WANA-CHADEMA, iko siku tutagundua kosa letu lingine kubwa ni kukubali kujitetea mbele ya hizi mahakama

WANA-CHADEMA, iko siku tutagundua kosa letu lingine kubwa ni kukubali kujitetea mbele ya hizi mahakama

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kama ambavyo tulichelewa kufanya maamuzi sahihi ya kutoshiriki chaguzi zinazoendeshwa na hii tume ya uchaguzi isiyo huru,, ndivyo tunachelewae kufanya maamuzi magumu ya kususia mahakama hizi zisizo huru pamoja na vyombo vingine vinavyohisika na uendeshaji wa kesi hasa hizi zenye sura ya kisiasa katika nchi yetu.

Hata hivyo, naamini kila jambo hutokea kwa makusudi maalumu, hivyo huenda kupitia hii kesi ya Mbowe, wapinzani tukalazimika kufanya maamuzi magumu huko mbeleni.

Inawezekana kabisa hii kesi ya Mbowe yenye adhabu kali, imekuja baada ya sisi kushindwa kujifunza kutokana na kesi za kina Sugu, Lijuakali(kabla hajaasi) ina ile ya makamanda kuandamana, maandamano yaliyopelekea kifo cha Aquilina, kutotupa somo nini tunapaswa kufanya.

Yaani kama tulivyopata somo kutokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020 chini ya hii Tume isiyo huru, ndivyo tunaweza kupata somo na kuchukua hatua kupitia kesi hii ya Mbowe hasa pale hukumu itapotoka, na ndio maana nasema, huenda Mungu ana makusudi kupitia hii kesi kwani itakuja au kuambatana na mengine mengi ambayo pengine yaaingetokea pasipo hii kesi.

Kila jambo hutokea kwa makusudi, hivyo tusubiri kuona ni yepi hayo makusudi ya hii kes ingawa wengine tumeshaa anza kuona nini kinaweza kutokea hapo baadae hasa iwapo watatubutu kumfunga kamanda wetu.

Tanzania mpya chini ya chama kipya madarakani inaandaliwa ingawa kuna wanaoumia zaidi kama huyu ndugu yetu Feeman Mbowe.

Tafakari mambo haya huko Mahakamani:

Screenshot_20211105-232614_Twitter.jpg


Screenshot_20211105-220337_Twitter.jpg
 
Kama ambavyo tulichelewa kufanya maamuzi sahihi ya kutoshiriki chaguzi zinazoendeshwa na hii tume ya uchaguzi isiyo huru,, ndivyo tunachelewae kufanya maamuzi magumu ya kususia mahakama hizi zisizo huru pamoja na vyombo vingine vinavyohisika na uendeshaji wa kesi hasa hizi zenye sura ya kisiasa katika nchi yetu.

Hata hivyo, naamini kila jambo hutokea kwa makusudi maalumu, hivyo huenda kupitia hii kesi ya Mbowe, wapinzani tukalazimika kufanya maamuzi magumu huko mbeleni.

Inawezekana kabisa hii kesi ya Mbowe yenye adhabu kali, imekuja baada ya sisi kushindwa kujifunza kutokana na kesi za kina Sugu, Lijuakali(kabla hajaasi) ina ile ya makamanda kuandamana, maandamano yaliyopelekea kifo cha Aquilina, kutotupa somo nini tunapaswa kufanya.

Yaani kama tulivyopata somo kutokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020 chini ya hii Tume isiyo huru, ndivyo tunaweza kupata somo na kuchukua hatua kupitia kesi hii ya Mbowe hasa pale hukumu itapotoka, na ndio maana nasema, huenda Mungu ana makusudi kupitia hii kesi kwani itakuja au kuambatana na mengine mengi ambayo pengine yaaingetokea pasipo hii kesi.

