Wana Gangilonga mpo?

Wana Gangilonga mpo?

Fred Makari yupo Udsm na anapatilna humu kwenye mitandao ww mtafute utampata mkuu,tutakuwa tulisoma wote
 
Mimi nilikuwa nakaa jirani na ilipo kwa sasa Mama Siyovelwa Pub,Jirani na nyumba ya zamani ya Marwaha RIP,Kabla ya kukaa hapo tulikaa kwenye ile iliyokuwa Iringa Hotel kwa miezi 10 1984-1985... Meneja wake aliitwa Masanja alikuwa na kesi ya Ubadhirifu na Mkewe alikuwa na kesi ya Mauaji ya Mtoto wa
Dada aliyezaa na Masanja hii ilikuwa 1986...sijui Fate yao kwa wale waliokuwa wanakaa Kota za Railways Gangilonga watakuwa wanawajua... Familia ya Masanja... Masanja alikuwa mtu ambaye enzi hizi waweza kusema alikuwa MLA BATA... Nilisikitika sana kwa yaliyoitokea Familia hiyo...

Tusker Bariiiidi umenishtua! Ulikua jirani yangu kabisa. Ule upande opposite kwa Maruaha pana nyumba 3. Wewe ulikua ipi!!? Hahaha. I was young ile nimepata nostalgia sana.
 
Emanuel luvinga yupo Mwanza Damian Masasi yupo Makambako Abdul Masoli au Abdul Sabuni yupo Dar mitaa ya samora anaosha magari na Steve Kibasa ni marehemu alifariki kwenye tukio la ujambazi Arusha bwana mdogo alitokea kuwa jambazi hatari ila alikuwa na kipaji hatari

Mnamkumbuka Ally, a.k.a Macheko kumchuzi. Darasa moja na Steve Kibassa. Alikuwa mcheshi sana na anapenda sana mpira!
 
Mimi nilikuwa naishi gangilonga,ulikuwa unakaa Quarters gani, za railways?mi pia nimesoma highlands na nimecheza basketball na Hemedi,Dosi,yohana,wanini,jimmy,said na mwalimu kibasa na Dr kibasa

ndugu nikumbushe vizuri who are u? maana ata mm nilikuwa nakaa quarters za railways,nyumba ya katikati kwa RPC na mission catholic
 
Nilikuwa Iringa takriban wiki mbili zilizopita . ....mazingira yameharibika sana....hakuna miti tena kama zamani.....viwanja vya michezo vimeharibika sana...kleruu...pale kati ya chuo cha afya na uwanja sabasaba....mji hauvutii tena kwani si wa kirafiki kama zamani..machozi yalitaka kunitoka nikilinganisha na ilivyokuwa zamani...Nini kimetokea Iringa????
 
Kuna Post nimeandika kuwa yupo SERENA Dar HOTEL(MOVEN~PICK Dar ya zamani...) ni Sales executive... Pia kulikuwa na Yvonne Mgonja Mtoto wa Mwalimu mkuu wa zamani Iringa girls...
BTW... Mkanyila ni jina la kike... na wewe ni me... au unamuenzi bibi/Mama yako???

Yvonne Mgonja nimesoma nae masters in public health USA. kwa sasa nadhani atakua amerudi Tanzania
 
Abdul masoli, daudi mwano, kina dorah ulaya walikuwa wanakaa opposite na lutheran centre hostel! Kina raiya wale wasomali pale! Mnakumbuka marehemu dr. Kalinga na ile mbwembwe ya karne? Alinawa soda akanywa bia kwenye party ya kuaga umasikini. Lol!

Kalinga aliyenawa soda sio yule daktari nadhani ulisimuliwa vibaya story. Kalinga aliyeaga umaskini mpaka sasa yupo kalenga ni mkulima wa nyanya na anakopesha hela kwa watu. Kalinga Dr yupo kwenye mfuko wa bima ya Afya (NHIF) baada ya kutoka hspitali ya Tumbi
 
familia ya wezi ilikua ya akina SUNGURA MABALAZA sijui siku hz wapo wapi ingawa mara ya mwisho walikua wanapatikana pale ubungo yaani familia nzima walikua wezi sijui hata kwanini!!!!nimnekulia makorongoni na kusoma chemchem enzi za kuangalia sinema filamu za akina madispensa na pinokyo kanisa la mshingo kipindi cha padre sandro na padre medri!!!!!mwalimu mkuu wa chemchem alikua matola,then nyenza,emmanuel,yessaya duh enzi hizo pia kulikua na teacher mmoja alikua mmasai aliitwa MAINOYA alikua anapiga stick balaa enzi hizo wilolesi kuna mwalimu kajiba na mwalimu mohgamed enzi za chipukizi uwanja wa samora na bendi ya mafinga ikiongozwa na RIP mzee NDITI we acha tu tumevaa suruwali nyeusi na mashati ya kijani na skaf shingoni chipkizi mpoooooooooooooooooooooo ndiyo tupo tupo kabisa jeuri ya chama....enzi za baba wa taifa
 
Hii nimeipenda maandamano toka manispaa mpaka uwanja wa Samora
 
Kaka yake Chris Kaseko. Alikuwa akifanya kazi KJ motors
 
Duuuh enzi zile za Mzee Kabongo, JUA LILE LITEREMKE MAMAAAA...,BAAANDA WA MALAWI... Jamani enzi za Mwalimu Mkuu Dule nasikia ni Marhum!!! na Mama Lihundi Mama Kabongo yaani na Beautful Mwalimu Hellen(Cjui yuuuu wapi???) Mama Mwakajila...Nimerudi nilipita Iringa baada ya miaka 20 2007 duuu pamebadilika saaana... Kumbe Sadi na Saidi bado wapo??? Jamani Baba yao na lile Land-Rover Short Chasis tuliwatania sana.. DD NURDIN DANGANYA DANGANYA NURDIN. Mwaka huu nimekaa pale wiki moja jamani lots of memories...

Ayaaaaa umenikumbusha mbali sana sadi na saidi! Mi
Nilikua nasoma mapinduzi pembeni yupo muuza mapera omera na mwanae sikitu
 
Back
Top Bottom