Ila alipokuwa akiwasigina kwa tuhuma viongozi wa ccm ulikuwa unashangilia tu?Nyie mna utoto sana maneno ya kuchafuana kiasi kile yanafutikaje?? Lissu kadharaulika mno na wenye akili zao na hatafika popote tupo hapa!!
Binafsi nilimpenda sana lakini sahv namuona kama kinyesi!! Sikuwahi fikiri Lissu ni mshenzi kiasi kile
Hajalalamika vipi wakati alisema Lisu aponye majeraha ya kampeniMbowe hajalalamikia character assasination ambayo huyu boya anaongelea.
Mbowe hajalalamika foul play yoyote kwenye mchakato wa uchaguzi.
Mbowa ali concede mapema hata kabla katibu mkuu hajatangaza hadharani kuwa ameshinda Lissu.
Unashangaa anatokea kibwengo mmoja anafokafoka na kutokwa povu kama ndama anayenyonya.
So brother, brace yourself. It's gonna be a bumpy ride. Lissu yupo usukani and there is nothing you can do about it.
Kwahiyo Mbowe ndio angemfanya Samia asilale usingizi?Sioni namna Lissu na Lema wakiileta CDM ile…. The way Samia alivyocheza hii draft kupitia msigwa nilipoambiwa before sikuamini!! Samia sasa anakwenda kulala usingizi wa pono maana hii no reform no election aliitaka sana japo akina Wasira wanaigiza kutoitaka!!
Tuna safari ndefu sana ya vyama vingi Nchi hii!
Ngoja nimalizie wali nazi wangu hapa nakuja kusoma commentsNajua kutakuwa na bitter and fierce reactions matusi, kejeli and the like! Let us go!
Wachaga wajinga wameumia sana sana sacos yao kufa🤣🤣🤣Note: kama huwezi kuweka maoni yako bila matusi, just skip this thread/post and forge ahead.
Niliandika hapa kuhusu character assassination tuliyoshuhudia wakati wa kampeni....... it is still lingering in the minds of rational-thinking members of society!
Najua kutakuwa na bitter and fierce reactions matusi, kejeli and the like! Let us go!
Yaani chawa w kimangi wanaona wanachadema ni wajinga???Mbowe hajalalamikia character assasination ambayo huyu boya anaongelea.
Mbowe hajalalamika foul play yoyote kwenye mchakato wa uchaguzi.
Mbowa ali concede mapema hata kabla katibu mkuu hajatangaza hadharani kuwa ameshinda Lissu.
Unashangaa anatokea kibwengo mmoja anafokafoka na kutokwa povu kama ndama anayenyonya.
So brother, brace yourself. It's gonna be a bumpy ride. Lissu yupo usukani and there is nothing you can do about it.
Wapi alisema haya?Lissu alisema Mbowe kauza chama kwa mama abdul na amerwmba asali alipotoka jela. Ile ni zaidi ya siasa ni uhalifu dhidi ya Mbowe.
Tuingie mara mbili? Jazba hazikutoi safari hii, lazima utasema. Wenzako wanagusa wanaachia, ww unakaza fuvu.Ingia barabarani kudai tume na chaguzi huru au mnafikiri Lissu na lile tumbo peke yake ataweza?
Res ipsa dooze...Mlimfanya Mbowe ni mungu hapo chadema
Mbowe katuhumiwa na Lissu. Alafu unataka Mbowe aliyetuhumiwa ndio alete ushahidi? Akyamungu chadema kuna wajinga sanaWapi alisema haya?
As far as I know, hii ilisemwa mara nyingi hata kabla ya Tundu Lissu kutangaza kuwania uenyekiti...
Na hii ni kweli kwa sababu Freeman Mbowe alishashindwa kukanusha tuhuma hii kwa evidence
Badala yake, kila aliyemhoji aeleze walijadiliana nini na Bi Samia (Rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM taifa) alipotoka gerezani kimyakimya na kwenda ikulu moja kwa moja bila kuwashirikisha wenzake kwenye kamati kuu (chombo kikuu cha utendaji wa chama wa shughuli za kila siku) jamaa huwa mkali na kuwatengenezea wenzake zengwe..
Amefanya hivyo kwa Peter Msigwa mpaka akaondoka kwenye chama na kuhamia CCM..
Amefanya hivyo kwa Tundu Lissu na alikuwa kwenye harakati za kumfukuza chamani...
Alifanya hivyo kwa Godbless Lema, John Heche, Jaston Garubindi na wengine....
Hujiulizi kama huo ni uongo, anaficha nini? Kwanini wanaomuuliza aeleze ukweli anawatengenezea zengwe..?
Think about it vrry carefully, kisha njoo tena tujadiliane...
Kampeni kwa uchaguzi gani, huu ambao wahesabu kura ndio wanaamua matokeo?Res ipsa dooze...
Its really speaks for itself... Mahubiri ya kampeni tunasubir utekelezaji wake , chini ya siku 140 kuanza kampeni,
Hakuna jipya... And most probably no funds ..
Hapa mnajifariji tu, muda wa Mbowe ulishapita, naona mnajiliza tu.Note: kama huwezi kuweka maoni yako bila matusi, just skip this thread/post and forge ahead.
Niliandika hapa kuhusu character assassination tuliyoshuhudia wakati wa kampeni....... it is still lingering in the minds of rational-thinking members of society!
Najua kutakuwa na bitter and fierce reactions matusi, kejeli and the like! Let us go!
RetiredMbowe hajalalamikia character assasination ambayo huyu boya anaongelea.
Mbowe hajalalamika foul play yoyote kwenye mchakato wa uchaguzi.
Mbowa ali concede mapema hata kabla katibu mkuu hajatangaza hadharani kuwa ameshinda Lissu.
Unashangaa anatokea kibwengo mmoja anafokafoka na kutokwa povu kama ndama anayenyonya.
So brother, brace yourself. It's gonna be a bumpy ride. Lissu yupo usukani and there is nothing you can do about it.
Sasa ule ubaridi wa kulamba asali unahitajika tena?Kampeni kwa uchaguzi gani, huu ambao wahesabu kura ndio wanaamua matokeo?
Hilo utajua ww.Sasa ule ubaridi wa kulamba asali unahitajika tena?
Si mlisema tuna pachimba?🙌
Muda ni hakimu
Jifunze kusoma maoni ya wenzako kwa uangalifu na umakini kabla hujakurupuka kujibu hoja usiyo na ufahamu nayo...Mbowe katuhumiwa na Lissu. Alafu unataka Mbowe aliyetuhumiwa ndio alete ushahidi? Akyamungu chadema kuna wajinga sana
Aliidharau wapi,au kwenu kuyaongea mapungufu na maboresho tarajiwa ni zambi kwenu?Sipingi ushindi wa Lissu hata kidogo.
Ujinga wa Lissu ni kudharau kazi kubwa na nzuri ya Mbowe.
Upuuzi wa Lissu ni kuwaaminisha watu kwamba yeye atafanya vizuri zaidi kwakuwa ana akili nyingi wenzake ni wajinga.
Upuuzi wa Lissu ni kuwasingizia viongozi wa zamani walilamba asali sasa yeye ambaye hajalamba asali hatuoni anachofanya tangu achaguliwe.
Upuuzi wa Lissu ni kufanya kampeni chafu za kuwachafua viongozi wenzake hasa Mbowe ambaye kamfanyia mambo mengi mazuri na makubwa.