Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Huwa mnakaguana wanafamilia??
Are you a single child?

Watoto wa jinsia moja huwa tunashare bedroom, hivyo muda wa kuoga na kubadili nguo utaona tu maumbile ya mwenzio every once in a while.

We si msichana? Nyie si huwa mkiwa chumbani na dada zenu mnakuwa uchi wa mnyama na mnarelax? Ina maana huoni sista wako akikuzidi mat1t1?

Kama wewe ni mtoto wa pekee na hujawahi kukaa boarding ndio unapaswa kuuliza hili swali.

Au ulimaanisha kukaguana kuvuta ruler na kupimana?
 
Wanakatairi mapema hivyo wanakaandaa kaanze kuwapiga miti chekechea wenzake wa kike? Pamoja na hii pumba yangu nasema ni mapema kukatahiri mimi govi nimeliondoa form 2 japo shule ya msingi nilipata sana shida
 


Kuna ujasiri wa sifa na ujasiri wa asili ya mtu kujitambua kama mwanaume .
Ujasiri wa Sifa hata wanawake wanao.

Hao wa siku tano ujasiri wao ni wa sifa na mara nyingi ni ujasiri wa kugombania wanawake na hata kuuana . Huo sio ujasiri ni kujionyesha . Ujasiri ni uwezo wa kuhimili mihamko na uvumilivu na utulivu kunapoku na jambo linalohitaji kutulia .

Ndio maana wanaume wa siku hizi wanalia lia kama watoto
 
Mimi mwenyewe niltahiliwa nikiwa na miaka 14.
 
Umri wa kutahiri ni umri wa miaka mingapi?
 
Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
SweetyCandy hujataka hata mleta mada ajitetee ushampa rungu la kichwa
 
Sijataka kuchukua nafasi, wao ndo wameitelekeza wakiitaka watawajibika ila kwa sasa Mimi ndo mlumendagu
Hata ufanyeje, huwezi kuchukua nafasi ya shemeji yako kwa sistako.

Kwa sasa mambo yao yametengemaa, tegemea kusikia hii methali; MBUZI NA NG'OMBE NI WAMOJA, MTU KANDO NI KONDOO!

Jiulize kati yenu watatu ni nani kondoo!
 
Pengine ana digrii huyu!
 
Kama ni mmasai sawa naona wamasai wengi wanachelewesha sana kutahir watoto

Kwenye kibamia acha Iman potofu[emoji51]
 
Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
Sio tu 18yrs yaan hata asipotahir maisha yake yote kama ni ndogo baaaaasss ni ndogo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…