Wamiliki wa lodge kuweni serious

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu kuweni serious basi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Saka pesa mzee wangu ulale hotel sio lodge. Na hayo mambo unakagua kabla hujalipa pesa kwenye chumba husika ushamba nao unachangia kupata vitu vibovu
 
Jina kubwa humu jf kumbe unalala lodge za 20,000-30,000? Lazima upate haramufu ya shahawa
 
Nimechek mpaka watoto wakaniuliz unachek nn baba, imebidi nizuge nisema picha zinu hizi kwenye simu zinanichekesha.!!!!!
Dah.! 3 hrs ndani ya chooo.! Umenifurahisha as if comedy clip kumbe ndo maisha yanaendelea.
 
Kuna lodge moja hapo Arusha nyuma ya Levolosi hospital inaitwa KV. Kuna Binti mmoja wa jikoni ana meno yameungua kidogo, mala kadhaa unaweza mkuta reception akiwa na mwenzie, shift yake anakuaga na kabinti kengine keusi kembamba, nimelazimika kuitaja hiyo motel Kwa sababu huyo binti mweupe mwenye meno yameungua hivi kama sikosei, wa jikoni, muda wote yeye hua na simu akichat, maana pale Kuna Wi-Fi, sasa unaweza muuliza kitu yeye hata hakutazami usoni, anakujibu huku akiperuzi mitandao ya kijamii na wakati mwingine anaweza asikujibu chochote, yaani hua anaudhi yule Binti ni balaa, kanajisahau kua wateja ndiyo wanaokalipa mshahara
 
Huyo manzi namfahamu ana mbunye tamu balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…