Swali je ameweka leli mpya? Kama jibu Hapana leli ilikuwa toka zamani unatakiwa kujiuliza kwnn hapo mwanzo ilikufa? Unatakiwa ujue hivi cc wanainch toka tupate Uhuru WA taifa hili hicho ndio chama tulixhokuwa nacho madarakani,ukiona unaposikia watu wanalipwa mishahara hewa ujue ni wao, mikataba mibovu ya madini ambapo tumepoteza mamilion ya Shilingi ujue kazi ya utawala huu WA chama hicho,ukisikia ufisadi jua utawala wa chama kilichokuwa madarakani ukisikia wafanyakazi wenye vyet feki ujue ni wao waliokuwa madarakani viwanda Vingi vimekufa wao , ndio waliviuwa baada ya kushindwa kuviendesha kutoka kwa wakoloni, unamkumbuka yule aliesema wanainchi wale majani lkn ndege za kutembelea raisi lazima inunuliwe ile ndege ipo wapi kwa sasa imesaidia nn kwa taifa lkn ilinunuliwa kwa pesa ya selikali
Sent from my itel S11 using
JamiiForums mobile app