Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 3,132
- 5,508
- Thread starter
- #61
Afadhali uwaambie wewe mwenyewe shahidiMimi nimetahiriwa Hindu Mandal siku moja na kaka yangu, yeye miaka minne mimi mwaka mmoja.
Aisee kuna difference kubwa ya flaccid size.
Mdogo wangu ametahiriwa na miaka saba. Flaccid size kanizidi kitambo.
Sisi wote ni watoto wa baba mmoja mama mmoja. Genetically nakuwaje tofauti nao?
MSINITANIE.
Also sihisi pleasure kwenye blowjob, another effect ya tohara ya mapema.
Sasa nyie semeni tu kirahisi wakati mashuhuda tupo street.
Hawa "wasomi" wa hiki kizazi ni wajuaji sana