Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Kutahiriwa mkubwa changamoto, mie nilitahiriwa nipo darasa la tano, yaani kuna kujitonesha especially mashine ikisimama maana kwa umri ule ilikuwa ukiona upaja tu linadisa
Sasa hizo incidents ni muhimu mwanaume kupitia ili uje kusimulia kama hivi
Sio unatahiriwa katoto unadhana kwamba umezaliwa hivyo hivyo huna experience yoyote juu ya hatia za uanaume wako
 
Haikuwa Sheria ilikuwa agano
 
Hata ufanyeje, huwezi kuchukua nafasi ya shemeji yako kwa sistako.

Kwa sasa mambo yao yametengemaa, tegemea kusikia hii methali; MBUZI NA NG'OMBE NI WAMOJA, MTU KANDO NI KONDOO!

Jiulize kati yenu watatu ni nani kondoo!
 
Jews wanawatahiri watoto wa ndani ya siku 7. Kuwa na uume mkubwa au mdogo hauna uhusiano na muda wa tohara
 
Enzi hizo alikua anasumbuliwa na balehe,sasa hivi hata akiona mbususu hashtuki kashazizoea!
 
Na mwishowe wakamtahiri au?

Mtafute baba wa mtoto mpe nakoz😅
 
Huwa mnakaguana wanafamilia??
 
Siyo vizuri kuharibu permanent mwili wa mtu bila ridhaa yake labda kama ni Tiba.

Mfano mtu unaweza kumtoboa masikio akiwa mdogo alfu akikua anakuwa msabato anabaki kukulaumu
 
Mkuu watoto wanatahairiwa wakiwa na siku kadhaa na mtoto anapona haraka. Acha wamtahiri ila wamtahiri hospitali week tu ashapona.
Kuhusu la kubeba majukumu mkuu piga ua garagaza uwe tayari kupokea hayo ya baba mzazi kuja kuroll na mwanae. Nakwambia hiki kwa experience. Mimi yamenikuta baba mzazi toka mwanaye ameanza shule hta mia hajawahi kutoa na sasa hivi mtoto yuko la 3 tena EMs, lakini anavyong'ang'ania mtoto kutoka naye sometimes.
Nilichoamua mimi ni kutenda wema nikaenda zangu na wala mimi na yeye hatujawahi kuzungumza sina namba yake ya simu hana namba yangu kama wanatibuana wanatibuana na mzazi mwenzake.
Mimi nafanya yote kwa sababu nina love na hako kabinti kanakoniita uncle maana nimekuwa karibu nako toka kadogo. Akikua akaamua kwenda kwa baba yake none of my business and by the way kuna muda kanachukuliwaga kanaenda. Comments zangu huwa nabaki nazo mwenyewe ila kwa sasa naona hata wakikambia kanaenda kwa baba yake kanataka hata kulia maana hawana bond wanaweza wasionane mwaka mzima. But mwisho wa siku yule ni baba yake at some point lazima tu watakuwa pamoja haijalishi ulitoa mamilioni.
Mimi sina expectations maana expectations is the root of many heart attacks. Tenda wema ukitegemea no return.
 
Ndio maana wanaume wa siku hizi ni legelege na wanawake ni jasiri kwa sababu ya maumivu wanayopata wakati wa kujifungua .Kuna wafanya wanawake kuwa jasiri na wanaume ujasiri wao ni wakati wa kutahiriwa . Tena zamani ilikua ni bila ganzi
Mwanaume hawi jasiri kwasababu ya kuchelewa kutahiriwa anakua jasiri kutokana na malezi anayopata mimi nimetahiriwa ndani ya siku 40 tu mazingira ya hatari niliyoweza ku survive nikikusimulia unaweza kudhani ni filam na utajiuliza imewezekanaje, na kuna jamaa katahiriwa tulivyomaliza darasa la 7 ila sahivi ni mlamba lips tu maana kalelewa kila kitu anafanyiwa na ni muoga muoga sana
 

😂😂😂 nimesoma nikabaki nacheka tu unajua umeandika UJINGA? anyway

1. What lymp juices?

2. Unajua glans ni nini?

3. Na kama prepuce inachochea ukuaji wa glans nilitaraji isi affect length ya whole penis but the size of glans pekee.

4. What nutrients supports the growth of glans ?

🤣🤣 yaani nimeandika huku nacheka aisee ukaamua kutumia kimalkia kumbe umeandika UNGA ANYWAYS NASUBIRI MAJIBU🤣🤣🤣
 
Ndio maana wanaume wa siku hizi ni legelege na wanawake ni jasiri kwa sababu ya maumivu wanayopata wakati wa kujifungua .Kuna wafanya wanawake kuwa jasiri na wanaume ujasiri wao ni wakati wa kutahiriwa . Tena zamani ilikua ni bila ganzi
Kama maumivu ni kipimo cha uanaume basi tuna safari ndefu sana kama nchi
 
Jikute mjuaji mpaka kwenye personal experience za watu.

And ume conveniently ignore suala la reduced sensitivity.
Reduced sensitivity? Good point infact kwa wale wanaotahiriwa wakiwa wadogo huwa hawaja establish baseline ya sensitivity so hii point kwao hai make sense maana hajui tofauti ya kabla na baada .

And hii issue ni very minor na huwa affect watu wachache mno in general na si life changing trauma .additionaly compared to circumsized male non circumsized wapo kwenye high risk ya maambukizi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…