Mazingira yamamuonyesha Kama mhalifu
Kabisa, Mimi Hakuna namna nitaitwa Police nisiende, tena wakisema niende kesho wala sitalala, I want to get over issues haraka, na wala sina mtu wa kuniteka!
Enzi hizo kama 20yrs ago niko nchi za watu nilinunua simu ya dili. Nina rafiki yangu alikuwa mwingi kidogo. Alikuwa na rafiki zake Wapakistan. Wale walikuwa wanaiba simu kutoka warehouse inayohifadhi handset za kampuni fulani wa simu. Moja ya hio simu,very latest and expensive nikauziwa mimi.Katika nchi zenye tawala Bora na za kisheria sambamba na kuwa na Jeshi la Polisi lenye uadilifu, suala hili lingeweza kuwa rahisi sana. Lakini kwa kuwa Jeshi la Polisi lililopo halina sifa hizo za Uadilifu, basi huyo mtu anatakiwa ajipange sawa sawa, he should expect the worse to come. Namuonea huruma sana huyo mtu, tayari ameshaingia kwenye mtego mbaya wa hawa jamaa, huyo Sasa amegeuzwa kuwa fursa na hao Polisi waliomkamata.
Unafikiri wale wapelelezi ni wajinga hawakwenda shule? Ukiwa na kesi inayohitaji upelelezi utajua kuwa wanajua wanachofanya.Tuseme hivi, kujiunga na jeshi la polisi kiwango cha chini kabisa ni degree kutoka chuo kinachotambuliwa.
Hata vocha oliyotumikaJamani, Jamani
Wapendwa wa humu narudia tena, Chana au haribu kabisa tiketi au karatasi yoyote yenye taarifa zako sahihi kwa usalama wako.
Niko hapa Police Kimara, rafiki yangu wa kiume amekamatwa na kuwekwa ndani baada ya tiketi yake ya ki-electronic ya basi moja kutoka Arusha kuja Dar kukutwa kwenye tukio la uhalifu Kimara Bucha.
Yeye rafiki yangu anasema baada ya kushuka Mbezi Magufuli stendi, aliamua kuikunja na kuitupa tiketi yake karibu na lango la kutokea na baada ya hapo akaendelea na safari ya kuelekea kwake Tegeta.
Anasema zilipita siku 2 akapigiwa simu na police kuwa anahitajika kituoni Kimara.
Anasema hakwenda kwa kuhofia huenda ni watu wasio wema kisha akazima simu.
Anasema kesho yake anashangaa kuona police wako nyumbani kwake na wakamuweka chini ya ulinzi kwa kosa la uhalifu uliotokea maeneo ya Kimara bucha.
Na anasema walihisi walimpata kupitia Facebook, (mutual friend mmoja akatafutwa kisha akawaelekeza kwake).
Rafiki yangu si mtu wa kujichanganya sana na watu. Iwe usiku au mchana, akiwa ndani hujui na wala akienda kibaruani hujui.
Anasema ahusiki na tukio na wala hajafanya uhalifu wala kuwa na rekodi yoyote ya uhalifu.
Hapa tunashindwa cha kufanya.
Hatujui kama kweli kahusika au lah!
Sisi tunajua ahusiki ila binadamu hubadilika.
Ila maadam iko mikononi mwa jeshi la polisi tutajua tu hatma yake na wahusika halisi
Chana au haribu kabisa karatasi/tiketi ya basi/meli/treni/ndege/CV/copy yako ya NIDA na nyinginezo zenye taarifa zako sahihi ili kuepuka kupata matatizo.
Katika mambo ya investigation kitu chochote kinachokuwa eneo la tukio.lazima kifanyiwe kazi,iwe,leso kipande cha chupa hata kipisi cha sigara,humo zitapatikana alama za vidole,au chochote kile iwe nywele,mate nakadhalika
Kuna tukio moja la mauji nadhan mwanza kuna mwanadada maarufu sana aliuwawa,bahati mbaya muuaji aliacha chupa ya soda eneo la tukio,basi ikapimwa DNA ikasoma,ikasaidia uchunguzi
Polisi wanaingia kwenye mfumo wa mawasiliano na kuangalia namba hiyo inafanya manunuzi gani, mfano, kulipa bill za maji au manunuzi ya LUKU, halafu wanatafuta mamlaka sahihi labda TANESCO nk wanapata exact location ya ilipo LUKU ndio unakuta hao wametimba kwako hata kama ni chaka kiasi gani.
Kuna njia mbalimbali za kiuchunguzi za kuweza ku-trace na ku-track Watu au Wahalifu. Zipo njia nyingi sana,Ohh, kumbe.
Basi sisi tukajua hawa mutual wametumika kumlengesha
Haya, wewe na u-logical thinker wako utanisaidia nini kwenye hii ishu bhana?
Acheni kujifanya mnajua kila kitu katika maisha ya watu wengine.
Halafu sikukuita wala kukuambia ni lazima uchangie post yangu.
Majukwaa yako mengi bro na unaweza kwenda jukwaa lolote mkuu.
It was counselling session.... No vibao no kufokewa nilisikitika tu kijamaa kimebaka katoto ka miaka 3 ila no penetration naona kilijisugua sugua kikamwagaOya mwanangu usiniambie ulimuacha bila hata vibao huyo nyang'au
Ebu ngoja kwanza uko wapi,,halafu we ni mjeda?It was counselling session.... No vibao no kufokewa nilisikitika tu kijamaa kimebaka katoto ka miaka 3 ila no penetration naona kilijisugua sugua kikamwaga
π ndio, Afande fatuEbu ngoja kwanza uko wapi,,halafu we ni mjeda?
Afande Fatu wa mikoroshini πKumbe mjedaπ
Mnakuaga wanoko sana! Naweza kujiuliza huyu ndo eva wa jf kweli?Afande Fatu wa mikoroshini π
Kuna dogo Mmoja niliambiwa ameiba Milioni Tatu. Sasa Kwa jinsi Mimi ninavyomjua Yule dogo nikawa namtetea. Yule boss akaniambia "Robert wewe hujui. Mimi mtu mzima nimeona wezi wa aina nyingi. Huyu dogo sio wakwanza"
Dogo hataki kwenda kwa Boss, tumemuitia Polisi katoroka kwao.
Hapo ndio nikaanza kuwa na mashaka, wazazi wake Wanamtetea kuwa hakukimbia kwa sababu ya wizi Bali Sababu ya hofu ya Polisi.
Polisi wakaishia kucheka tuu. Siku mbili zilizofuata, dogo Akiwa na Wazazi wake wakaleta Milioni mbili na Laki Moja na nusu wakasema hizo zingine wataleta kidogokidogo. Kwani dogo amezitumia.
Yaani yule dogo alinifundisha Jambo Moja, usimpime mtu Kwa kumwangalia
Ndio maana una asili ya kaubabe flan hvππ,,mtu akinizingua tu ni kwa afande tatu wa mikoroshiniπ ndio, Afande fatu
Kabisa na hata ukitoka Saini kunamtu aliwashawahikusema usiposaini kutoka pia likitokea tukio utaonekana wew ndo ulikuwepo umeingia ila hukutokaNakumbushia na kusaini vitabu vya mahudhurio iwe kazin au sehem yoyote utakayoingia ambayo inahitaj kusaini
Eeh bila unoko mambo hayaendi, huku nakuchekea ukija huko nakutembezea virungu kama sikujui.....Mnakuaga wanoko sana! Naweza kujiuliza huyu ndo eva wa jf kweli?