Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

Inaonyesha katika hii dunia, kwa mtazamo wako, waislamu wanaonewa sana..!! Maana sijawahi ona post yako yoyote inayotaja wema wa wasio waislamu kwa waislamu..!!!
Nga...
Mimi nimeandika historia ya kudai uhuru wa Tanganyika na mchango wa Waislam.

Sijaandika historia ya Waislam duniani.
 
Nga...
Mimi nimeandika historia ya kudai uhuru wa Tanganyika na mchango wa Waislam.

Sijaandika historia ya Waislam duniani.
Vyovyote uandikavyo, hujawahi andika uzuri wa wasio waislam kwa waislam..!! Picha unayotujengea siku zote kwenye mabandiko yako, ni kwamba waislam popote walipo wao ni kuonewa tu na wasio waislam a.k.a MAKAFILI kama mnavyotuita. Iwe mambo ya kudai uhuru, iwe mambo ya elimu na mashule kwa ujumla, iwe uhuru wa kusali/kuswali etc..!!
 
Wanafunzi wa kwanza walimuelewaje Yesu?

Matendo ya Mitume 3:13 imeandikwa hivi Mungu wa Ibrahimu na wa Isakana Wayakobo, Mungu wa Baba zetu amemtukuza Mtumishi wake Yesu ambaye nyinyimlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake iliafunguliwe.

Maneno ya wanafunzi yalikuwa wazi kuwa Yesu ni Mtumishi wa Mungu tuyaani Mtume pia ni Nabii.

Matendo ya Mitume 4:27 imeandikwa hivi maana ni kweli Herode na PontioPilato pamoja na Mataifa na watu wa Israel walikusanyika katika mji huujuu ya Mtumishi wako Mtakatifu Yesu uliyemtia mafuta.

Wanafunzi wanaendelea na msimamo wao kwamba Yesu ni Mtumishi wa Mungualiyetumwa (Mtume) tu.

Luka 24:19 imeandikwa:- Akawauliza mambo gani? Wakamwambia mambo yaYesu Wanazareti aliyekuwa mtu nabii mwenye uwezo wa kutenda na kusema mbeleza Mungu na Wanadamu.

Marko 6:2 imeandikwa:- Na ilipokuwa Sabato aliingia katika Sinagogi,wengi waliposikia walishangaa wakasema huyu ameyapata wapi haya! Hekimagani hii? Aliyopewa huyu? Nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikonoyake? Huyu si ni yule Selemala mwana wa Mariamu na nduguyao Yakobo na Yosefna Yuda na Simoni na Maumbu wake hawapo hapa? Maneno haya yanathibitishakwamba watu waliomfahamu Yesu walishangaa matendo makubwa anayoyatendahata hivyo walijua kwamba yeye ni Selemala wa Mwana wa Mariamu tu.

Marko 13:31 tunasoma hivi – Mbingu na Nchi zitapita lakini maneno yanguhayatapita kamwe. Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna anaye ijuahata malaika wala Mwana (Yesu) ila Baba tu Mungu, hapa Yesu alikua anazungumzahabari ya siku ya mwisho alikiri wazi kwamba yeye siku haijui hata Malaikahawajui ila Mungu peke yake.
MATAYO 17:4-6

Petro akajibu akamwambia Yesu, Bwana, ni vizuri sisi kuwapo hapa; ukitaka, nitafanya hapa vibanda vitatu, kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya. Alipokuwa katika kusema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye. Na wale wanafunzi waliposikia, walianguka kifulifuli, wakaogopa sana.
 
MATAYO 17:4-6

Petro akajibu akamwambia Yesu, Bwana, ni vizuri sisi kuwapo hapa; ukitaka, nitafanya hapa vibanda vitatu, kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya. Alipokuwa katika kusema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye. Na wale wanafunzi waliposikia, walianguka kifulifuli, wakaogopa sana.
WANA WA MUNGU

Biblia inasema kwamba:

1. Bwana asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu. (Kutoka 4:22).

2. Daudi ni mwana wa Mungu, yeye pia ni mwana wa kwanza. (Zaburi 89: 26-27).

3. ....maana mimi ni baba wa Israeli na Efraim (Ibrahim) ni mzaliwa wa kwanza wangu. (Yeremia 31:9).