Kila jambo hutokea kwa makusudi, hivyo tusubiri kuona ni yepi hayo makusudi ya hii kes ingawa wengine tumeshaa anza kuona nini kinaweza kutokea hapo baadae hasa iwapo watatubutu kumfunga kamanda wetu.

Tanzania mpya chini ya chama kipya madarakani inaandaliwa ingawa kuna wanaoumia zaidi kama huyu ndugu yetu Feeman Mbowe.
huwa hamjifunzi

wabishi

kejeli

matusi

unyumbu
 
unajipa moyo
wewe na utukufu wapi na wapi?

Mbowe anafungwa!! na mlivyo mashoga hamna la kufanya mtabaki kusema , mashetani yale..

tangu lini shetani akaogopa kuitwa jina lake?[emoji1787][emoji1787]
Angefungwa kwa ubakaji tungeona aibu sana ! lakini kufungwa kwa kupigania ukombozi mbona ni kiwango cha akina Mandela tu !
 
Kama ambavyo tulichelewa kufanya maamuzi sahihi ya kutoshiriki chaguzi zinazoendeshwa na hii tume ya uchaguzi isiyo huru,, ndivyo tunachelewae kufanya maamuzi magumu ya kususia mahakama hizi zisizo huru pamoja na vyombo vingine vinavyohisika na uendeshaji wa kesi hasa hizi zenye sura ya kisiasa katika nchi yetu.

Hata hivyo, naamini kila jambo hutokea kwa makusudi maalumu, hivyo huenda kupitia hii kesi ya Mbowe, wapinzani tukalazimika kufanya maamuzi magumu huko mbeleni.

Inawezekana kabisa hii kesi ya Mbowe yenye adhabu kali, imekuja baada ya sisi kushindwa kujifunza kutokana na kesi za kina Sugu, Lijuakali(kabla hajaasi) ina ile ya makamanda kuandamana, maandamano yaliyopelekea kifo cha Aquilina, kutotupa somo nini tunapaswa kufanya.

Yaani kama tulivyopata somo kutokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020 chini ya hii Tume isiyo huru, ndivyo tunaweza kupata somo na kuchukua hatua kupitia kesi hii ya Mbowe hasa pale hukumu itapotoka, na ndio maana nasema, huenda Mungu ana makusudi kupitia hii kesi kwani itakuja au kuambatana na mengine mengi ambayo pengine yaaingetokea pasipo hii kesi.

Kila jambo hutokea kwa makusudi, hivyo tusubiri kuona ni yepi hayo makusudi ya hii kes ingawa wengine tumeshaa anza kuona nini kinaweza kutokea hapo baadae hasa iwapo watatubutu kumfunga kamanda wetu.

Tanzania mpya chini ya chama kipya madarakani inaandaliwa ingawa kuna wanaoumia zaidi kama huyu ndugu yetu Feeman Mbowe.
Utaachaje kushirikiana na mahakama wakati wenzio wameshakukamata ?!
 
unajipa moyo
wewe na utukufu wapi na wapi?

Mbowe anafungwa!! na mlivyo mashoga hamna la kufanya mtabaki kusema , mashetani yale..

tangu lini shetani akaogopa kuitwa jina lake?[emoji1787][emoji1787]
Akifungwa Mbowe , Tanzania itapata maendeleo gani , hasa kwa kesi ya kubumba na kufikirika ?!
 
unajipa moyo
wewe na utukufu wapi na wapi?

Mbowe anafungwa!! na mlivyo mashoga hamna la kufanya mtabaki kusema , mashetani yale..

tangu lini shetani akaogopa kuitwa jina lake?[emoji1787][emoji1787]
Mbowe akishafungwa na machungu ya Tozo na wizi wa Hela za Serikali utakomea hapo

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada una tiba sahihi tatizo ni aina ya tiba isiyojadirika jukwaa la wazi. Mabadiliko hayaletwi na wingi wa watu kwa sabab THE MAJORITY ARE ALWAYS NOT RIGHT! Niseme tu nasikitika kuona hatuna chama mbadala kinachosimamiwa na mwanajeshi. Wanasiasa tulionao wana galaxy yao ya kufanya siasa sio hii tuliyomo kwa sasa. Hata kama kigogo alihasi upinzan, kwa sabab hawako strategic za kufika wanapohubiri na guts za kufanya the unthinkable, NITAUENZI MSEMO WAKE WA .....IF YOU WANT PEACE..........
 
