ni kipaji kama vipaji vyengine
We tahiri watoto wako hata wakizaliwa leoleo hakuna aliyekukataza, sisi tuna miiko yetu na nyie mna usomi wenu wa kwenye slides huko chuoni, mtuache sisi washamba na akina Lucas
 
Jikute mjuaji mpaka kwenye personal experience za watu.

And ume conveniently ignore suala la reduced sensitivity.
 
Nimeona kabila moja Uganda wanaitwa wagisu wanatairi vijana Wana mwaka wao kama mwaka Jana kuanzia mwezi wa 8 mpaka dec31 mwisho mnasubiri mpaka 2026 tena ndo wanaanza nilienda kuangalia aisee Wanamizigo wanakatwa bila ganzi yaani kijana anakuwa na ujasiri haswa mjomba komaa wasimkate dogo mapema
 
BIBLE, KITABU CHA MWANZO 17 : 12
Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila
mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa
nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni
asiyekuwa wa uzao wako.
 
Kutahiriwa mkubwa changamoto, mie nilitahiriwa nipo darasa la tano, yaani kuna kujitonesha especially mashine ikisimama maana kwa umri ule ilikuwa ukiona upaja tu linadisa
 
a grower not a shower😀 hongera sana

you're just talking your feelings,

'wadogo zako' sio sample ya kutosha

is there peer reviewed research to back your claim?

let's be rational here...
I have been very clear from the get go kuwa ni personal experience. Na sijajilinganisha na binadamu wengine nimejilinganisha na my genetic siblings.

It may or may not be, but why risk it? Acha mtoto akue.
 
SIO MBAYA KUMTAHIRI MTOTO WA KIUME MWENYE SIKU 8.

Ingawa Ibrahimu alikuwa mwenye umri wa miaka
tisini na kenda alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Mwanzo 17:24

Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka
kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Mwanzo 17:25
Sheria ya tohara Kwa Siku ya 8 ilikuja wakati wa Kuzaliwa Kwa Isaka.
 
Nilitahiriwa Wiki Moja Baada Ya Kubahatika Kuja Kwenye Huu Ulimwengu,,Ajabu Sasa Na Bonge La Muwa
 
Basi jirani nimekoma🤣🤣🤣🤣
Jodoki kalimilo anasema alitahiriwa akiwa darasa la 5.
Ilikuwa ni changamoto kubwa sana kwake, kwakuwa kila alipoona upaja tu wa Mwanamke. . . Ajitonesha🤣
Hivi Leo anapoiona miguu Yako Laini hapa JF,,,SHIBELA. . unadhani atakuwa anafanya nini😃😆😅😂
Hiyo miguu imeisha chafuliwa ktk ulimwengu wa Kiroho Haki ya Mungu 😀 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…