Hawa wana wa Mungu wote, kila mmoja wao ni mzaliwa wa kwanza kwa Mungu.

Kwanza itakuwaje watoto wote watatu wawe wazaliwa wa kwanza kwa Mungu.

Pili kwa nini hawa wazaliwa wa kwanza wasiitwe miungu?

Na kama hawa watatu wakubwa hawawezi kuwa miungu wala hawaabudiwi, basi mtoto mdogo Yesu pia hana haki yoyote ya kuitwa Mungu wala hana haki ya kuabudiwa.

4. Suleimani ni Mwana wa Mungu. (Mambo ya Nyakati 22:9-10).

5. Wapatanishao wameitwa Wana wa Mungu. (Mathayo 5:9).

Oo! siyo tu bali katika Biblia baadhi ya watu wameitwa miungu. Tena hakuna Mkristo ambaye anawaita iungu wala kuabudiwa .

Kama Biblia inavyosema kwamba:

A. Yesu akawajibu, Je! haikuandikwa katika Torati yenu ya kwamba, mimi nimesema, ndinyi miungu? (Yohana 10:34).

B. Bwana akamwambia Musa angalia, nimekufanya wewe kuwa kama mungu kwa Farao na huyo ndugu yako Harun atakuwa Nabii wako. (Kutoka 7:1).
 
MATAYO 17:4-6

Petro akajibu akamwambia Yesu, Bwana, ni vizuri sisi kuwapo hapa; ukitaka, nitafanya hapa vibanda vitatu, kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya. Alipokuwa katika kusema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye. Na wale wanafunzi waliposikia, walianguka kifulifuli, wakaogopa sana.

Katika Injili za Mathayo, Marko na Luka, Yesu ameitwa mara 22 kwa jina la "Mwana wa Mungu", lakini hata mara moja yeye mwenyewe hakujiita kwa jina hilo.

Katika Mathayo 27.43 yanatajwa maneno ya wakuu wa makuhani wa Kiyahudi pamoja na waandishi na wazee waliokuwa wakimdhihaki, si maneno yake yeye Yesu.

Walikuwa wakimzulia kuwa anadai uwana wa Mungu, na anadai kuwa ni Mfalme wa Israeli.

Mara nyingi waliokuwa wakimwita Mwana wa Mungu walikuwa ama wendawazimu, wenye pepo wachafu, au askari wa Kirumi ambao tokea hapo wao ni washirikina, mapagani.

Yeye mwenyewe Yesu alikuwa daima akipendelea kujiita mwana wa Adamu kwa Kiebrani, lugha yake, Bin Adam, yaani ni binaadamu, mtu tu.

Katika Injili jina hili la Yesu kuitwa mwana wa Adamu limetajwa yapata mara 80.

Mahasimu zake wa Kiyahudi walimzulia kuwa alidai kuwa ni Mfalme wa Mayahudi ili kumchongea kwa watawala wa Kirumi, na kuwa alidai kuwa ni Mwana wa Mungu ili apate kuchusha kwa Mayahudi.
 
Katika Injili za Mathayo, Marko na Luka, Yesu ameitwa mara 22 kwa jina la "Mwana wa Mungu", lakini hata mara moja yeye mwenyewe hakujiita kwa jina hilo.

Katika Mathayo 27.43 yanatajwa maneno ya wakuu wa makuhani wa Kiyahudi pamoja na waandishi na wazee waliokuwa wakimdhihaki, si maneno yake yeye Yesu.

Walikuwa wakimzulia kuwa anadai uwana wa Mungu, na anadai kuwa ni Mfalme wa Israeli.

Mara nyingi waliokuwa wakimwita Mwana wa Mungu walikuwa ama wendawazimu, wenye pepo wachafu, au askari wa Kirumi ambao tokea hapo wao ni washirikina, mapagani.

