Jabari XVI
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,075
- 1,466
Kumbe tecno hutumiwa na mafukara, sikujua hilo asante kwa taarifa njema.. ..Nimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Hahaha! Acha uchochezi hearly
Umemuelewa vibaya Suriya ...Yeye kamaanisha urafiki tu na si uwazavyo wewe.Hahaha maana Nina mwambia ukweli '' siwajua kizuri kina gombewa kama vile mpira wa kona
Anaweza jikuta wewe unakuwa wake When anapokuwa ndotoni tu (kidding)
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemuelewa vibaya Suriya ...Yeye kamaanisha urafiki tu na si uwazavyo wewe.
Naelewa mkuu!! Natumia Smart kitorch😅Na mimi namtania ... Siko serious jamani ... Suriya anajua hivyo pia
Back to the Topic ..mwenzangu Unatumia Tekno model ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa mkuu!! Natumia Smart kitorch[emoji28]
🤔🤔🤔
Hahahaha!! Ulimwengu wa vitorch.
Unaupimaje umaskini wa mtu mkuu?,kwa mfano Mimi tayari nimeshakujua kwamba wewe Ni maskini kutokana na mawazo yakoNimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Amina dogoNimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Ww unatumia nnNimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.