ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Saizi Kila kitu Dodoma imeacha Mbeya .Angalia Jijji la Wagogo linavyowaacha Mbeya. Miundombinu ya kisasa, majengo mazuri, mzunguko wa fedha mkubwa.
Mtaendelea kuuza maparachichi milele
Ina maana wewe ni zombi? Huwezi kutumia jicho la tatu ama kufikiri nje ya sanduku, nakuuliza na wewe mbeya unatoka shehemu gani halafu nilikwambia ili uwe sambamba na mimi uwe na ufahamu wa kutosha kuhusu ostracism and human herding kama unafahamu twende kazi, ( remember I can not be brain washed am knowledgeable), mimi ndiyo naweza kukusafisha fuvu lakoLazima niulize kwa vile mimi ni mwenyeji wa Mbeya. Naona watu wameanzisha vyama vya siasa lakini kwenye mikoa yao havifanyi siasa chafu kama zvinavyofanya Mbeya. Kwa nini mtuharibie Mbeya yetu?.
Halafu unakuta hata wakigawa viti maalum (Wanawake) hukuti mbunge wa kutoka Mbeya. Kwa mfano mwaka 2010 na 2015 wabunge wa viti maalum walikuwa ni mahawara wa Freeman Mbowe (Joyce Mukya), dada wa Lissu (Christina Lissu), binti wa Ndesamburo, mke wa Komu, mkwe wa Ndesamburo (Kiwelu).
Sasa Mbeya yanatumika tu lama MAZOMBIE na ubunge na fedha wanafaidi wachaga
ChoiceVariable
Error 404Kwani wewe kwenu wapi ili tujue kama mkoa wako una maendeleo kuliko mbeya, Kwani huyo Tulia kaleta nini, kaongeza kitu gani kutoka CCM kwa miaka aliyoongoza?
Mbeya watu wana misimamo yao isiyoyumba wakisema ni nyeusi ujue nyeusi kama nyekundu ujue ni nyekundu hawajipendekezi kijinga hata kununuliwa hawajumuiki kirahisi, wamejifunza kujitegemea husikii kelele za serikali ifanye hivi au ifanye vile, wao maisha yanasonga, serikali ifanye au isifanye huwezi sikia eti mbeya kuna njaa, ndio maana wanajiamini, mikoa ya wengine wanafikia moyoni kwasababu wanaogopa wakisema fyooo, njaa ikiwakumba watakosa chakula cha msaada
Jicho la tatu ni lipi hilo ?Ina maana wewe ni zombi? Huwezi kutumia jicho la tatu ama kufikiri nje ya sanduku, nakuuliza na wewe mbeya unatoka shehemu gani halafu nilikwambia ili uwe sambamba na mimi uwe na ufahamu wa kutosha kuhusu ostracism and human herding kama unafahamu twende kazi, ( remember I can not be brain washed am knowledgeable), mimi ndiyo naweza kukusafisha fuvu lako
Ndio hata mwinyi kwao mkuranga.Watanganyika wanaweza kuwa viongozi Zanzibar?
To think out side the box, binadamu ana akili sana binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiriJicho la tatu ni lipi hilo ?
Natoka sehemu 3. Asili Mbeya Vijijini. Makuzi Mwanjelwa kwa wazazi na nilikojenga New Forest ila wanaishi wapangaji. Mimi niko Mbezi Beach Far es Salaam.Ina maana wewe ni zombi? Huwezi kutumia jicho la tatu ama kufikiri nje ya sanduku, nakuuliza na wewe mbeya unatoka shehemu gani halafu nilikwambia ili uwe sambamba na mimi uwe na ufahamu wa kutosha kuhusu ostracism and human herding kama unafahamu twende kazi, ( remember I can not be brain washed am knowledgeable), mimi ndiyo naweza kukusafisha fuvu lako
Labda Benny Haraba anafikiri pua ni jicho la 3Jicho la tatu ni lipi hilo ?
Hope utakuwa umeokoka na unampenda yesuNatoka sehemu 3. Asili Mbeya Vijijini. Makuzi Mwanjelwa kwa wazazi na nilikojenga New Forest ila wanaishi wapangaji. Mimi niko Mbezi Beach Far es Salaam.