Yeye mwenyewe Yesu alikuwa daima akipendelea kujiita mwana wa Adamu kwa Kiebrani, lugha yake, Bin Adam, yaani ni binaadamu, mtu tu.

Katika Injili jina hili la Yesu kuitwa mwana wa Adamu limetajwa yapata mara 80.

Mahasimu zake wa Kiyahudi walimzulia kuwa alidai kuwa ni Mfalme wa Mayahudi ili kumchongea kwa watawala wa Kirumi, na kuwa alidai kuwa ni Mwana wa Mungu ili apate kuchusha kwa Mayahudi.
Ila Mungu alimtambulisha kama mwana wake..!!
 
Ila Mungu alimtambulisha kama mwana wake..!!

Hata wewe unaweza kuwa ni mwana wa mungu , lakini haikufanyi kuwa wewe ni Mungu.

Kwa kuwa Wayahudi wanaamini kuwa Mungu ni Mmoja, na hana mke wala mtoto kwa maana halisi yoyote ile, ni wazi kuwa ibara “mwana wa Mungu” kwa Wayahudi ina maana ya “Mtumishi wa Mungu tu” yaani mtu aliye karibu na Mungu, kwa sababu ya huduma yake ya kiimani, akiwa kama mtoto kwa baba yake.

Wakristo waliokuja kutoka katika historia za kuwa walikuwa ni Wagiriki au Warumi, baadaye waliitumia vibaya istilahi hiyo. Kwani katika urithi wao, “mwana wa Mungu” inamaanisha mungu ana mwili au mtu aliyezaliwa kwa muungano wa kimwili kati ya mungu mwanamume na mwanamke.

Wakati Kanisa lilipoacha msingi wa Kiyahudi, lilitwaa dhana ya kipagani ya “mwana wa Mungu”, ambayo kwa ukamilifu, ilikuwa ni tofauti na matumizi ya Kiyahudi.

Kwa hiyo, matumizi ya istilahi “mwana wa Mungu” inafaa ifahamike kuwa ni alama ya ufahamu ya kisemintiki yenye maana “mtumishi wa Mungu”, na sio katika ufahamu wa kipagani wa uhalisi wa kuwa kinda la Mungu.

Katika Injili nne, Yesu anarekodiwa akisema: “Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.” Mathayo 5:9.76
 
Salman Rushdie. AYA ZA KISHETANI.

WADAU MDOWNL

Uungu wa Yesu ulianza vipi?

Tangu mwishoni mwa Karne ya tatu ulitokea mvutano mkubwa sana katikaKanisa kuhusu mafundisho ya Maaskofu kuhusu Cheo cha Yesu na Mariamu. Mabishanohayo yaliendelea kwa kasi kila mtu alimtafsiri Yesu kivyake.

Hali ilizidi kuwa mbaya sana mnamo mwaka 325 AD ilimlazimu Mfalme wawakati huo Konstantine awaite Maaskofu wote wakati huo Kanisa lilikuwana Maaskofu 300 ili waje waelewane na kuwa na msimamo mmoja lakini ni sehemutu ya Maaskofu walio hudhuria.

Wakati huo Konstantine alikuwa Mpagani mwabudu jua kwa wazazi wake,soma The Early Church. Kwa hiyo aliwakusanya Maaskofu ili kuletautulivu katika utawala wake. Mfalme huyu ndiye aliyekuwa Mwenyekiti namtendaji muhimu katika mkutano huo.

Majadiliano yalikuwa makali sana iliwachukua miezi miwili bila mwafakawowote ndipo Mfalme aliingilia kati na kutoa uamuzi wake na ndiyo ilibidiufuatwe, yeye aliwaunga mkono wale waliosema Yesu ni Mungu kweli na mtukweli ni mwana wa Mungu aliye sawa na Baba yake Mungu, pia Mariamu ni mamawa Mungu pia ni Malkia wa Mbinguni. Kwa hiyo Mfalme Mpangani akawa ameshirikisehemu ya maana sana katika kumpandisha cheo toka kuwa mtume hadi kuwaMungu kamili na Mariamu akawa mama wa Mungu.

