Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Kutahiriwa mkubwa changamoto, mie nilitahiriwa nipo darasa la tano, yaani kuna kujitonesha especially mashine ikisimama maana kwa umri ule ilikuwa ukiona upaja tu linadisa
Sasa hizo incidents ni muhimu mwanaume kupitia ili uje kusimulia kama hivi
Sio unatahiriwa katoto unadhana kwamba umezaliwa hivyo hivyo huna experience yoyote juu ya hatia za uanaume wako
 
SIO MBAYA KUMTAHIRI MTOTO WA KIUME MWENYE SIKU 8.

Ingawa Ibrahimu alikuwa mwenye umri wa miaka
tisini na kenda alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Mwanzo 17:24

Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka
kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Mwanzo 17:25
Sheria ya tohara Kwa Siku ya 8 ilikuja wakati wa Kuzaliwa Kwa Isaka.
Haikuwa Sheria ilikuwa agano
 
Hata ufanyeje, huwezi kuchukua nafasi ya shemeji yako kwa sistako.

Kwa sasa mambo yao yametengemaa, tegemea kusikia hii methali; MBUZI NA NG'OMBE NI WAMOJA, MTU KANDO NI KONDOO!

Jiulize kati yenu watatu ni nani kondoo!
 
Watoto wangu nimewatoa govi wakiwa darasa 7, wakat wa jando manesi wenyewe walikuwa wanashangaa mtoto wa darasa 7 ana paipu kubwa.... Nyie wazaz wa sikuhizi mnadhan kutahiri mtoto akiwa mdogo ni fashion au sifa... Hamjiulizi kwanin zaman watu walitahiriwa wakiwa na akili zao timamu au mnadhan hawakuweza kutahiri mtoto akiwa mdogo...?
Hamjiulizi kwanin wazungu wana mboo ndogo ila waafrika wengi wana mboo kubwa ndefu..? Si mnaona jinsi wanawake wa kizungu wanavyopenda kutombwa na wanaume wa kiafrika..?
Nyie endeleeni kuiga wazungu kutahiri mtoto hata kitovu hakijakomaa...
Jews wanawatahiri watoto wa ndani ya siku 7. Kuwa na uume mkubwa au mdogo hauna uhusiano na muda wa tohara
 
Jodoki kalimilo anasema alitahiriwa akiwa darasa la 5.
Ilikuwa ni changamoto kubwa sana kwake, kwakuwa kila alipoona upaja tu wa Mwanamke. . . Ajitonesha🤣
Hivi Leo anapoiona miguu Yako Laini hapa JF,,,SHIBELA. . unadhani atakuwa anafanya nini😃😆😅😂
Hiyo miguu imeisha chafuliwa ktk ulimwengu wa Kiroho Haki ya Mungu 😀 😀
Enzi hizo alikua anasumbuliwa na balehe,sasa hivi hata akiona mbususu hashtuki kashazizoea!
 
Huyu mpwa wangu tangu akiwa tumboni mimi ndo nilikuwa nimebeba majukumu ya sista (mtoto wa ma mkubwa) kumlea na kila kitu. Yaani hadi anafika umri huu kila kitu kinachohusiana na mahitaji yake mimi ndo niliyebeba kwa 100% baada ya boya mmoja kukimbia majukumu punde tu alipomwaga tui lake kwa sista.

Mi nikasema sio kesi huyu ni ndugu yangu maana tumekuwa wote pamoja yaani Kuna ile bond kubwa sana kati yetu na watoto wengine wote tuliolelewa pamoja hivyo ikaniwia ngumu Mimi kumtosa hata kama aliyatimba mwenyewe maana ni damu yangu kabisa.