Nimbetembea miji yote ya Tanzania na nikaona consciousness ya watu na maendeleo. Ila sijaona huo ujinga wenu mnaokumnatia akina Sugu na FORM IV failures zao. Amegeuza Mbeya vijiwe vya bangi
Bro acha kudanganya, kwanza arusha ina makabila mengi na si kweli eti usipokuwa mchaga huchaguliwi, wenyeviti wengi wa mitaa ni maasai, wachaga wapo kidogo mno, wengine ni makabila ya nje. Na kule wanakupa kama una uzoefu na eneo husika na umekaa muda mrefu , si kabilaMbeya bado manyumbu ngoja kwanza wagonganishwe kama misukuli..watakuja kusanuka ila ni baadaye kidogo...chedema huku kaskazini watukaka wameshawastukia..ni kampuni iliyovaa koti la chama cha siasa....ina ukabila hapa Arusha kama wewe sio mchagga hauteuliiwa kugombea udiwani na nafasi nyeti za uongozi wakati hspa kuna makabila mengi kama Waarusha,wameru,wamasai,wasomali,warangi n.k
What do you mean by putLabda Benny Haraba anafikiri put ni jicho la 3
Huku uchumi ukishukaKwa asiye elewa anaweza kufikiri wewe mtoa post ni Tulia!
Mbeya ni moja ya mikoa ambayo sasa hivi imeelimika kwa maswala ya Demokrasia.
Kiswahili cha wapi hiki ?To think out side the box, binadamu ana akili sana binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri
Aibu yako hii na chuki yako kwa Chadema,hivi shule ulienda kusomea ujinga?Mwanzilishi wa CHADEMA ni Edwin Mtei na nyumbani kwake ni Tengeru, Arusha. Mwenyekiti wa muda wote wa CHADEMA ni Freeman Mbowe na kwao ni Hai, Kilimanjaro.
Katibu Mkuu wa CHADEMA ni John Mnyika kutoka Singida lakini mama yake ni wa Moshi Vijijini. Makamu Mwenyekiti Lissu kwao ni Singida.
Lakini kila wakitaka kutest mitambo ya siasa zao za vurugu wanakuja Mbeya.
Mbeya kwa kipindi cha Sugu 2010-20 pamekuwa ni mahali pa migomo ya biashara na kukosa maendeleo.
Wana Mbeya sasa hivi jiji lenu limeteremka hadhi kabisa kwa sababu wamegundua kuwa kuna WAJINGA wengi. Ukiwaambia maandamano wanakuja.
Jiulize kwa nini wasipeleke Moshi? Wanajuwa Moshi watu ni wajanja hawatakubali kuacha kazi zao na kwenda kuunga mkono upuuzi.
😆😆😆Labda Benny Haraba anafikiri put ni jicho la 3
Kwa nini uende outside the Box wakati ndani ya Box kuna majibu yote.To think out side the box, binadamu ana akili sana binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri
Huyo jamaa uchawa kwa Samia umetoa akili sana hana tofauti na Lucas Mwashambwa ujinga mwingiiii...kwani waliofanya fujo ni Polisi, au Chadema?
..labda ungemuuliza Samia kwanini anawafanyia fujo Wanambeya?
..mbona Bazecha ilipofanyika kongamano Zanzibar Samia hakutuma polisi?
..mbona ACT wamefanya kongamano Zanzibar Samia hakutuma Polisi?
..Kwanini Watanganyika awamu hii tunapigwa na Polisi, lakini Wazanzibari hawapigwi?
Huyu mjinga ameamua kuitumia Chadema kuitukana Mbeya na wana Mbeya, angalia post zake anaponda mji wa Mbeya anauita kijiji kikubwa na wana Mbeya kuwa ni vilaza wasiojitambua wanaendeshwa na Wachaga.Mkuu Stuxnet heshima kwako. Ishambulie CHADEMA, Mbowe na viongozi wake wote wanaokukera kwa mengine. Hii ya Mbeya iache.
Kule ni stronghold ya upinzani kwa ujumla kwa muda mrefu. Sio CHADEMA tu; hata ndani ya CCM yenyewe. Wale sio mazuzu wa kupelekeshwa na mwanasiasa yeyote yule. Wanajisimamia. CHADEMA wame-capitalise tu kwenye hiyo fursa. Fuatilia historia.
Ungeanzisha uzi moja kwa moja tu kuitukana Mbeya na watu wake bila kuzunguka mbuyu kuitumia Chadema.Yaani kujenga HOVYO nyumba za matope mjini ndiyo kujitambua?? Kujaza mabajaj barabarani mpaka kudababisha foleni ndiyo kujitambua?? Jiji limekuwa KIJIJI kikubwa ndiyo mnaona ndiyo upinzani. Nyambaàaf