Kama nilivyosema Kostantini alikuwa Mpagani hivyo, hakuwa na ujuzi kamilijuu ya maswali yaliyokuwa yakiulizwa katika Thiolojia ya Kigiriki alilojuani kuleta amani katika utawala wake tu. Soma A. Short. History of ChristianDoctrine.

Uamuzi huo ulikuwa ni wa kijeshi siyo hiyari hapo Maaskofu waliomuhofuMfalme walitia sahihi zao lakini wengine walikataa waliokataa waliteswasana na kunyanyaswa hadi waliuwawa kikatili sana.

Mkutano huo ulikuwa katika mji wa NICEA na uliitwa Baraza la NICEA mwaka325 AD.

Uamuzi wa NICEA haukuleta utulivu kama walivyotegemea bali vurugu zahali ya juu, mateso na mauaji yalikuwa makubwa sana hasa kwa wale waliokataafundisho hilo la Yesu kuwa Mungu na Mariamu mama wa Mungu, Malkia na Mbinguni.

Mateso na mabishano yalienea zaidi huko Ufaransa ya Kusini, Hispaniana Ujerumani miaka mingi iliyopita hasa baada ya Patano la Milano ambapoKostantini na Kanisa walishirikiana vizuri Makanisa yakajengwa kwa gharamaza serikali hapo mateso yalizidi watu wengi waliuwawa vibaya hovyohovyotu.

Ilipofika mwaka 381 A.D. mambo yalizidi kuwa mabaya sana hapo Mfalmealiyekuwa anamiliki wakati huo Theodosius aliitisha tena mkutano wa Maaskofuwote katika mkutano huo Mfalme alitangaza rasmi kuunga mkono uamuzi waBaraza la NICEA.

Pia walikubaliana Roho Mtakatifu aunganishwe katika utatu Mtakatifuhapo ndipo imani ya utatu wa Mungu Mmoja ilianza ili kuwathibiti wale waliokuwawanapinga ilitolewa amri kwamba hakuna ruksa kwa mtu yeyote kupinga aukutafsiri neno linalohusu Biblia au mapokeo soma. Hati ya Funuo yaVaticani10:4 imeandikwa:- Lakini haki ya kutoa tafsiri thabiti ya neno la Munguau mapokeo imekabidhiwa mamlaka ya kifundishi ya Kanisa Katoliki peke yaketu. Mkutano huo unaitwa Baraza la Kostantinopol. Mwaka 381 A.D.

Historia inaendelea kutueleza kwamba Kanisa liliendelea kuwatesa nakuwauwa wote waliojaribu kupinga au kufafanua vingine mamlaka ya Kanisaikishirikiana na serikali, watu waliteswa kwa njia nyingi, mfano:- wapowaliofungwa na kunyimwa chakula hadi kufa, wengine walitupwa kwenye zizilililokuwa na wanyama wakali na kuliwa na wengine walilazimishwa kukaliavyuma vyenye moto, wengine walivalishwa shingoni mkufu wenye misumari yenyencha kali baadaye misumari ilipigiliwa na kuingia shingoni hadi kufa. Wenginewalibanwa na Koleo maalum Magotini na kuvunja miguu na kuwalazimisha wakubalimafundisho ya Kanisa la Roma.

Wapo waliochunwa ngozi ya mwili mfano wa mbuzi na walikufa kwa matesomno. Uamuzi huu wakutisha ulikuwa unatimiza maneno ya Yesu Matayo 12:37-43.

Akasema azipandaye mbegu njema ni mwana wa Adamu lile Konde ni ulimwenguzile mbegu njema ni wana wa Mfalme, yale magugu ni wana wa yule mwovu aliyepandani Ibilisi mavuno ni mwisho wa dunia wavunao ni malaika kama vile maguguyanavyokusanywa na kuchomwa motoni ndivyo itakavyokuwa katika mwisho waDunia… mwenye masikio na asikie.

Uamuzi huo ulitimiza kweli magugu yalikuwa yamepandwa Ulimwenguni imaniya uongo iliingia kwa nguvu kama vile magugu yanavyoingia shambani na kuharibungano ndivyo ilivyo hadi leo hii fundisho hilo la uongo limekuwa ndiyomsingi mkubwa wa imani ya Kanisa Duniani pote.