Sasa hapa juzi kati napigiwa simu na sista anaomba nimuongezee hela kidogo kwa ajili ya ngariba na mambo mengine ya matibabu ili wamtahiri maana wameshauriana na baba yake eti mtoto wamtahiri Sasa hivi. Aisee siku hiyo nilichafukwa sista hakuamini nilimtolea mitusi kuanzia yeye hadi bwanake

Ukiachia mbali dharau ambayo bwanake ameionesha kwanza unawezaje kukatahiri katoto ka miaka minne!, govi hata halijakomaa wanataka mpwa wangu aje kuwa kibamia baadaye, nikawaambia wakitaka waujue utaahira wangu wathubutu hata kumchuna huyo dogo hilo govi. Kwahiyo wanataka mjomba angu baadaye asipige yope vizuri akiwa na kizambarau? Nimemwambia aache mapepe asubiri afike angalau darasa la 5 asije akaaibisha ukoo kwa sifa mbovu ya kibamia cha kujitakia.

Mtoto hata kachululuu hakajapata protini, mishipa haijakomaa, steki zenyewe hazina mafuta wala ujazo wa nyama halafu anataka kukitaka kinaniliu kwa rika hili!!?

Aah wee!
Na mwishowe wakamtahiri au?

Mtafute baba wa mtoto mpe nakoz😅
 
Mimi nimetahiriwa Hindu Mandal siku moja na kaka yangu, yeye miaka minne mimi mwaka mmoja.

Aisee kuna difference kubwa ya flaccid size.

Mdogo wangu ametahiriwa na miaka saba. Flaccid size kanizidi kitambo.

Sisi wote ni watoto wa baba mmoja mama mmoja. Genetically nakuwaje tofauti nao?

MSINITANIE.

Also sihisi pleasure kwenye blowjob, another effect ya tohara ya mapema.

Sasa nyie semeni tu kirahisi wakati mashuhuda tupo street.
Huwa mnakaguana wanafamilia??
 
Siyo vizuri kuharibu permanent mwili wa mtu bila ridhaa yake labda kama ni Tiba.

Mfano mtu unaweza kumtoboa masikio akiwa mdogo alfu akikua anakuwa msabato anabaki kukulaumu
 
Huyu mpwa wangu tangu akiwa tumboni mimi ndo nilikuwa nimebeba majukumu ya sista (mtoto wa ma mkubwa) kumlea na kila kitu. Yaani hadi anafika umri huu kila kitu kinachohusiana na mahitaji yake mimi ndo niliyebeba kwa 100% baada ya boya mmoja kukimbia majukumu punde tu alipomwaga tui lake kwa sista.

Mi nikasema sio kesi huyu ni ndugu yangu maana tumekuwa wote pamoja yaani Kuna ile bond kubwa sana kati yetu na watoto wengine wote tuliolelewa pamoja hivyo ikaniwia ngumu Mimi kumtosa hata kama aliyatimba mwenyewe maana ni damu yangu kabisa.

Sasa hapa juzi kati napigiwa simu na sista anaomba nimuongezee hela kidogo kwa ajili ya ngariba na mambo mengine ya matibabu ili wamtahiri maana wameshauriana na baba yake eti mtoto wamtahiri Sasa hivi. Aisee siku hiyo nilichafukwa sista hakuamini nilimtolea mitusi kuanzia yeye hadi bwanake

Ukiachia mbali dharau ambayo bwanake ameionesha kwanza unawezaje kukatahiri katoto ka miaka minne!, govi hata halijakomaa wanataka mpwa wangu aje kuwa kibamia baadaye, nikawaambia wakitaka waujue utaahira wangu wathubutu hata kumchuna huyo dogo hilo govi. Kwahiyo wanataka mjomba angu baadaye asipige yope vizuri akiwa na kizambarau? Nimemwambia aache mapepe asubiri afike angalau darasa la 5 asije akaaibisha ukoo kwa sifa mbovu ya kibamia cha kujitakia.

Mtoto hata kachululuu hakajapata protini, mishipa haijakomaa, steki zenyewe hazina mafuta wala ujazo wa nyama halafu anataka kukitaka kinaniliu kwa rika hili!!?