Lakini endapo watasusia hizi Mahakama,je kesi zao wanazoshitakiwa/watakazoshitakiwa huko itakuaje?
Naona wazo lako zuri lakini hebu elezea na njia mbadala wa kutatua kesi zao zitakozokua kwenye hizo Mahakama.
 
Angefungwa kwa ubakaji tungeona aibu sana ! lakini kufungwa kwa kupigania ukombozi mbona ni kiwango cha akina Mandela tu !
Unapoteza nguvu zako kunijibu mtu ambae hana sifa ya kujibiwa na wewe,wala hana hata sifa za kuwa houseboy wa Mbowe.
Mtu masikini kutoka ukoo masikini ana chuki na Matajiri anahisi umasikini wake umeletwa na Mbowe na Chadema.
Anahisi Mbowe akifungwa ukoo wake utapata afueni ya umasikini wao.
Kumbe hajui kuwa umasikini wake umeletwa na ujinga wake,familia yake, ukoo wake na baba lao CCM
 
Kama ambavyo tulichelewa kufanya maamuzi sahihi ya kutoshiriki chaguzi zinazoendeshwa na hii tume ya uchaguzi isiyo huru,, ndivyo tunachelewae kufanya maamuzi magumu ya kususia mahakama hizi zisizo huru pamoja na vyombo vingine vinavyohisika na uendeshaji wa kesi hasa hizi zenye sura ya kisiasa katika nchi yetu.

Hata hivyo, naamini kila jambo hutokea kwa makusudi maalumu, hivyo huenda kupitia hii kesi ya Mbowe, wapinzani tukalazimika kufanya maamuzi magumu huko mbeleni.

Inawezekana kabisa hii kesi ya Mbowe yenye adhabu kali, imekuja baada ya sisi kushindwa kujifunza kutokana na kesi za kina Sugu, Lijuakali(kabla hajaasi) ina ile ya makamanda kuandamana, maandamano yaliyopelekea kifo cha Aquilina, kutotupa somo nini tunapaswa kufanya.

Yaani kama tulivyopata somo kutokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020 chini ya hii Tume isiyo huru, ndivyo tunaweza kupata somo na kuchukua hatua kupitia kesi hii ya Mbowe hasa pale hukumu itapotoka, na ndio maana nasema, huenda Mungu ana makusudi kupitia hii kesi kwani itakuja au kuambatana na mengine mengi ambayo pengine yaaingetokea pasipo hii kesi.

Kila jambo hutokea kwa makusudi, hivyo tusubiri kuona ni yepi hayo makusudi ya hii kes ingawa wengine tumeshaa anza kuona nini kinaweza kutokea hapo baadae hasa iwapo watatubutu kumfunga kamanda wetu.

Tanzania mpya chini ya chama kipya madarakani inaandaliwa ingawa kuna wanaoumia zaidi kama huyu ndugu yetu Feeman Mbowe.

Tafakari mambo haya huko Mahakamani:

View attachment 2000119

View attachment 2000120
Hivi wasipojitetea kutabadili nini? Kama ni kweli hukumu imeishapangwa, wakijitetea wasipojitetea watafungwa tu. Kama ni hivyo basi ni heri kuendelea kujitetea ili kuonyesha dunia yote jinsi kesi ilivyokuwa haina mashiko. Wasingejitetea, jamhuri wangeweza kusema wana ushahidi pasipo shaka kuwa walihusika na tusingejua udhaifu wa ushahidi huo. Aidha, hii kesi si ya Mbowe peke yake. Kuna wenzake ambao wasingekuwa na uwezo wa kujitetea hivi kama wasingeunganishwa na Mbowe. Waendelee tu kujitetea mpaka siku ya hukumu. Na kama watafungwa, wakate rufaa.