Ipo njia inayoonekana kuwa sawa machoni mwa mtu lakini mwisho wake nimauti mithili 14:12 Viongozi wa Kanisa waliona kwamba njia nzuri ya kumuheshimuYesu ni kumpandisha Cheo toka Mtume wa Mungu hadi kuwa Mungu sawa MunguMuumba vyote kabisa.

Mariamu akapandishwa kutoka mama wa Mtume Mtakatifu. Viongozi wakampandishacheo cha mama wa Mungu nani Malkia wa Mbinguni!!! Viongozi hao inafaa wafungwejiwe la kusagia shingoni sababu wamewakosesha watu hadi leo hii wanaendeleakuwakosesha kwa mafundisho ya uongo Marko 9:42. Ndugu Msomaji ninakushauriuende Maktaba utaona vitabu na kurasa maelfu ambavyo wanathiolojia wamejitahidisana kutoa fafanuzi mbalimbali na mitajo ya kila aina ili kupata ukweliwa mambo kuhusu utatu lakini huishia kuchanganyikiwa, na kuacha bila kuelewana hawapati ushahidi ulio.

KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA NA TABIA KAMA ZA WANAWAKE?​



1. APAKA WANJA NA PODA KAMA WANAWAKE.
2. ACHUCHUMAA WAKATI WA HAJA NDOGO.
3. ALIVAA MAGAUNI YA WAKE ZAKE.
HUU NI MSIBA WA KUMALIZA MWAKA 2016 KWA WAISLAM.
Japo alikuwa mwanaume lakini Muhammad alikuwa na tabia kama za Wanawake,
Mfano Muhammad alikuwa anachuchumaa wakat anakojoa. Soma ushaidiL
Aisha Mke Wa Mtume Anasema "Mwenye kukuhadithieni kuwa Mtume Wa Allah (S.a.w) alikwenda haja Nnogo wima musimsadiki, (Mtume) Alikuwa hajisaidii Ila AMECHUCHUMAA"
Al'mugh'niy 1/156 Muhamad Pia Alikuwa Hataki Kuona Muislam Mwanaume Anakojoa Hali Amesimama.
Soma Sunan Ibn Majah 1/112 Hadith Na 309, "Mtume wa Allah aliniona najisaidia wima (Haja Ndogo) akasema: Ewe Umar, Usijisaidie Wima.
Sunan Ibn Majah, Hadith Na 309 Muhamad pia alikuwa anatembea Na KIOO Na WANJA,
ALIPAKA WANJA KAMA WANAWAKE:
Ukisoma maisha ya Muhamad kipengele cha Mavazi Na 26 "Muhammad alikuwa na Kitana Cha Pembe Akichania Nywele Zake, alikuwa na Mafuta Na ALIKUWA NA KIOO akijitazama na KICHUPA CHA WANJA ambao akijitia usiku usiku kabla ya kulala na alipenda sana kutumia Manukato..."
Sio Kawaida Mwanaume KUJIPAKA WANJA AU KUKOJOA HUKU AMECHUCHUMAA. LAKINI MUHAMMAD YEYE ALIPAKA WANJA KAMA WANAWAKE NA KUPAKA HINA NDEVU ZAKE.
Hivi hii tabia ya kike aliipata wapi?
ALIVAA MAGAUNI YA AISHA:
From the English translation of the Sahih collection of Imam Muslim, Book 031, Number 5984:
Aisha mke wa Muhammad alisema: Nabii wa Mwenyezi Mungu alikuwa anapata ufunuo wakati amevaa nguo zangu au amejifunika ushingi wangu.
The Book Pertaining to the Merits of the Companions of the Holy Prophet (Kitab Al-Fada'il Al-Sahabah) (University of Southern California…/fund…/hadithsunnah/muslim/031.smt.html…)
 
Salman Rushdie. AYA ZA KISHETANI.

