Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #21
Nyundo? CCM wote ni sawa na Lema mmojaWaambieni watu wenu waache kutoa kauli za kipuuzi! Akina Lema wakiendelea kuongea pumba zao basi mtakula nyundo sana tu mitandaoni 🤣
Chama limeuzwa wazee, amkeni.
Ona huyu naeNadhani huo ushauri unawafaa zaidi Chadema mnaotamani kuwa kama Chama Dola
CCM haitegemei makaratasi!
Mbowe alilia hapo Ufipa st mmemfilisiOna huyu nae
CCM mnawaza kuiba, Mbowe analalamika amefilisika kuipigania haki, nani mwenye akili sasa hapo? John ndio maana nasema hamna akili nyie watu!Mbowe alilia hapo Ufipa st mmemfilisi
CCM imesikia kilio chake!
Wengi wao shule iliwashinda.Ukimaindi Poa!
Kuna mijadala ya kipumbavu sana inayooendeshwa na wana CCM mitandaoni, kuna wakati unajiuliza, huyu aliyeandika hiki ana ni mzima kweli au yuko hospital? CCM mna mambo mengi ambayo mngeweza kuyaeleza kwa uongo unaoleta mantiki kidogo kuliko hizi siasa za kitoto za kum-quote Mbowe na Lema na Lissu kila saa.
Zungmzeni kuhusu madaraja, zungumzeni kuhusu barabara, zungmzeni kuhusu shule, zungumzeni kuhusu Ukubwa wa Baraza la Mawaziri with zero outputs, zungmzeni kuhusu madarasa na watoto wetu waliojazana kama machungwa ya Muheza, mna mengi ya kuzungumza (mkiyajengea uongo mzuri). acheni ku-attack personalities with fake accusations.
Watanzania wa leo wana akili,wanajitambua, ccm tafuteni vijana au makada wenye uwezo wa kujenga hija muwalete mitandaoni, wawe challenged, msikubali "mpuuzi" mmoja au msimtume aje aandike ujinga (cheap propaganda) kisha muanze kusifia ujinga.
Mna watu wenye uelewa kidogo, waambieni watumie hizo akili badala ya kuzitumia kukimbizana na Uchaguzi, Tanzania ni zaidi ya uchaguzi.
Dah, wanavizia U-DCWengi wao shule iliwashinda.
Mi kuna Wana CCM kibao nimesoma nao ni vilaza hatari ila wanapewa majukumu makubwa.
Ndo maana Taifa haliendi mbele
Mbowe analipwa mshahara na serikali atapigania haki ya nani?CCM mnawaza kuiba, Mbowe analalamika amefilisika kuipigania haki, nani mwenye akili sasa hapo? John ndio maana nasema hamna akili nyie watu!
Kumbe huwajui ccm vizuri.Ukimaindi Poa!
Kuna mijadala ya kipumbavu sana inayooendeshwa na wana CCM mitandaoni, kuna wakati unajiuliza, huyu aliyeandika hiki ana ni mzima kweli au yuko hospital? CCM mna mambo mengi ambayo mngeweza kuyaeleza kwa uongo unaoleta mantiki kidogo kuliko hizi siasa za kitoto za kum-quote Mbowe na Lema na Lissu kila saa.
Zungmzeni kuhusu madaraja, zungumzeni kuhusu barabara, zungmzeni kuhusu shule, zungumzeni kuhusu Ukubwa wa Baraza la Mawaziri with zero outputs, zungmzeni kuhusu madarasa na watoto wetu waliojazana kama machungwa ya Muheza, mna mengi ya kuzungumza (mkiyajengea uongo mzuri). acheni ku-attack personalities with fake accusations.
Watanzania wa leo wana akili,wanajitambua, ccm tafuteni vijana au makada wenye uwezo wa kujenga hija muwalete mitandaoni, wawe challenged, msikubali "mpuuzi" mmoja au msimtume aje aandike ujinga (cheap propaganda) kisha muanze kusifia ujinga.
Mna watu wenye uelewa kidogo, waambieni watumie hizo akili badala ya kuzitumia kukimbizana na Uchaguzi, Tanzania ni zaidi ya uchaguzi.
Lema huyuhuyu? 😅Nyundo? CCM wote ni sawa na Lema mmoja
Labda kwa matusi lakini si hoja, CDM kwasasa hamna hoja zaidi ya kupamba na kaburi la Magufuli na kumsifia mwenyekiti wa CCM, si unajua tena mambo ya 🍯😋nyundo ipi mbona kila siku nawabutua humu wajinga wenu na wanaufyata kama mnaweza waleteni mimi niko tayari kuwabutua kikamilifu hasa sukuma gang na uvccm.
Kwa sasa? Na last time mlisema "kwa sasa"!Labda kwa matusi lakini si hoja, CDM kwasasa hamna hoja zaidi ya kupamba na kaburi la Magufuli na kumsifia mwenyekiti wa CCM, si unajua tena mambo ya 🍯😋
Ubinafsi TU ila nimecheka sanaKumbe huwajui ccm vizuri.
Sio kwamba hatuna akili, tatizo akili zimeganda kutokana na kujipendekeza kwa viongozi, kutaka madaraka, kuogopa kuitwa mpinzani, kukosa teuzi nk nk. Hakuna aliye tayari kuharibu wasifu wake na wa kizazi chake eti kwa sababu tu ya kutetea watu/jambo fulani hata kama ni la kweli.
Wengi wanaenda na upepo wa kiongozi husika. Ccm wana akili sana.
Na ndio maana maisha yao binafsi na kizazi chao kwa walio wengi, yanakwenda bila usumbufu wowote
Ulishawahi kumchukulia salary slip? Acha kuota wewe, Mbowe alianza biashara za kimataifa wewe ukiwa huna hata pesa ya kununua kirobaMbowe analipwa mshahara na serikali atapigania haki ya nani?
Akienda kinyume ni Ugaidi!
Wakati namiliki Bito Mwenyekiti wako alikuwa Mgambo pale Benki kuu!Ulishawahi kumchukulia salary slip? Acha kuota wewe, Mbowe alianza biashara za kimataifa wewe ukiwa huna hata pesa ya kununua kiroba
Soma "heading" ya huu Uzi! Shukrani kwa kujipambanua!Wakati namiliki Bito Mwenyekiti wako alikuwa Mgambo pale Benki kuu!
🤣🤣🤣 Nyie ndio mlidanganywa na Hamad Rashid kwamba Mbowe ni DjSoma "heading" ya huu Uzi! Shukrani kwa kujipambanua!
Soma Tena heading! Confirming jinsi Pro-ccm mlivyo shallow🤣🤣🤣 Nyie ndio mlidanganywa na Hamad Rashid kwamba Mbowe ni Dj
Yaani kuna wachagga Wengine ni Wajinga mko Wajinga Wajinga Sana!
🤩🤩🤩 Mwamba ameshasujudu!Soma Tena heading! Confirming jinsi Pro-ccm mlivyo shallow
Relax, relax, huu mchezo hautaki hasira mbona?!🤩🤩🤩 Mwamba ameshasujudu!
Akikengeuka DPP anamuhusu na yule Ngai!
Chama Dola hakunaga hasira kwa sababu tuna kila kitu 🤩🤩Relax, relax, huu mchezo hautaki hasira mbona?!