Hapa si Mbowe na wenzake peke yao ndio wanapimwa, Mahakama na Jamhuri pia wanapimwa. Wasipoangalia ushindi wowote utakuwa wa Pyrrhic.

Amandla...
 
Kama ambavyo tulichelewa kufanya maamuzi sahihi ya kutoshiriki chaguzi zinazoendeshwa na hii tume ya uchaguzi isiyo huru,, ndivyo tunachelewae kufanya maamuzi magumu ya kususia mahakama hizi zisizo huru pamoja na vyombo vingine vinavyohisika na uendeshaji wa kesi hasa hizi zenye sura ya kisiasa katika nchi yetu.

Hata hivyo, naamini kila jambo hutokea kwa makusudi maalumu, hivyo huenda kupitia hii kesi ya Mbowe, wapinzani tukalazimika kufanya maamuzi magumu huko mbeleni.

Inawezekana kabisa hii kesi ya Mbowe yenye adhabu kali, imekuja baada ya sisi kushindwa kujifunza kutokana na kesi za kina Sugu, Lijuakali(kabla hajaasi) ina ile ya makamanda kuandamana, maandamano yaliyopelekea kifo cha Aquilina, kutotupa somo nini tunapaswa kufanya.

Yaani kama tulivyopata somo kutokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020 chini ya hii Tume isiyo huru, ndivyo tunaweza kupata somo na kuchukua hatua kupitia kesi hii ya Mbowe hasa pale hukumu itapotoka, na ndio maana nasema, huenda Mungu ana makusudi kupitia hii kesi kwani itakuja au kuambatana na mengine mengi ambayo pengine yaaingetokea pasipo hii kesi.

Kila jambo hutokea kwa makusudi, hivyo tusubiri kuona ni yepi hayo makusudi ya hii kes ingawa wengine tumeshaa anza kuona nini kinaweza kutokea hapo baadae hasa iwapo watatubutu kumfunga kamanda wetu.

Tanzania mpya chini ya chama kipya madarakani inaandaliwa ingawa kuna wanaoumia zaidi kama huyu ndugu yetu Feeman Mbowe.

Tafakari mambo haya huko Mahakamani:

View attachment 2000119

View attachment 2000120
Ni kweli, mahakama zetu zinakuwanzurii zikimhukumu sabaya tuu. Ila kwa gaidi mbowe kwakweli zinakosea saaanaa
 
Kama ambavyo tulichelewa kufanya maamuzi sahihi ya kutoshiriki chaguzi zinazoendeshwa na hii tume ya uchaguzi isiyo huru,, ndivyo tunachelewae kufanya maamuzi magumu ya kususia mahakama hizi zisizo huru pamoja na vyombo vingine vinavyohisika na uendeshaji wa kesi hasa hizi zenye sura ya kisiasa katika nchi yetu.

Hata hivyo, naamini kila jambo hutokea kwa makusudi maalumu, hivyo huenda kupitia hii kesi ya Mbowe, wapinzani tukalazimika kufanya maamuzi magumu huko mbeleni.

Inawezekana kabisa hii kesi ya Mbowe yenye adhabu kali, imekuja baada ya sisi kushindwa kujifunza kutokana na kesi za kina Sugu, Lijuakali(kabla hajaasi) ina ile ya makamanda kuandamana, maandamano yaliyopelekea kifo cha Aquilina, kutotupa somo nini tunapaswa kufanya.

