Wewe mpuuzi kweli.

Unaweza kunipa grounds za kumkamata mtu yoyote hata asiye mwanachadema kuandamana leo?

Mbowe na hao waandamanaji wamevunja sheria gani?
Usilete mihasira yako hapa maana umeshindwa kuandamana na kuishia kujificha uvunguni
 
Usifananishe CCM na KANU. CCM ni chama kilicho karibu na watanzania,chama Sikivu,makini na chenye Dira na muelekeo unaoeleweka vyema.
 
Usifananishe CCM na KANU. CCM ni chama kilicho karibu na watanzania,chama Sikivu,makini na chenye Dira na muelekeo unaoeleweka vyema.
Wewe hujui historia !

KANU, CCM kwa kofia ya TANU & ASP, ZANU PF ,ANC , SWAPO , FRELIMO ni hawa ni ndugu.

Mimi historia nimesoma zamani sana ila nakumbuka, nina wasiwasi wewe shuleni ulienda kusindikiza wenzako kitu ulichokipenda ni muda wa mapumziko.
 
CCM itaendelea kuongoza Taifa letu kwa kadri ya uhai wake.
 
Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
 
Umeambiwa ilikuwa lazima niwepo kwenye maandamano ndio yaitwe maandamano?

Wewe ndio ulikuwa unachukua roll call ya waandamanaji?
Ulikuwa wapi wewe na wana CHADEMA wote? Kwani hujaona Mbowe yupo peke yake na kubebwa tu nakwenda kupakiwa kwenye gari? Matapeli sana ninyi
 
Kwani hujaona polisi na waandishi wa habari wakiandamana? Ujumbe umefika malengo yametimia
Mnavichekesho sana ninyi ma CHADEMA.kwa hiyo waandishi wa habari ndio wanawafanyia kazi Ninyi? Si mlisema mtaandamana hata wawepo Polisi?
 
Politically Tanzania is taste less. Ngoja tukomae na mwamposa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…