Wana-CCM wengi hawana uelewa wa mambo, hawawezi kujenga hoja

Wana-CCM wengi hawana uelewa wa mambo, hawawezi kujenga hoja

Mbowe alilia hapo Ufipa st mmemfilisi

CCM imesikia kilio chake!
CCM mnawaza kuiba, Mbowe analalamika amefilisika kuipigania haki, nani mwenye akili sasa hapo? John ndio maana nasema hamna akili nyie watu!
 
Ukimaindi Poa!
Kuna mijadala ya kipumbavu sana inayooendeshwa na wana CCM mitandaoni, kuna wakati unajiuliza, huyu aliyeandika hiki ana ni mzima kweli au yuko hospital? CCM mna mambo mengi ambayo mngeweza kuyaeleza kwa uongo unaoleta mantiki kidogo kuliko hizi siasa za kitoto za kum-quote Mbowe na Lema na Lissu kila saa.

Zungmzeni kuhusu madaraja, zungumzeni kuhusu barabara, zungmzeni kuhusu shule, zungumzeni kuhusu Ukubwa wa Baraza la Mawaziri with zero outputs, zungmzeni kuhusu madarasa na watoto wetu waliojazana kama machungwa ya Muheza, mna mengi ya kuzungumza (mkiyajengea uongo mzuri). acheni ku-attack personalities with fake accusations.

Watanzania wa leo wana akili,wanajitambua, ccm tafuteni vijana au makada wenye uwezo wa kujenga hija muwalete mitandaoni, wawe challenged, msikubali "mpuuzi" mmoja au msimtume aje aandike ujinga (cheap propaganda) kisha muanze kusifia ujinga.

Mna watu wenye uelewa kidogo, waambieni watumie hizo akili badala ya kuzitumia kukimbizana na Uchaguzi, Tanzania ni zaidi ya uchaguzi.
Wengi wao shule iliwashinda.

Mi kuna Wana CCM kibao nimesoma nao ni vilaza hatari ila wanapewa majukumu makubwa.

Ndo maana Taifa haliendi mbele
 
CCM mnawaza kuiba, Mbowe analalamika amefilisika kuipigania haki, nani mwenye akili sasa hapo? John ndio maana nasema hamna akili nyie watu!
Mbowe analipwa mshahara na serikali atapigania haki ya nani?

Akienda kinyume ni Ugaidi!
 
Ukimaindi Poa!
Kuna mijadala ya kipumbavu sana inayooendeshwa na wana CCM mitandaoni, kuna wakati unajiuliza, huyu aliyeandika hiki ana ni mzima kweli au yuko hospital? CCM mna mambo mengi ambayo mngeweza kuyaeleza kwa uongo unaoleta mantiki kidogo kuliko hizi siasa za kitoto za kum-quote Mbowe na Lema na Lissu kila saa.

Zungmzeni kuhusu madaraja, zungumzeni kuhusu barabara, zungmzeni kuhusu shule, zungumzeni kuhusu Ukubwa wa Baraza la Mawaziri with zero outputs, zungmzeni kuhusu madarasa na watoto wetu waliojazana kama machungwa ya Muheza, mna mengi ya kuzungumza (mkiyajengea uongo mzuri). acheni ku-attack personalities with fake accusations.

Watanzania wa leo wana akili,wanajitambua, ccm tafuteni vijana au makada wenye uwezo wa kujenga hija muwalete mitandaoni, wawe challenged, msikubali "mpuuzi" mmoja au msimtume aje aandike ujinga (cheap propaganda) kisha muanze kusifia ujinga.

Mna watu wenye uelewa kidogo, waambieni watumie hizo akili badala ya kuzitumia kukimbizana na Uchaguzi, Tanzania ni zaidi ya uchaguzi.
Kumbe huwajui ccm vizuri.
Sio kwamba hatuna akili, tatizo akili zimeganda kutokana na kujipendekeza kwa viongozi, kutaka madaraka, kuogopa kuitwa mpinzani, kukosa teuzi nk nk. Hakuna aliye tayari kuharibu wasifu wake na wa kizazi chake eti kwa sababu tu ya kutetea watu/jambo fulani hata kama ni la kweli.

Wengi wanaenda na upepo wa kiongozi husika. Ccm wana akili sana.
Na ndio maana maisha yao binafsi na kizazi chao kwa walio wengi, yanakwenda bila usumbufu wowote
 
nyundo ipi mbona kila siku nawabutua humu wajinga wenu na wanaufyata kama mnaweza waleteni mimi niko tayari kuwabutua kikamilifu hasa sukuma gang na uvccm.
Labda kwa matusi lakini si hoja, CDM kwasasa hamna hoja zaidi ya kupamba na kaburi la Magufuli na kumsifia mwenyekiti wa CCM, si unajua tena mambo ya 🍯😋
 
Kumbe huwajui ccm vizuri.
Sio kwamba hatuna akili, tatizo akili zimeganda kutokana na kujipendekeza kwa viongozi, kutaka madaraka, kuogopa kuitwa mpinzani, kukosa teuzi nk nk. Hakuna aliye tayari kuharibu wasifu wake na wa kizazi chake eti kwa sababu tu ya kutetea watu/jambo fulani hata kama ni la kweli.

Wengi wanaenda na upepo wa kiongozi husika. Ccm wana akili sana.
Na ndio maana maisha yao binafsi na kizazi chao kwa walio wengi, yanakwenda bila usumbufu wowote
Ubinafsi TU ila nimecheka sana
 
Mbowe analipwa mshahara na serikali atapigania haki ya nani?

Akienda kinyume ni Ugaidi!
Ulishawahi kumchukulia salary slip? Acha kuota wewe, Mbowe alianza biashara za kimataifa wewe ukiwa huna hata pesa ya kununua kiroba
 
Ulishawahi kumchukulia salary slip? Acha kuota wewe, Mbowe alianza biashara za kimataifa wewe ukiwa huna hata pesa ya kununua kiroba
Wakati namiliki Bito Mwenyekiti wako alikuwa Mgambo pale Benki kuu!
 
Back
Top Bottom