Aah wee!
Mkuu watoto wanatahairiwa wakiwa na siku kadhaa na mtoto anapona haraka. Acha wamtahiri ila wamtahiri hospitali week tu ashapona.
Kuhusu la kubeba majukumu mkuu piga ua garagaza uwe tayari kupokea hayo ya baba mzazi kuja kuroll na mwanae. Nakwambia hiki kwa experience. Mimi yamenikuta baba mzazi toka mwanaye ameanza shule hta mia hajawahi kutoa na sasa hivi mtoto yuko la 3 tena EMs, lakini anavyong'ang'ania mtoto kutoka naye sometimes.
Nilichoamua mimi ni kutenda wema nikaenda zangu na wala mimi na yeye hatujawahi kuzungumza sina namba yake ya simu hana namba yangu kama wanatibuana wanatibuana na mzazi mwenzake.
Mimi nafanya yote kwa sababu nina love na hako kabinti kanakoniita uncle maana nimekuwa karibu nako toka kadogo. Akikua akaamua kwenda kwa baba yake none of my business and by the way kuna muda kanachukuliwaga kanaenda. Comments zangu huwa nabaki nazo mwenyewe ila kwa sasa naona hata wakikambia kanaenda kwa baba yake kanataka hata kulia maana hawana bond wanaweza wasionane mwaka mzima. But mwisho wa siku yule ni baba yake at some point lazima tu watakuwa pamoja haijalishi ulitoa mamilioni.
Mimi sina expectations maana expectations is the root of many heart attacks. Tenda wema ukitegemea no return.
 
Ndio maana wanaume wa siku hizi ni legelege na wanawake ni jasiri kwa sababu ya maumivu wanayopata wakati wa kujifungua .Kuna wafanya wanawake kuwa jasiri na wanaume ujasiri wao ni wakati wa kutahiriwa . Tena zamani ilikua ni bila ganzi
Mwanaume hawi jasiri kwasababu ya kuchelewa kutahiriwa anakua jasiri kutokana na malezi anayopata mimi nimetahiriwa ndani ya siku 40 tu mazingira ya hatari niliyoweza ku survive nikikusimulia unaweza kudhani ni filam na utajiuliza imewezekanaje, na kuna jamaa katahiriwa tulivyomaliza darasa la 7 ila sahivi ni mlamba lips tu maana kalelewa kila kitu anafanyiwa na ni muoga muoga sana
 
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ukuaji wa shaft, prepuce na glans
Shaft hubeba nutrients kutoka sehemu zingine za mwili kupitia blood vessels na lymp juices pind inaposimama hasa asubuhi ndo hiyo mechanism hufanyika regularly. Na hizi nutrients destination yake huwa kwenye prepuce na glans. Prepuce inapokuwa huchochea glans kuwa hivyo hutegemeana. Uondoshwaji wa prepuce mapema katika rika dogo huifanya glans ipate very limited nutrients kutoka kwenye prepuce hivyo ukuaji huwa taratibu

😂😂😂 nimesoma nikabaki nacheka tu unajua umeandika UJINGA? anyway

1. What lymp juices?

2. Unajua glans ni nini?

3. Na kama prepuce inachochea ukuaji wa glans nilitaraji isi affect length ya whole penis but the size of glans pekee.

4. What nutrients supports the growth of glans ?

🤣🤣 yaani nimeandika huku nacheka aisee ukaamua kutumia kimalkia kumbe umeandika UNGA ANYWAYS NASUBIRI MAJIBU🤣🤣🤣
 
Ndio maana wanaume wa siku hizi ni legelege na wanawake ni jasiri kwa sababu ya maumivu wanayopata wakati wa kujifungua .Kuna wafanya wanawake kuwa jasiri na wanaume ujasiri wao ni wakati wa kutahiriwa . Tena zamani ilikua ni bila ganzi
Kama maumivu ni kipimo cha uanaume basi tuna safari ndefu sana kama nchi
 
Jikute mjuaji mpaka kwenye personal experience za watu.

And ume conveniently ignore suala la reduced sensitivity.
Reduced sensitivity? Good point infact kwa wale wanaotahiriwa wakiwa wadogo huwa hawaja establish baseline ya sensitivity so hii point kwao hai make sense maana hajui tofauti ya kabla na baada .

And hii issue ni very minor na huwa affect watu wachache mno in general na si life changing trauma .additionaly compared to circumsized male non circumsized wapo kwenye high risk ya maambukizi .
 
Back
Top Bottom