Wana-CCM wengi hawana uelewa wa mambo, hawawezi kujenga hoja

Wana-CCM wengi hawana uelewa wa mambo, hawawezi kujenga hoja

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Ukimaindi Poa!

Kuna mijadala ya kipumbavu sana inayooendeshwa na wana CCM mitandaoni, kuna wakati unajiuliza, huyu aliyeandika hiki ana ni mzima kweli au yuko hospital? CCM mna mambo mengi ambayo mngeweza kuyaeleza kwa uongo unaoleta mantiki kidogo kuliko hizi siasa za kitoto za kum-quote Mbowe na Lema na Lissu kila saa.

Zungmzeni kuhusu madaraja, zungumzeni kuhusu barabara, zungmzeni kuhusu shule, zungumzeni kuhusu Ukubwa wa Baraza la Mawaziri with zero outputs, zungmzeni kuhusu madarasa na watoto wetu waliojazana kama machungwa ya Muheza, mna mengi ya kuzungumza (mkiyajengea uongo mzuri). acheni ku-attack personalities with fake accusations.

Watanzania wa leo wana akili,wanajitambua, ccm tafuteni vijana au makada wenye uwezo wa kujenga hija muwalete mitandaoni, wawe challenged, msikubali "mpuuzi" mmoja au msimtume aje aandike ujinga (cheap propaganda) kisha muanze kusifia ujinga.

Mna watu wenye uelewa kidogo, waambieni watumie hizo akili badala ya kuzitumia kukimbizana na Uchaguzi, Tanzania ni zaidi ya uchaguzi.
 
Nadhani huo ushauri unawafaa zaidi Chadema mnaotamani kuwa kama Chama Dola

CCM haitegemei makaratasi!
 
Mwenyekiti wa saccoss yenu ya wachaga anazungumzia barabara, shule, baraza, madarasa etc? Hahah unachekesha kweli. Kila akisimama anamuattack JPM personally, wote hata yule kiwete wa ubelgiji. Yule mvuta bangi wenu aliyetoka Canada anaongelea bodaboda na vicoba, ndio hoja hizo? Stupid kabisa
 
Mwenyekiti wa saccoss yenu ya wachaga anazungumzia barabara, shule, baraza, madarasa etc? Hahah unachekesha kweli. Kila akisimama anamuattack JPM personally, wote hata yule kiwete wa ubelgiji. Yule mvuta bangi wenu aliyetoka Canada anaongelea bodaboda na vicoba, ndio hoja hizo? Stupid kabisa
Wewe utakua mmojawapo wa hao wajinga aliowasema mleta mada.Mnaongoza serikali bado mnakua na akili kidogo za hivyo.
 
Wewe utakua mmojawapo wa hao wajinga aliowasema mleta mada.Mnaongoza serikali bado mnakua na akili kidogo za hivyo.
mimi sio mfuasi wa ccm ila mtoa mada katoa mada ya kipumbavu sana ukilinganisha na 'hoja' za viongozi wake huko kwenye saccoss anayoishabikia
 
abutua Waambieni watu wenu waache kutoa kauli za kipuuzi! Akina Lema wakiendelea kuongea pumba zao basi mtakula nyundo sana tu mitandaoni 🤣

Chama limeuzwa wazee, amkeni.
nyundo ipi mbona kila siku nawabutua humu wajinga wenu na wanaufyata kama mnaweza waleteni mimi niko tayari kuwabutua kikamilifu hasa sukuma gang na uvccm.
 
mimi sio mfuasi wa ccm ila mtoa mada katoa mada ya kipumbavu sana ukilinganisha na 'hoja' za viongozi wake huko kwenye saccoss anayoishabikia
mada ya kipumbavu unaipima wewe sukuma gang, wewe ndio mpumbavu na mjinga pamoja na ccm yako mlizoea kuuwa watu na kupora chaguz awamu hii mmeshindwa hata kufatilia mikutano ya katibu mkuu wenu mnafatilia mikutano ya chadema kama sio upumbavu ni nini, wabunge wenu fake wameshindwa hata kuitisha mikutano ya hadhara kuepuka aibu aliyoipata lipumba pale magomeni, wewe ni mpumbavu ndio maana umeshindwa hata kusoma alama za nyakati na kwa taarifa yenu huku kanda ya ziwa tutawagonga mpaka mlie mmeeeeeee.
 
Mwenyekiti wa saccoss yenu ya wachaga anazungumzia barabara, shule, baraza, madarasa etc? Hahah unachekesha kweli. Kila akisimama anamuattack JPM personally, wote hata yule kiwete wa ubelgiji. Yule mvuta bangi wenu aliyetoka Canada anaongelea bodaboda na vicoba, ndio hoja hizo? Stupid kabisa
kwamba wachaga walioko ccm ni wapumbavu ndio maana huwa nawambia ccm ni wapumbavu na mamayenu amewashtukia 2025 anaenda kuwatelekeza tuwanyooshe kabisa leo hata mikutano wabunge wenu fake wameshindwa kuitisha kwasababu ya upumbavu na uwezo mdogo wa kujenga hoja wajinga nyinyi.
 
mada ya kipumbavu unaipima wewe sukuma gang, wewe ndio mpumbavu na mjinga pamoja na ccm yako mlizoea kuuwa watu na kupora chaguz awamu hii mmeshindwa hata kufatilia mikutano ya katibu mkuu wenu mnafatilia mikutano ya chadema kama sio upumbavu ni nini, wabunge wenu fake wameshindwa hata kuitisha mikutano ya hadhara kuepuka aibu aliyoipata lipumba pale magomeni, wewe ni mpumbavu ndio maana umeshindwa hata kusoma alama za nyakati na kwa taarifa yenu huku kanda ya ziwa tutawagonga mpaka mlie mmeeeeeee.
Andiko hili ndio level ya watu gani hapo unyumbuni?
 
mimi sio mfuasi wa ccm ila mtoa mada katoa mada ya kipumbavu sana ukilinganisha na 'hoja' za viongozi wake huko kwenye saccoss anayoishabikia
Aiseee...na wewe ukaisoma kisha ukakomenti.. pumbavu wewe
 
Mwenyekiti wa saccoss yenu ya wachaga anazungumzia barabara, shule, baraza, madarasa etc? Hahah unachekesha kweli. Kila akisimama anamuattack JPM personally, wote hata yule kiwete wa ubelgiji. Yule mvuta bangi wenu aliyetoka Canada anaongelea bodaboda na vicoba, ndio hoja hizo? Stupid kabisa
Wewe mjinga sana, soma! Acha kujibu usichoweza
 
Back
Top Bottom