WADAU MDOWNL


KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA NA TABIA KAMA ZA WANAWAKE?​



1. APAKA WANJA NA PODA KAMA WANAWAKE.
2. ACHUCHUMAA WAKATI WA HAJA NDOGO.
3. ALIVAA MAGAUNI YA WAKE ZAKE.
HUU NI MSIBA WA KUMALIZA MWAKA 2016 KWA WAISLAM.
Japo alikuwa mwanaume lakini Muhammad alikuwa na tabia kama za Wanawake,
Mfano Muhammad alikuwa anachuchumaa wakat anakojoa. Soma ushaidiL
Aisha Mke Wa Mtume Anasema "Mwenye kukuhadithieni kuwa Mtume Wa Allah (S.a.w) alikwenda haja Nnogo wima musimsadiki, (Mtume) Alikuwa hajisaidii Ila AMECHUCHUMAA"
Al'mugh'niy 1/156 Muhamad Pia Alikuwa Hataki Kuona Muislam Mwanaume Anakojoa Hali Amesimama.
Soma Sunan Ibn Majah 1/112 Hadith Na 309, "Mtume wa Allah aliniona najisaidia wima (Haja Ndogo) akasema: Ewe Umar, Usijisaidie Wima.
Sunan Ibn Majah, Hadith Na 309 Muhamad pia alikuwa anatembea Na KIOO Na WANJA,
ALIPAKA WANJA KAMA WANAWAKE:
Ukisoma maisha ya Muhamad kipengele cha Mavazi Na 26 "Muhammad alikuwa na Kitana Cha Pembe Akichania Nywele Zake, alikuwa na Mafuta Na ALIKUWA NA KIOO akijitazama na KICHUPA CHA WANJA ambao akijitia usiku usiku kabla ya kulala na alipenda sana kutumia Manukato..."
Sio Kawaida Mwanaume KUJIPAKA WANJA AU KUKOJOA HUKU AMECHUCHUMAA. LAKINI MUHAMMAD YEYE ALIPAKA WANJA KAMA WANAWAKE NA KUPAKA HINA NDEVU ZAKE.
Hivi hii tabia ya kike aliipata wapi?
ALIVAA MAGAUNI YA AISHA:
From the English translation of the Sahih collection of Imam Muslim, Book 031, Number 5984:
Aisha mke wa Muhammad alisema: Nabii wa Mwenyezi Mungu alikuwa anapata ufunuo wakati amevaa nguo zangu au amejifunika ushingi wangu.
The Book Pertaining to the Merits of the Companions of the Holy Prophet (Kitab Al-Fada'il Al-Sahabah) (University of Southern California…/fund…/hadithsunnah/muslim/031.smt.html…)

Kung'ang'ania kifo cha Yesu ni uoni finyu


HAKUNA aya hata moja ya Biblia inayomtaja mtu yeyote aliyeona sura ya Yesu hasa wakati akifa pale msalabani.Yesu alidhaniwa tu kuwa ni Yesu aliyeuawa msalabani, lakini baada ya sikuchache Yesu huyo akaonekana yu hai, wala hakurudi kama pepo (ghost)! Kung'ang'aniakuwa ni Yesu aliyeuawa pale msalabani ni utani mgonjwa, hususan tukizingatia ushahidi wote huo hapo nyuma, vipofu na hata kuwafufua watu. Kwa upande mwingine twaambiwa eti kumtesa Yesu kwa kumpiga, kumchoma kwa ncha kali,na kumpigilia misumari mtini eti ilitosha kumuuwa Yesu. Hii haiingii akilini kimantiki labda kwa kuiamini tu kiupofu (blindly).

Isitoshe, Yesu angalisubuliwa kweli, ingekuweko aina moja tu ya msalaba aliouliwa. Lakini Catholic Encyclopaedia peke yake ina aina 40 za misalaba.

Kwa sababu zisizo dhahiri, msalaba ule wa vipande viwili vinavyosigana yaani +, ndio umependelewa zaidi na Waingereza wakauita "Cross", ingawa neno la awali la msabala kwa Kigiriki ni "Stauros" ambalo halina dhana ya vipande viwili ila kimoja tu. Biblia chache tu kama ile ya Mashahidi wa Yehova ndio imetaja waziwazi kuwa Yesu aliangikwa kwenye mti (stauros) na usulubisho kwao wao sio "crucifixion" bali "stafixion".

