Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

Uhuru wa Tanganyika
Vishu...
Mwaka wa 1950 uongozi wa TAA uliunda TAA Political Subcommittee na wajumbe wake walikuwa hawa: Dr. Vedasto Kyaruzi (President), Abdulwahid Sykes (Secretary), Hamza Mwapachu, Mufti Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo, Steven Mhando na John Rupia.

Mshauri wa mambo ya Mandate Territories alikuwa Earle Seaton.

Kamati hii ndiyo iliyoongoza TAA hadi kufikia kuunda TANU 1954.
 
Mpw...
Kwani nini chanzo cha matatizo ya NECTA?
Waislam ndio walikuwa wanasema wana matatizo na NECTA, sasa unashangaza kuniuliza mimi?

Ndalichako alitoka, bado wewe ukasema hata aliyebaki ni wale wale (Msonde).

Ndio maana kwasasa nimekuuliza, bado Kuna tatizo au limekwisha?
 
Waislam ndio walikuwa wanasema wana matatizo na NECTA, sasa unashangaza kuniuliza mimi?

Ndalichako alitoka, bado wewe ukasema hata aliyebaki ni wale wale (Msonde).

Ndio maana kwasasa nimekuuliza, bado Kuna tatizo au limekwisha?
Mpwi...
Ningependa kuona nilikosema maneno hayo.
 
👇👇👇
Wewe Mpimbwe wa Kibaoni,Use ya, Majimoto, Kasansa au wapi? Mbona mtata hivyo wakati sisi wapimbwe sio watata hivyo? Umemvua nguo mzee wa watu. Atajaa upepo kwa maana huwa anajaa sana upepo. Nilimuona Azam TV kwenye mahojiano kuhusu Uhuru. Alitokota.
 
Ingekua amri yako Wakristo wasingekwepo nchi hii. Ila ndio hivyo Mungu sio Athumani.
 
Wewe Mpimbwe wa Kibaoni,Use ya, Majimoto, Kasansa au wapi? Mbona mtata hivyo wakati sisi wapimbwe sio watata hivyo? Umemvua nguo mzee wa watu. Atajaa upepo kwa maana huwa anajaa sana upepo. Nilimuona Azam TV kwenye mahojiano kuhusu Uhuru. Alitokota.
Jimm...
Husemi kweli na unajua husemi kweli.

Nina nafasi yangu katika uandishi na mijadala.

Hapa nina tuzo za Uandishi Bora.

Nisingetunukiwa heshima hiyo ningekuwa kama hivyo usemavyo nilivyo.

Wala sijapata aibu ya kuvuliwa nguo na yeyote si hapa wala si katika majukwaa mengine duniani niliposimama kuzungumza.
 
Ingekua amri yako Wakristo wasingekwepo nchi hii. Ila ndio hivyo Mungu sio Athumani.
Mag...
Unasema haya kwa kuwa nimeandika historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na kuonyesha mchango wa Waislam?
 
Yaani hili zee ni jinga sana, ila ni wakati wao acha awajaze wenzie upepo waingie kingi
Nan...
Sikutegemea utaghadhibika kiasi hiki cha kunitukana.

Mimi sichukii kuitwa mzee kwani hakika mimi si kijana tena.

Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunifikisha umri huu.

Na hakika nilikuwa kijana khasa kwa kila kitu kuanzia mavazi hadi uwezo Mungu alinipendelea si wengi aliwapa nema aliyonipa mimi.

Niko Piccadilly Circus London, Niko Edinburgh Castle Glasgow, niko Tahrir Square Cairo, Eiffel Tower Paris, Soweto Johannesburg kwingi sana Central Park New York kwingi...

Machava Stadium Maputo, United Nations Geneva, Kalakuta Republic Lagos...

Montaza Palace Alexandria.
Ulipokuwa ukuta wa Berlin.

Makka na Madina.

Nasingepata haya kama Allah asingenipa umri hadi kufikia uzee miaka 72 juma lijalo In Shaa Allah.

Nasikitika kuwa unanitukana, "hili lizee."

Ungeweza hata kusema huyu mzee.

Sijui kutukana wala sijazoea kutukanwa.

Kwetu ni fedheha.

Lakini naamini mama yako ni umri wangu na kakufunza adabu.

Angalia usimtukanishe baba yako.
 
Kweli Mzee
Wanting said kweli uankaha na kuamua kuandika uongo HV unapata faida gani kuandika na kupotsha ukweli mm Nina hakika huyu sultani alikuwa hajui kusoma Wala kuandika na madrasa haijawai kufundusha watu kuandika na kusoma

Tunashukuru snaa wazungu kwa kutuleteaa elimu leo hi usinge andika chochote kitu
 
 
Goroko,
Kimweri akijua kusoma na kuandika hili halina shaka soma paper ya Ushumi iko East Africana Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam.

Ishumi alikuwa mhadhiri Department of Education, Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…