Shida unaileta wewe. Tukubaliane kwamba tupo tunazungumzia Cleopatra wawili...Mimi nazungumzia Cleopatra aliyekua mtawala misri. Ww unazungumzia dada yake alexander.Mkuu mbona unakichwa cha panzzi Cleopatra of Macedonia mtoto wa phillip II ndio dada yake na Alexander the great na huyo mwingine Cleopatra of ptolemaic Egypt
You're smart and well informed, I didn't know thatCleopatra alikuwa na dada Arsinoe ka Niko sahihi kimaandishi ambaye alikuwa anaongoza na mdogo wake Ptolemy na waliongoza some sort of Uasi Hadi Julius Caesar kuingilia ndio Cleopatra akamuwin kingono Caesar ndio dadake kupelekwa Rome na Caesar kumsamehe na kumweka ka kifungoni kwenye temple alivokufa tu Julius Caesar Cleopatra kupitia ushawishi wa Marc Anthony dadake akauliwa ili wasi compete kiutawala
Ok! Kama alitubu kwa Mola wake anaweza kusamehewaiddy amini ni kweli,ila wafia dini kama wakina mohamed said et al ndo wanasema ya kusadikika kwa kuwa inagusa imani yao.
Thank you for the teaching. Beautiful with brain😊Cleopatra alikuwa mu Giriki by nature na hyo ilitokea baada ya Alexander the Great kufa wale majemedari waligawana regions za kuongoza na ndio Ptolemy dynasty ikawa Ina rule Egpty ndio Cleopatra akafikiwa kuongoza. So Cleopatra was a Greek but leading Egpty
Yan umeona nafaidi kweli kufindishwa we Da'VinciYou're smart and well informed, I didn't know that
Jinsi mapenzi yalivyofanya ufalme wa Egypt/Mizraim kuanguka na kusambaratika
Hello... Previous I wrote a topic centered on Greece and we discussed a bit about Egypt, So this Topic will be serving as a spin-off of that Topic. Will focus on Rise and fall of Egypt , Pharaoh's Dynasty Respectively Baada ya gharika iliyoikumba dunia wakati wa Noah (Nuhu) watoto wake wakaanza...www.jamiiforums.com
We jamaa unamshambulia Da'Vinci badala ya kutupa madini sisi tumjue vizuri Cleopatra 😊Janja kujiita Da Vinci usijione jiniazi kuna vingine kubali huvijui, sema we kama zako nyingi unazoandika unaonyesha fika we eurocentric minded, umekuwa totally brainwashed huwajui waafrika wewe
Tulia Despicable Gily huyu niachie
Agent Grucy coming up!View attachment 2589188
What have I done to you? don't steal my dove😬
Ni nasoma real story not his story mlizolishwa matangoporiKila kitu brainwashed eeeh soma historia Cleopatra was a Greek and last pharao to rule egpty
It's raining cats and dogs. I am getting some suger from the Mrs😬Agent Grucy coming up!
Wait what did you call us.?
I like it but not a lot...... I don't like it😡😡
View attachment 2589194
Ndio akili yako hii😅It's raining cats and dogs. I am getting some suger from the Mrs😬View attachment 2589231
🤣🤣🤣🤣🤣😊Ndio akili yako hii😅
Tumejiweka nyuma nyuma lazima tuachwe tu. Maana kila kitu tunataka tuandaliwe. Wachina wameweza kwakua wanajitegemea kila kitu. Hawaedit mila zao wala kufuata mila za wazungu
Acha tu nimekutana na vingi hadi Inventor wa vitu vingi ni Weusi ila ndio vile tenA.
Kuna haja ya sisi kuandika vya kwetu mana tumepoteza hadi majina yetu ya Asili.
We are looser.
Soma uelewe tusisome kujibu.Never! Kama wewe na familia zako ni huko huko kwenye uloser na utabaki huko huko!
Kwani hujui kila kitu kina era zake ?
Kwa sasa ilikuwa ni wa magharibi, USA [emoji631] alishika dunia kama kama ya kwake na kufanya anavyo taka, sasa huyo anaondoka na dollar yake!
Acha kujidharau mtoto mdogo na kujitamkia maneno ya kishenzi shenzi, hujui kuwa maneno yana umba?
Basi nakwambia huo u loser uwe kwako na familia yako milele[emoji2959]
Idiotic mind set walahi!
Wewe humjui huyu mtu mzee wa Walahi😅Soma uelewe tusisome kujibu.
Nilichoandika hapo kamwe usifikiri imebeba kila kitu.
Jua nilikuwa na reflect ktk engo gani na sio kuwaka km gesi.
Na uko me kuleta mambo ya familia yangu direct... Umeshindwa kujishkilia au umeamka na Visungura.
KOMA