Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

Mwarabu suala la elimu hajawahi kulipa kipaumbele sana yeye ni dini na biashara kwa kias flan
Sasa huyu dogo anasema mwarabu alijenga shule na vyuo... Nikaona shida hapa ni Elimu. Hana Elimu. Alinyimwa Elimu. Mwarabu hajawahi kuwa na kipaumbele cha Elimu .
 
Very sad....nadhani mzee Mohamad said angetumia pia muda wake kuelezea historia hiyo itusaidieje kwa huu mkwamo wa kimaendeleo katika jamii hasa ya kiislam.....kwa sababu tumelalamika muda mrefu, hata lengo la maandishi ya mzee huwa halieleweki kwa kweli nimesoma muda mrefu sana ila hata sielewagi. As a Muslim sometimes let our society ikubali tu kuwa tulipoacha misingi ya uislam adui zetu walituponda ponda na kutusambaratisha sasa kubaki kulilia historia hata haitusaidii, manaake kila mara utasikia mfumo kristo na blah blah za hapa na pale lakini hakuna viongozi wa kiislam ambao wapo tayari kuipambania jamii ya kiislam kwa dhati.......sasa hilo ni kosa la adui au letu....???? historia ambayo inaiongelea juu ya ustawi na ustaarabu wa jamii ya kiislam kwa ushahidi wa miji na athari nyengine hasa kwa pwani ya Afrika Mashariki ni very insignificant kwa hivi sasa........kwani maeneo mengi ambayo yananasibishwa na uislam yana changamoto nyingi sana za kijamii....japo kwa nchi kama Tanzania relative poverty ipo dispersed kulingana na eneo hivyo kwa kusema hivyo pia hatuwezi sema jamii ambao si waislam basi ni matajiri....kilichopo ni kuwa as Muslim community we are crying so much na wakatinwe have so much potentials na historia inatubeba.
Kiibodi...
Mimi nimeandika mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Ikiwa historia hii huipendi ungetaka niandike mengine chembelecho ya mkwamo hata wewe unaweza kuandika ikiwa unaona uko mkwamo.

Historia niliyoandika ni sehemu muhimu sana kwa Waislam na walioifuta walijua athari yake kwa taifa hili.

Sijapata kulaumiwa na Waislam kwa kazi hii na kuonyesha wanavyothamini mchango wangu Waislam wamenitunuku nishani mara mbili kwa kazi yangu hii.

Ni bahati mbaya Muislam wewe unaona historia hii haina manufaa kwa umma.
 
Mwarabu suala la elimu hajawahi kulipa kipaumbele sana yeye ni dini na biashara kwa kias flan
Mpaji...
Hapa nakueleza historia ya Waafrika wa Tanganyika na si Waarabu.

Waliunda African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 na wakawa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Baada ya uhuru walipitisha azimio la kujikwamua katika elimu kupitia EAMWS.

Wakiwa katika mchakato wa kujenga Chuo Kikuu serikali ikapiga marufuku EAMWS na kuunda BAKWATA.

Kila juhudi waliyochukua katika elimu ilikutana na kikwazo kutoa serikalini.

Nimeyaandika sana haya hapa.
 
lakini haitambuliki na hitatokea kwenye mitaala
Lup...
Haitambuliki vipi?
Haitambuliki na nani?

Kitabu kinakwenda chapa ya nne.

Shule ya msingi na sekondari haitambuliki lakini Vyuo Vikuu kwingi Afrika, Ulaya na Marekani kitabu ni mashuhuri.
 
Mpaji...
Hapa nakueleza historia ya Waafrika wa Tanganyika na si Waarabu.

Waliunda African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 na wakawa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Baada ya uhuru walipitisha azimio la kujikwamua katika elimu kupitia EAMWS.

Wakiwa katika mchakato wa kujenga Chuo Kikuu serikali ikapiga marufuku EAMWS na kuunda BAKWATA.

Kila juhudi waliyochukua katika elimu ilikutana na kikwazo kutoa serikalini.