Dhehebu jingine limesema Yesu aliangikwa kwenye mti wenye umbo la T. Ke bado Wakristo wengine wanauabudu msalaba huo wa alama ya kujumlisha +.

Gazeti la Newsweek la Aprili 4, 1994 liandika: "Kifo cha Yesu - Fikra mpya za siku zake za mwisho". Limesema kuwa, kama Yesu kweli aliuliwa msalabani, basi lazima iweko aina moja tu ya msalaba.

Katika gazeti hilo hilo, Padri wa Kikatoliki Raymond Brown kaandika kitabu chake, "The Death of the Messiah (Kifo cha Masihi)". Double day na wana seminari wenziwe 2000 amesema kuwa hadithi za Yesu kuhusu kuhubiri, kuponya wagonjwa, kufanya miujiza, hizo zaweza kuwa kweli; lakini hadithi nyingine (kama ya kusulubiwa Yesu) hazina usahihi wa kihistoria (historical accuracy).

Hii anasema ni kwa sababu waandishi wote wa Injili hawakuwa mashahidi wa macho (eye witnesses) kushuhudia hata moja ya yale wayoyaandika mnamo miaka 35-70 baada ya Kristo; na mpaka leo hatuna hakika ni nani hasa aliyeandika Injili zote hizo, ambazo kila moja inatofuatiana na yenzie.

Yesu asingekosa kutabiri kuuliwa kwake msalabani, akatabiri juu ya kuteswa tu:

"Mt 23:35 Hivyo ije juu yenu damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habil, yule mwenye hakika hata ... Zakaria ... mliyemuua kati ya patakatifu".

"Lk 22:15 ... Nimetamani sana kula pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa"
 
Salman Rushdie. AYA ZA KISHETANI.

WADAU MDOWNL


KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA NA TABIA KAMA ZA WANAWAKE?​



1. APAKA WANJA NA PODA KAMA WANAWAKE.
2. ACHUCHUMAA WAKATI WA HAJA NDOGO.
3. ALIVAA MAGAUNI YA WAKE ZAKE.
HUU NI MSIBA WA KUMALIZA MWAKA 2016 KWA WAISLAM.
Japo alikuwa mwanaume lakini Muhammad alikuwa na tabia kama za Wanawake,
Mfano Muhammad alikuwa anachuchumaa wakat anakojoa. Soma ushaidiL
Aisha Mke Wa Mtume Anasema "Mwenye kukuhadithieni kuwa Mtume Wa Allah (S.a.w) alikwenda haja Nnogo wima musimsadiki, (Mtume) Alikuwa hajisaidii Ila AMECHUCHUMAA"
Al'mugh'niy 1/156 Muhamad Pia Alikuwa Hataki Kuona Muislam Mwanaume Anakojoa Hali Amesimama.
Soma Sunan Ibn Majah 1/112 Hadith Na 309, "Mtume wa Allah aliniona najisaidia wima (Haja Ndogo) akasema: Ewe Umar, Usijisaidie Wima.
Sunan Ibn Majah, Hadith Na 309 Muhamad pia alikuwa anatembea Na KIOO Na WANJA,
ALIPAKA WANJA KAMA WANAWAKE:
Ukisoma maisha ya Muhamad kipengele cha Mavazi Na 26 "Muhammad alikuwa na Kitana Cha Pembe Akichania Nywele Zake, alikuwa na Mafuta Na ALIKUWA NA KIOO akijitazama na KICHUPA CHA WANJA ambao akijitia usiku usiku kabla ya kulala na alipenda sana kutumia Manukato..."
Sio Kawaida Mwanaume KUJIPAKA WANJA AU KUKOJOA HUKU AMECHUCHUMAA. LAKINI MUHAMMAD YEYE ALIPAKA WANJA KAMA WANAWAKE NA KUPAKA HINA NDEVU ZAKE.
Hivi hii tabia ya kike aliipata wapi?
ALIVAA MAGAUNI YA AISHA:
From the English translation of the Sahih collection of Imam Muslim, Book 031, Number 5984:
Aisha mke wa Muhammad alisema: Nabii wa Mwenyezi Mungu alikuwa anapata ufunuo wakati amevaa nguo zangu au amejifunika ushingi wangu.
The Book Pertaining to the Merits of the Companions of the Holy Prophet (Kitab Al-Fada'il Al-Sahabah) (University of Southern California…/fund…/hadithsunnah/muslim/031.smt.html…)


