Hatutaki kinyago period!!Sura ni uumbaji wa Mungu,Kuna msemo wa kichina kuwa uzuri wa kitu huwa machoni pa mtazamaji kwako mbaya ila kwa wengine ni bonge la mlimbwende,na kuhusu kukubalika hauna haja ya kutumia elimu kubwa kujua hilo kwani hata watoto wadogo wa Mbeya wanalijua hilo.Wewe endelea kupiga kelele mwenzio anazidi kuchanja mbuga.
Kama hatagombea nitajua ni hisani,akigombea ni rushwaSiyo rushwa bali hisani kwa wanambeya.
Kumbe na wewe huna akili kiasi hichoWandali Hamna akili.Kule kwenu mmechagua ki mama hakijui kitu.kazi kusinzia tuu bungeni
Ukweli mchungu ni kuwa anakubalika zaidi kuliko sugu na mwanjelwa.
Siyo rushwa bali hisani kwa wanambeya.
Nje ya mada.WanaMbeya ni watu wema sana.Unataka kusema Mh.Sugu anahusika na kutenda huo uhayawani?Serikali imeshindwa kulinda watu wake na mnalalamikia wapinzani?Huyo Tulia anaenda kufanyaje akiwa Mbunge wa Mbeya?
Wacha kujidanganya!! Anakubalika kwa kipimo gani? Umewahi kuwashindanisha kwenye sanduku la kura ?
Hatuwezi kuwa na mwakilishi mwenye sura kama kinyago
Mkuu mimi siye.Wewe ni mundali??maana ni zero brain nyie
....kachukuwa form !? Wewe ndo msemaji wa wana Mbeya ?Sisi wana Mbeya tumeyaona anayoyafanya akiwa bungeni.
Sisi tumeshazoea kutenda haki na hivyo basi hatupo tayari kuongozwa na mtu asiye ipenda haki maana bila haki hakuna maendeleo.
Mbunge wetu tuliye naye anatutosha.
View attachment 1278080
Sura ni uumbaji wa Mungu,Kuna msemo wa kichina kuwa uzuri wa kitu huwa machoni pa mtazamaji kwako mbaya ila kwa wengine ni bonge la mlimbwende,na kuhusu kukubalika hauna haja ya kutumia elimu kubwa kujua hilo kwani hata watoto wadogo wa Mbeya wanalijua hilo.Wewe endelea kupiga kelele mwenzio anazidi kuchanja mbuga.
Wewe unasema kinyago wenzako wanamwona mkombozi.Hatutaki kinyago period!!
...alitenda nini !?Kwa taarifa yako ni kuwa mh Sugu hapa mbeya wala hatumiagi fedha ili tumchague.
Sisi tunachagua utendaji wake wala siyo fedha.
Wandali Hamna akili.Kule kwenu mmechagua ki mama hakijui kitu.kazi kusinzia tuu bungeni
- UNAONAJE KAMA UNGEANDIKA "MIMI MWANA MBEYA" MAANA NINAYOYASIKIA KWA WAPIGA KURA HALISI SI SAWA NA WAPIGA KURA WA JF
Hata kama akigombea itabaki hisani tu na wananchi wanampenda kwa kuwa na moyo wa kujitoa.
Subiri uoneHatumchagui hata kwa mtutu
Seriously !?Ccm mmekaa madarakani kwa miaka karibu 60 nini mmetufanyia sisi wananchi?
Ungekuwa mwana Mbeya usingeuliza hilo swali kabisaSugu hatukumchagua ili akaonyeshe DOLE LA KATI bungeni ,,
Ebu nambie amefanya nini sugu mda wote alio kaa madarakani
Kuna swali lolote la kujibu?