SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,038
- 8,929
Ubahili umekuponza. Kama unaweza kuwapa milioni 10 kila kata umeshindwa nini kuwahonga wajumbe elfu kumi kumi????
Wajumbe 400 ukiwapa elfu 10 kila mmoja ni milioni 4 tu. Ndio maana wamekuona haupo serious!
Hii aibu ni ya wana jf wote, hadi Mashinji na Mwijaku wamekuzidi kura!
Inabidi upigwe ban kama ya mwezi hivi ili akili ikae sawa.
Wajumbe 400 ukiwapa elfu 10 kila mmoja ni milioni 4 tu. Ndio maana wamekuona haupo serious!
Hii aibu ni ya wana jf wote, hadi Mashinji na Mwijaku wamekuzidi kura!
Inabidi upigwe ban kama ya mwezi hivi ili akili ikae sawa.