Uchaguzi 2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

Pascal Mayalla,

Badala ya huzuni, imenibidi nicheke Tu Paschal, 😂😂😂😂

Ila Kwa maisha uliyochagua kuishi ni maisha ya Furaha Sana aisee, huna kinyongo, huna hasira ni mtu wa kucheka na kuchukulia powa kila Jambo, wenye kuyaweza maisha hayo Ni wale tu wanaoamwamini Mungu

Uwe na maisha mema mkuu, Heshima kwako aisee, Nimependa Sana kichwa cha habari hapo juu

Hongera sana Kwa uthubutu huo
 
Mkuu mie nimeamini aliyevaa kiatu ndio anajua kiatu kunabana wapi,nimeshiriki katika haya mambo kama mjumbe juzi asikwambie mtu wajumbe wanaopiga hizo kura wenyewe hawajui cha umaarufu wa mtu wala nini wenyewe ni pesa.Huwezi amini kuna wajumbe wengine hawajui kama kuna mtu anaitwa Magufuli wala Majaliwa katika hii nchi,Jana ndio nimeamini.

The only way ushinde ndani ya CCM ni uwe na hela na uwape wale viongozi wao kisha wao ndio wakawape hela watu wao but napo kuna tegemea na mazingira kama ni mbunge ambaye upo na hawajakuchoka utapeta kama mlenda,pia unaweza kuwa maarufu na una hela pia kama wamekuchoka hawakupi hata kura 1.

Yani Politics ni bure bahati nasibu!
 
Pole sana ndugu yangu, nione nikufanyie dua kaka tupindue meza Kamati kuu. Jitahidi unitafute kazi rahisi sana hiyo, asubuhi tu kamati kuu tunapindua meza.
 
Hakika, hapa Napo analakutuambia.Katika Kila la bandiko lake "hudeclare interest",kumbe moyoni anafahamu ukweli..
 
Nakushauri uanze na udiwani ili kujenga jina. Ila hongera kwa kujiamini na kutia nia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…