Nimeyaandika sana haya hapa.
🤣🤣🤣Mzee umepanick kuona neno mwarabu? Hapo Kuna member nlikuwa namwelewesha tu jambo dogo kwamba waarabu kwa asili sio watu wa kusaka elimu wao hua ni dini, biashara na vurugu/ugaidi, na waarabu wenye kuhitaji watoto wao wasome hua wanajua wawapeleke wapi watoto wao mfano mfalme wa Saudia alipompeleka Prince
 
🤣🤣🤣Mzee umepanick kuona neno mwarabu? Hapo Kuna member nlikuwa namwelewesha tu jambo dogo kwamba waarabu kwa asili sio watu wa kusaka elimu wao hua ni dini, biashara na vurugu/ugaidi, na waarabu wenye kuhitaji watoto wao wasome hua wanajua wawapeleke wapi watoto wao mfano mfalme wa Saudia alipompeleka Prince
Mpaji...
Panic maana yake ni hofu.
 
Kiibodi...
Mimi nimeandika mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Ikiwa historia hii huipendi ungetaka niandike mengine chembelecho ya mkwamo hata wewe unaweza kuandika ikiwa unaona uko mkwamo.

Historia niliyoandika ni sehemu muhimu sana kwa Waislam na walioifuta walijua athari yake kwa taifa hili.

Sijapata kulaumiwa na Waislam kwa kazi hii na kuonyesha wanavyothamini mchango wangu Waislam wamenitunuku nishani mara mbili kwa kazi yangu hii.

Ni bahati mbaya Muislam wewe unaona historia hii haina manufaa kwa umma.
Waislamu wa pwani lazima watakupa nishani kwani ni wazuri katika kulalamika na kujikweza,......wanapenda kuunasibisha uislamu na uarabu, pwani ndiyo kuna concepts za mfumo kristo kwa wingi sana. Mostly historia yako naona imelenga zaidi kuelezea jamii ya ma babu zako akina Sykes though siyo mbaya but may be hata wao hawakuwa na plan thabit ya nini wanachopigania coz kama wanajeshi ilikuwaje waka loose mapambano ambayo wao ndiyo walianzisha....??? kiasi ambacho mpaka leo hii historia inabidi iandikwe upya kwa sababu yao....tukumbuke hata watu wabaya historia inawakumbuka sembuse hawa ambao walianzisha harakati za maana kabisa
 
Kupasi nguo? Ha ha ha... Vagina kweli wewe kilaza. Mi najifunza shuleni.


Hiyo ndiyo elimu uliyopewa katika shule zenu walizowajengea wazungu pamoja na makanisa , inaelekea umepata phd , na wazungu walikupa jina zuri la Chizi
 
Waislamu wa pwani lazima watakupa nishani kwani ni wazuri katika kulalamika na kujikweza,......wanapenda kuunasibisha uislamu na uarabu, pwani ndiyo kuna concepts za mfumo kristo kwa wingi sana. Mostly historia yako naona imelenga zaidi kuelezea jamii ya ma babu zako akina Sykes though siyo mbaya but may be hata wao hawakuwa na plan thabit ya nini wanachopigania coz kama wanajeshi ilikuwaje waka loose mapambano ambayo wao ndiyo walianzisha....??? kiasi ambacho mpaka leo hii historia inabidi iandikwe upya kwa sababu yao....tukumbuke hata watu wabaya historia inawakumbuka sembuse hawa ambao walianzisha harakati za maana kabisa

Hivi ulivyoandika ni ushahidi tosha wa hiyo elimu uliyoipata huko kanisani kwenu
 
Waislamu wa pwani lazima watakupa nishani kwani ni wazuri katika kulalamika na kujikweza,......wanapenda kuunasibisha uislamu na uarabu, pwani ndiyo kuna concepts za mfumo kristo kwa wingi sana. Mostly historia yako naona imelenga zaidi kuelezea jamii ya ma babu zako akina Sykes though siyo mbaya but may be hata wao hawakuwa na plan thabit ya nini wanachopigania coz kama wanajeshi ilikuwaje waka loose mapambano ambayo wao ndiyo walianzisha....??? kiasi ambacho mpaka leo hii historia inabidi iandikwe upya kwa sababu yao....tukumbuke hata watu wabaya historia inawakumbuka sembuse hawa ambao walianzisha harakati za maana kabisa

View: https://youtu.be/MVy1WcIKhDM
 
Hiyo ndiyo elimu uliyopewa katika shule zenu walizowajengea wazungu pamoja na makanisa , inaelekea umepata phd , na wazungu walikupa jina zuri la Chizi
Na wewe naona waarabu walipokupa Elimu wakakuchagulia jina hilo la vagina.
 
