Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Ingekuwa Uislamu unakumbatia elimu ya kisasa au Kikoloni, leo hii ungekuta karibu kila msikiti una taasisi rasmi ya kutoa elimu dunia, kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ins...Hapo utamkosha mzee MS🤣
Zan...Mzee Said analazimisha sana Uislamu uwe ndio alama ya Uhuru wa Tanganyika, wakati kiuhalisia uhuru wa Tanganyika ni matokeo ya siasa za hapa na pale na utashi wa muingereza. Waambie watu ukweli, muingereza alishapoteza interest za kuendelea kuitawala Tanganyika directly hivyo akaamua kuitawala indirectly kwa kutuachia Uhuru bandia.![]()
Zan...Ingekuwa Uislamu unakumbatia elimu ya kisasa au Kikoloni, leo hii ungekuta karibu kila msikiti una taasisi rasmi ya kutoa elimu dunia, kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu.
Mkuu:Huu ni Uongo uliokubuu😂 Katika nchi zote za Kiislam Madrasa ni kwa ajili ya kufundisha Quran na Kiarabu. Katika tembea yangu kiasi Duniani hapa sijaona Madrasa inafundisha zaidi ya hivi viti viwili. Madrasa zilianzishwa miaka kadhaa baada ya Kuanzishwa Dini ya Kiislam. Muhamad akusoma Madrasa. Asili ya Kufundisha Watoto ilianzia Misri enzi za Falao na ata ukisoma maandiko .Musa alisoma katk shule za Misri,,Elimu ambayo ilimwezesha kufanya vikao na majadiliano na Farao mpaka akawapa rukhusa Waisrael watoke Misri, Pia Elimu hiyo hiyo Ilimsaidia Musa Kuwaongoza Kuhukumu na kuwatawala wana Israel Jangwani wakiwa wanaelekea Jerusalem kwenye nchi yao. (Hapa unaona kuwa Musa alikuwa na Elimu zaidi ya moja ikiwemo Sheria, Uongozi etc)Israel waliendeleza utamaduni wa Kusomesha watoto wao.... na ata Yesu Aliweza Soma katika shule hizo na Yeye kujua kusoma na Kuandika pamoja na mambo mengine kama Sheria n.k,,,(Bibilia ina ushaidi wa Yesu kujua kusoma na kuandika na pia kuwa na Elimu tosha ya Dini na pia Siasa- Kitu ambacho kilimwezesha kuhubiri na kufanya kazi zake Kisomi na umakini wa hali ya juu) Warabu wakakopy ila wao ikiwa ni mafundisho ya kitabu kimoja tu... hu ndo ukweli
Kwahiyo alikuwa chini ya sultan?Mas...
Napenda kusomesha.
Haya ni mambo muhimu sana ambayo yanataka watu waelezwe kwa kina.
Umemsikia Rais Samia Hassan akimkabidhi Pope zawadi ya mfano wa mlango wa Kizanzibari anamwambia Zanzibar ilifungua mlango kwa Ukristo kuingia Germany Ostafrika.
Johann Krapf alipofika katika Barza ya Chief Kimweri anahukumu kesi huku anaandika. na kavaa kama alivyomkuta Sultan Barghash wa Zanzibar alivyovaa na anapeperusha bendera ya Sultan.
View attachment 2902155
Chief Kimweri
Kwamba wewe ni msomi?Mr. Q,
Mimi nimezungumza Vyuo Vikuu.
Hapo unaalikwa utoe mada kisha maswali na majibu.
Vyuo Vikuu haviwafanyii watu mahojiano wao hualika wasomi kuja kuzungumza na walimu na wanafunzi.
Newazz,Mimi nikionaga andiko la huyu Mohamed Saidi ... Najua haendi mbali na udini, na hawezi kutoka humo kamwe.... Kunakuwa hakuna jipya
Mna..Kwamba wewe ni msomi?
The past serves no purpose; its useles!Chan...
Hakika umesema kweli.
Mimi nimeandika upya historia ya uhuru wa Tanganyika miaka 25 iliyopita.
Si kama nataka kuandika.
Nimeshaandika na ndiyo hii mnaisoma na kujadili hapa.
Leo mnasoma historia ambayo ilikuwa haipo.
Use...The past serves no purpose; its useles!
Wewe ni msomi?Kwamba wewe ni msomi?
Nan...Wewe ni msomi?
Vishu..Ni upi mchango wa ukristo/wakristo kwa chochote hapa nchini?
Kama upo basi naomba hata michango yao 3 tu.
Ndio wewe mkuu..Vishu..
Umekusudia mie?
Hapo chini hukuweka kitu.