ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Are you a single child?Huwa mnakaguana wanafamilia??
Yamkini Ameisha kuwa na Moyo wenye ukakamavu. Hawezi kuyumbishwa na vitu vitamutamu vya kidunia😆Enzi hizo alikua anasumbuliwa na balehe,sasa hivi hata akiona mbususu hashtuki kashazizoea!
Tunajifunza Kwa waliotutangulia ktk Maarifa.Wewe ni muebrania?
Mwanaume hawi jasiri kwasababu ya kuchelewa kutahiriwa anakua jasiri kutokana na malezi anayopata mimi nimetahiriwa ndani ya siku 40 tu mazingira ya hatari niliyoweza ku survive nikikusimulia unaweza kudhani ni filam na utajiuliza imewezekanaje, na kuna jamaa katahiriwa tulivyomaliza darasa la 7 ila sahivi ni mlamba lips tu maana kalelewa kila kitu anafanyiwa na ni muoga muoga sana
mwanaume mashineNdo kwanza siku 2 toka Trump aweke zuio la USAID sijui ikifika december hali itakuwaje..!!
Wadudu wanazidi kuwapanda watu vichwani.!! 😥
Mimi mwenyewe niltahiliwa nikiwa na miaka 14.Watoto wangu nimewatoa govi wakiwa darasa 7, wakat wa jando manesi wenyewe walikuwa wanashangaa mtoto wa darasa 7 ana paipu kubwa.... Nyie wazaz wa sikuhizi mnadhan kutahiri mtoto akiwa mdogo ni fashion au sifa... Hamjiulizi kwanin zaman watu walitahiriwa wakiwa na akili zao timamu au mnadhan hawakuweza kutahiri mtoto akiwa mdogo...?
Hamjiulizi kwanin wazungu wana mboo ndogo ila waafrika wengi wana mboo kubwa ndefu..? Si mnaona jinsi wanawake wa kizungu wanavyopenda kutombwa na wanaume wa kiafrika..?
Nyie endeleeni kuiga wazungu kutahiri mtoto hata kitovu hakijakomaa...
Umri wa kutahiri ni umri wa miaka mingapi?Huyu mpwa wangu tangu akiwa tumboni mimi ndo nilikuwa nimebeba majukumu ya sista (mtoto wa ma mkubwa) kumlea na kila kitu. Yaani hadi anafika umri huu kila kitu kinachohusiana na mahitaji yake mimi ndo niliyebeba kwa 100% baada ya boya mmoja kukimbia majukumu punde tu alipomwaga tui lake kwa sista.
Mi nikasema sio kesi huyu ni ndugu yangu maana tumekuwa wote pamoja yaani Kuna ile bond kubwa sana kati yetu na watoto wengine wote tuliolelewa pamoja hivyo ikaniwia ngumu Mimi kumtosa hata kama aliyatimba mwenyewe maana ni damu yangu kabisa.
Sasa hapa juzi kati napigiwa simu na sista anaomba nimuongezee hela kidogo kwa ajili ya ngariba na mambo mengine ya matibabu ili wamtahiri maana wameshauriana na baba yake eti mtoto wamtahiri Sasa hivi. Aisee siku hiyo nilichafukwa sista hakuamini nilimtolea mitusi kuanzia yeye hadi bwanake
Ukiachia mbali dharau ambayo bwanake ameionesha kwanza unawezaje kukatahiri katoto ka miaka minne!, govi hata halijakomaa wanataka mpwa wangu aje kuwa kibamia baadaye, nikawaambia wakitaka waujue utaahira wangu wathubutu hata kumchuna huyo dogo hilo govi. Kwahiyo wanataka mjomba angu baadaye asipige yope vizuri akiwa na kizambarau? Nimemwambia aache mapepe asubiri afike angalau darasa la 5 asije akaaibisha ukoo kwa sifa mbovu ya kibamia cha kujitakia.
Mtoto hata kachululuu hakajapata protini, mishipa haijakomaa, steki zenyewe hazina mafuta wala ujazo wa nyama halafu anataka kukitaka kinaniliu kwa rika hili!!?
Aah wee!
SweetyCandy hujataka hata mleta mada ajitetee ushampa rungu la kichwaKibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
Hapana nimeongea ninavyojua ila kuna ukweli kwa hilo analosemaSweetyCandy hujataka hata mleta mada ajitetee ushampa rungu la kichwa
Hata ufanyeje, huwezi kuchukua nafasi ya shemeji yako kwa sistako.
Kwa sasa mambo yao yametengemaa, tegemea kusikia hii methali; MBUZI NA NG'OMBE NI WAMOJA, MTU KANDO NI KONDOO!
Jiulize kati yenu watatu ni nani kondoo!
Pengine ana digrii huyu!Huyu mpwa wangu tangu akiwa tumboni mimi ndo nilikuwa nimebeba majukumu ya sista (mtoto wa ma mkubwa) kumlea na kila kitu. Yaani hadi anafika umri huu kila kitu kinachohusiana na mahitaji yake mimi ndo niliyebeba kwa 100% baada ya boya mmoja kukimbia majukumu punde tu alipomwaga tui lake kwa sista.
Mi nikasema sio kesi huyu ni ndugu yangu maana tumekuwa wote pamoja yaani Kuna ile bond kubwa sana kati yetu na watoto wengine wote tuliolelewa pamoja hivyo ikaniwia ngumu Mimi kumtosa hata kama aliyatimba mwenyewe maana ni damu yangu kabisa.
Sasa hapa juzi kati napigiwa simu na sista anaomba nimuongezee hela kidogo kwa ajili ya ngariba na mambo mengine ya matibabu ili wamtahiri maana wameshauriana na baba yake eti mtoto wamtahiri Sasa hivi. Aisee siku hiyo nilichafukwa sista hakuamini nilimtolea mitusi kuanzia yeye hadi bwanake
Ukiachia mbali dharau ambayo bwanake ameionesha kwanza unawezaje kukatahiri katoto ka miaka minne!, govi hata halijakomaa wanataka mpwa wangu aje kuwa kibamia baadaye, nikawaambia wakitaka waujue utaahira wangu wathubutu hata kumchuna huyo dogo hilo govi. Kwahiyo wanataka mjomba angu baadaye asipige yope vizuri akiwa na kizambarau? Nimemwambia aache mapepe asubiri afike angalau darasa la 5 asije akaaibisha ukoo kwa sifa mbovu ya kibamia cha kujitakia.
Mtoto hata kachululuu hakajapata protini, mishipa haijakomaa, steki zenyewe hazina mafuta wala ujazo wa nyama halafu anataka kukitaka kinaniliu kwa rika hili!!?
Aah wee!
kwamba n ndogo?Mimi nimetahiriwa 13 years ila 5.6 inches
Sio tu 18yrs yaan hata asipotahir maisha yake yote kama ni ndogo baaaaasss ni ndogo tuKibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa