Uchaguzi 2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

Uchaguzi 2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Pole sana kaka na hongera pia kwa kuonyesha uthubutu.Amini kuwa Mungu amekufungulia njia. Kwa wakati wake utaona utukufu wake ukijitukuza kupitia wewe.Uwe na siku njema.
 
Sita kupa pole sababu naamini ulistahiki ulichopata
Lakini pia sitakubeza sababu umetumia haki yako

Mwisho natamani sana kumuona the old Pasco.........yule Pasco wa kujenga hoja kwa maslahi mapana ya taifa na si Mayala wa sasa wa kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu
 
Dah, mkuu pole sana. Sio kwamba CCM ina wenyewe bali hukujipanga vizuri na wananchi wengi wapiga kura upande wa CCM hawakufahamu. Wewe ni mwandishi wa habari lakini wanaokufahamu zaidi ni members wengi wa JF na wanaofuatilia nchi inavyokwenda kwenye vyombo vya habari na magazeti. Lazima ufahamu kuingia kwenye siasa sio lelemama kama kujiunga na JF na kuanza kutoa matusi na mipasho. (Sio wewe binafsi lakini kuna wengi tu wameingia sio kwa nia ya dhati ya kuona haki inatendeka bali kutoka maslahi ya watu flani flani).

Mkuu usikate tamaa jipange ila fahamu kuingia siasa ni mbinu lazima ujipange, bado 2025 ipo njiani jitafakari kwa kina then ujitose. Usione DJ Mbowe anakula ruzuku ya Bill 8 ukafikiri wapiga zumari wengi waliomo humu wanafanya bure, there is a price sisi wengine ni mapenzi tu ya nchi yetu kuona haki inatendeka wala hatutaki vyeo.


BTW hiyo kura moja ulijipigia mwenyewe, vipi marafiki zako n.k.
Napinga hoja mimi niko JF mwaka wa 11 huu. Huyu "njaa" simjui
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Ukome kujipendekeza pendekeza, yale mashetani ya kijani ulitegemea yakupe kura ???
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Mayalla, nilidhani 2020 sintaipigia CCM kura kwa sababu nilifikiri akina Musiba na mtu kama wewe ambao kazi yenu ni kuwasema vibaya wapinzani, kuwachonganisha na serikali, kuwakejeli na kuwazushia mambo mazito nilifikiri CCM itawachagua.
Kwa kitendo cha wewe na Musiba na wale waliohama vyama vya upinzani na kwenda CCM kukataliwa kwenye kura za maoni, nimeanza kurudisha imani kwa CCM.
HONGERA CCM KWA KUWAKATAA MTU KAMA WEWE.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Pamoja na Mapambio yote yale mkuu kweli pole sana ndio maana hata teuzi hupati ila mkuu Malipo ya mapambio ndio hayo
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Asante kauli yako imesaidia kuonyesha uhalisia wako. Nyie ndio wapiga pesa na wenye uchu wa madaraka, yan kushindwa tu umekimbilia kusema ccm inawenyewe kama vile sio yule uliekuwa unaisifia kila.siku.
 
Mbona mchakato bado haujakwisha ,unaweza pata maaana baada ya hao kutangazwa majina yataoutia mchakato mwngn,so usishangae mtu amepita kura za maoni na Bado hasipate nafasi ya kupeperusha bendera ya kijani.
This is CCM bwana,chama kubwa.
 
Kwani ulikuwa hujui CCM inaanzia mashinani,kama hushiriki community task ngazi za mashina,hujawahi kukusanyika kwenye michezo ya kata,usitegemee kuchaguliwa labda kuteuliwa.
 
Kuna jambo ulikuwa hulijui au ulilijua ila hukuwa serious.
Kwanza ilikupasa kujua ni nani mpiga kura.
Wajumbe wengi wako matawini na si humu Jf. Wengine hata TV hawana, so they don't know you .
Ungeutaka ubunge ungetafuta nafasi yoyote ndani ya CCM ambayo ingekufanya utambulike kwanza na wajumbe . ungepita kiulaini.
 
Back
Top Bottom