Yaani kama tulivyopata somo kutokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020 chini ya hii Tume isiyo huru, ndivyo tunaweza kupata somo na kuchukua hatua kupitia kesi hii ya Mbowe hasa pale hukumu itapotoka, na ndio maana nasema, huenda Mungu ana makusudi kupitia hii kesi kwani itakuja au kuambatana na mengine mengi ambayo pengine yaaingetokea pasipo hii kesi.

Kila jambo hutokea kwa makusudi, hivyo tusubiri kuona ni yepi hayo makusudi ya hii kes ingawa wengine tumeshaa anza kuona nini kinaweza kutokea hapo baadae hasa iwapo watatubutu kumfunga kamanda wetu.

Tanzania mpya chini ya chama kipya madarakani inaandaliwa ingawa kuna wanaoumia zaidi kama huyu ndugu yetu Feeman Mbowe.

Tafakari mambo haya huko Mahakamani:

View attachment 2000119

View attachment 2000120
MBOWE na wenzake watafungwa kwa hearsay
 
Kama ambavyo tulichelewa kufanya maamuzi sahihi ya kutoshiriki chaguzi zinazoendeshwa na hii tume ya uchaguzi isiyo huru,, ndivyo tunachelewae kufanya maamuzi magumu ya kususia mahakama hizi zisizo huru pamoja na vyombo vingine vinavyohisika na uendeshaji wa kesi hasa hizi zenye sura ya kisiasa katika nchi yetu.

Hata hivyo, naamini kila jambo hutokea kwa makusudi maalumu, hivyo huenda kupitia hii kesi ya Mbowe, wapinzani tukalazimika kufanya maamuzi magumu huko mbeleni.

Inawezekana kabisa hii kesi ya Mbowe yenye adhabu kali, imekuja baada ya sisi kushindwa kujifunza kutokana na kesi za kina Sugu, Lijuakali(kabla hajaasi) ina ile ya makamanda kuandamana, maandamano yaliyopelekea kifo cha Aquilina, kutotupa somo nini tunapaswa kufanya.

Yaani kama tulivyopata somo kutokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020 chini ya hii Tume isiyo huru, ndivyo tunaweza kupata somo na kuchukua hatua kupitia kesi hii ya Mbowe hasa pale hukumu itapotoka, na ndio maana nasema, huenda Mungu ana makusudi kupitia hii kesi kwani itakuja au kuambatana na mengine mengi ambayo pengine yaaingetokea pasipo hii kesi.

Kila jambo hutokea kwa makusudi, hivyo tusubiri kuona ni yepi hayo makusudi ya hii kes ingawa wengine tumeshaa anza kuona nini kinaweza kutokea hapo baadae hasa iwapo watatubutu kumfunga kamanda wetu.

Tanzania mpya chini ya chama kipya madarakani inaandaliwa ingawa kuna wanaoumia zaidi kama huyu ndugu yetu Feeman Mbowe.

Tafakari mambo haya huko Mahakamani:

View attachment 2000119

View attachment 2000120
Mandela alijitetea mbele ya mahakama za kibaguzi za wazungu wachache,akafungwa,na mwishowe kutokana na shinikizo,presha ya jumuiya ya kimataifa na harakati za kisiasa nyumbani,aliachiliwa,na akaja akawa Raisi wa kwanza mweusi,
Hatuna mbadala!!lazima twende mbele ya hizi mahakama,uzuri Dunia inaangalia,tunajua kuanzia hakimu,na mawakili wa serikali,polisi,wote wanatuchezea sindimba na usanii mtupu.
 
Hii kesi ndio imeonesha ni kwa kiwango gani serikali inaweza kuingilia uhuru wa mahakama, naamini kiwango hiki cha sasa tunachokiona ndio kitakuwa cha juu kabisa kuwahi kushuhudiwa hapa nchini.

Serikali inalazimisha kwa makusudi kumfunga Mbowe bila hatia, japo wanajidai vipofu ila ni wazi hii kesi imewavua nguo wote mahakama na serikali, wacha waendelee kufanya utoto wao.
 
Back
Top Bottom