Pole sana kaka na hongera pia kwa kuonyesha uthubutu.Amini kuwa Mungu amekufungulia njia. Kwa wakati wake utaona utukufu wake ukijitukuza kupitia wewe.Uwe na siku njema.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
Nipeni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Napinga hoja mimi niko JF mwaka wa 11 huu. Huyu "njaa" simjuiDah, mkuu pole sana. Sio kwamba CCM ina wenyewe bali hukujipanga vizuri na wananchi wengi wapiga kura upande wa CCM hawakufahamu. Wewe ni mwandishi wa habari lakini wanaokufahamu zaidi ni members wengi wa JF na wanaofuatilia nchi inavyokwenda kwenye vyombo vya habari na magazeti. Lazima ufahamu kuingia kwenye siasa sio lelemama kama kujiunga na JF na kuanza kutoa matusi na mipasho. (Sio wewe binafsi lakini kuna wengi tu wameingia sio kwa nia ya dhati ya kuona haki inatendeka bali kutoka maslahi ya watu flani flani).
Mkuu usikate tamaa jipange ila fahamu kuingia siasa ni mbinu lazima ujipange, bado 2025 ipo njiani jitafakari kwa kina then ujitose. Usione DJ Mbowe anakula ruzuku ya Bill 8 ukafikiri wapiga zumari wengi waliomo humu wanafanya bure, there is a price sisi wengine ni mapenzi tu ya nchi yetu kuona haki inatendeka wala hatutaki vyeo.
BTW hiyo kura moja ulijipigia mwenyewe, vipi marafiki zako n.k.
Ukome kujipendekeza pendekeza, yale mashetani ya kijani ulitegemea yakupe kura ???Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
Nipeni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Mayalla, nilidhani 2020 sintaipigia CCM kura kwa sababu nilifikiri akina Musiba na mtu kama wewe ambao kazi yenu ni kuwasema vibaya wapinzani, kuwachonganisha na serikali, kuwakejeli na kuwazushia mambo mazito nilifikiri CCM itawachagua.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
Nipeni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiukweli wamemkomesha mayala..akomeUkome kujipendekeza pendekeza, yale mashetani ya kijani ulitegemea yakupe kura ???
Pamoja na Mapambio yote yale mkuu kweli pole sana ndio maana hata teuzi hupati ila mkuu Malipo ya mapambio ndio hayoWanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
Nipeni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Wasingeweza kuchagua mtu mwenye njaa kama Mayalla.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiukweli wamemkomesha mayala..akome
Asante kauli yako imesaidia kuonyesha uhalisia wako. Nyie ndio wapiga pesa na wenye uchu wa madaraka, yan kushindwa tu umekimbilia kusema ccm inawenyewe kama vile sio yule uliekuwa unaisifia kila.siku.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
Nipeni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Pamoja na kulamba sori za viatu kiasi hicho bado anaambulia kura moko?? Ningekuwa mm ningeachana naoWasingeweza kuchagua mtu mwenye njaa kama Mayalla.
Kaambulia kura moja tu
Sio kwa kupata kura moko na akaachwa mwenye kura 300Mbona mchakato bado haujakwisha ,unaweza pata maaana baada ya hao kutangazwa majina yataoutia mchakato mwngn,so usishangae mtu amepita kura za maoni na Bado hasipate nafasi ya kupeperusha bendera ya kijani.
This is CCM bwana,chama kubwa.
Tatizo lake njaa sana huyu bro sijawahi kuona Msukuma mwenye njaa kama MayallaPamoja na kulamba sori za viatu kiasi hicho bado anaambulia kura moko?? Ningekuwa mm ningeachana nao
Nani humu hana njaa?Tatizo lake njaa sana huyu bro sijawahi kuona Msukuma mwenye njaa kama Mayalla
Tumtie moyo,yote yanawezekana kinachoangaliwa hao wa 300 wamezipataje !Sio kwa kupata kura moko na akaachwa mwenye kura 300