Shule ya msingi na sekondari haitambuliki lakini Vyuo Vikuu kwingi Afrika, Ulaya na Marekani kitabu ni mashuhuri.
Bahati mbaya shule ya msingi ndipo wanapofundishwa. Chuo Kikuu baadhi ya vitabu huchukuliwa kama rejea ya kujenga hoja
 


Wajerumani walipofika Tanganyika waliwakuta Waislam wanafahamu kuandika, kusoma na walikuwa wameelimika katika hesabu.

Mmishionari Ludwig Krapf alipofika kwa Chifu Kimweri wa Usambaa mwaka 1848 alimkuta yeye na wanae wote wanajua kusoma na kuandika.

Krapf alikuwa na barua mkononi kutoka Zanzibar kwa Sultan Barghash ikimuomba Chief Kimweri amsaidie Krapf kwani ni "mtu wa Mungu."

Herufi walizokuwa wakitumia zilikuwa za Kiarabu.

Wajerumani kwa ajili hii basi waliwaajiri Waislam kama walimu, wakalimani na makarani serikalini.

Wamisionari na wakoloni waliona wivu kwa maendeleo haya waliyoyakuta kwa Waislam.

Kubwa zaidi ni kuwa walikuwa wamekuja kustaarabisha watu "washenzi'' badala yake wamewakuta watu walistaarabika na wanye utamaduni wa kupendeza.

Elimu hii yote na utamaduni huu wa hali ya juu ulikuwa unatokana na Uislam na elimu iliyokuwa imetolewa na madras.

Hapo ndipo zilipoaanza mbinu ya kuvunja maendeleo haya yote.

Herufi za Kiarabu zikapigwa marufuku kutumika na badala yake watu wakalazimishwa kujifunza herufi za Kirumi.

Muislam ambae jana alipoingia kulala alikuwa anaitwa ameelimika akaamka asubuhi yake mjinga, hana elimu, hajui kusoma wala kuandika.

Njama hizi zote dhidi ya Uislam ilikuwa sehemu ya makubaliano kama ilivyoandikwa katika kifungu IV cha Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884.

Kifungu hicho kilikuwa kinasema kuwa Ukristo ni lazima ulindwe dhidi ya Uislam.

Kati ya mwaka 1888 -1892 katika kutekeleza kifungu hicho kama ilivyokubalika katia Mkutano wa Berlin, Imperial British East Africa Company ilitumia nguvu za kisiasa na kijeshi kuulinda Ukristo na taasisi zake zote katika Afrika ya Mashariki.

Ombwe lililoachwa na madrsa ikajazwa na shule zilizojengwa na Serikali na Kanisa chini ya usimamizi wa wakoloni.

Historia iliyoandikwa inasema kuwa Kanisa ndilo lililoweka msingi wa kwanza wa elimu Tanganyika.

Ukweli ni kuwa Wamisionari walifuata nyayo za madras na walimu wa kwanza katika shule za misheni walikuwa Waislam ambao hawakusoma katika shule za kanisa bali katika madras.

(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes 1998).

Baada ya karne mbili Rais wa Tanzania kutoka Zanzibar anampa zawadi ya mlango wa Kizanzibari Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani ndani ya Vatican na kumweleza maneno haya:

"This is the door... " - Sultan opened for Christianity..."

Huu ndiyo mlango uliofunguliwa kwa Ukristo kuingia Zanzibar na Afrika ya Mashariki.

Inaonyesha katika hii dunia, kwa mtazamo wako, waislamu wanaonewa sana..!! Maana sijawahi ona post yako yoyote inayotaja wema wa wasio waislamu kwa waislamu..!!!
 
Back
Top Bottom