His Family Think Jesus Has Gone Mad - Mark 3:20-21



1708335668280.jpeg
 
Salman Rushdie. AYA ZA KISHETANI.

WADAU MDOWNL


KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA NA TABIA KAMA ZA WANAWAKE?​



1. APAKA WANJA NA PODA KAMA WANAWAKE.
2. ACHUCHUMAA WAKATI WA HAJA NDOGO.
3. ALIVAA MAGAUNI YA WAKE ZAKE.
HUU NI MSIBA WA KUMALIZA MWAKA 2016 KWA WAISLAM.
Japo alikuwa mwanaume lakini Muhammad alikuwa na tabia kama za Wanawake,
Mfano Muhammad alikuwa anachuchumaa wakat anakojoa. Soma ushaidiL
Aisha Mke Wa Mtume Anasema "Mwenye kukuhadithieni kuwa Mtume Wa Allah (S.a.w) alikwenda haja Nnogo wima musimsadiki, (Mtume) Alikuwa hajisaidii Ila AMECHUCHUMAA"
Al'mugh'niy 1/156 Muhamad Pia Alikuwa Hataki Kuona Muislam Mwanaume Anakojoa Hali Amesimama.
Soma Sunan Ibn Majah 1/112 Hadith Na 309, "Mtume wa Allah aliniona najisaidia wima (Haja Ndogo) akasema: Ewe Umar, Usijisaidie Wima.
Sunan Ibn Majah, Hadith Na 309 Muhamad pia alikuwa anatembea Na KIOO Na WANJA,
ALIPAKA WANJA KAMA WANAWAKE:
Ukisoma maisha ya Muhamad kipengele cha Mavazi Na 26 "Muhammad alikuwa na Kitana Cha Pembe Akichania Nywele Zake, alikuwa na Mafuta Na ALIKUWA NA KIOO akijitazama na KICHUPA CHA WANJA ambao akijitia usiku usiku kabla ya kulala na alipenda sana kutumia Manukato..."
Sio Kawaida Mwanaume KUJIPAKA WANJA AU KUKOJOA HUKU AMECHUCHUMAA. LAKINI MUHAMMAD YEYE ALIPAKA WANJA KAMA WANAWAKE NA KUPAKA HINA NDEVU ZAKE.
Hivi hii tabia ya kike aliipata wapi?
ALIVAA MAGAUNI YA AISHA:
From the English translation of the Sahih collection of Imam Muslim, Book 031, Number 5984:
Aisha mke wa Muhammad alisema: Nabii wa Mwenyezi Mungu alikuwa anapata ufunuo wakati amevaa nguo zangu au amejifunika ushingi wangu.
The Book Pertaining to the Merits of the Companions of the Holy Prophet (Kitab Al-Fada'il Al-Sahabah) (University of Southern California…/fund…/hadithsunnah/muslim/031.smt.html…)
HIKI KITABU KILIYOANDIKWA NI YA KWELI ??? MBONA NAANZA KUPATA MASHAKA.
 
Mmmmmmmhhhhhh..... Mkuu haya ni ya kweli? Siyaelewi.... Imeandikwa hivi kabisa?
Huyu jamaa huwa namsoma sana. Sielewi anayatoa wapi haya. Huwa sijui ni dini gani maana ni kama amewahi sali dini zote hizo. Najiuliza huo muda na haya anayoandika. Huwa sielewi kwa kweli hizi dini hizi kama ni kweli sisi wengine tutapata shida sana kwa kweli
 
Back
Top Bottom