Wana Mbeya shitukeni, CHADEMA wamegeuza jiji lenu maabara ya sera zao

Wana Mbeya shitukeni, CHADEMA wamegeuza jiji lenu maabara ya sera zao

Angalia Jijji la Wagogo linavyowaacha Mbeya. Miundombinu ya kisasa, majengo mazuri, mzunguko wa fedha mkubwa.

Mtaendelea kuuza maparachichi milele
Saizi Kila kitu Dodoma imeacha Mbeya .

Mbeya ndio Jiji la hovyo kuliko yote kiasi ya kulinganisha na Vijiji kama Kahama.

Badala ya ku focus kwenye maendeleo watu wako busy na mambo ya kipuuzi ya kina Lisu na kundi lao.
 
Lazima niulize kwa vile mimi ni mwenyeji wa Mbeya. Naona watu wameanzisha vyama vya siasa lakini kwenye mikoa yao havifanyi siasa chafu kama zvinavyofanya Mbeya. Kwa nini mtuharibie Mbeya yetu?.

Halafu unakuta hata wakigawa viti maalum (Wanawake) hukuti mbunge wa kutoka Mbeya. Kwa mfano mwaka 2010 na 2015 wabunge wa viti maalum walikuwa ni mahawara wa Freeman Mbowe (Joyce Mukya), dada wa Lissu (Christina Lissu), binti wa Ndesamburo, mke wa Komu, mkwe wa Ndesamburo (Kiwelu).

Sasa Mbeya yanatumika tu lama MAZOMBIE na ubunge na fedha wanafaidi wachaga

ChoiceVariable
Ina maana wewe ni zombi? Huwezi kutumia jicho la tatu ama kufikiri nje ya sanduku, nakuuliza na wewe mbeya unatoka shehemu gani halafu nilikwambia ili uwe sambamba na mimi uwe na ufahamu wa kutosha kuhusu ostracism and human herding kama unafahamu twende kazi, ( remember I can not be brain washed am knowledgeable), mimi ndiyo naweza kukusafisha fuvu lako
 
Kwani wewe kwenu wapi ili tujue kama mkoa wako una maendeleo kuliko mbeya, Kwani huyo Tulia kaleta nini, kaongeza kitu gani kutoka CCM kwa miaka aliyoongoza?

Mbeya watu wana misimamo yao isiyoyumba wakisema ni nyeusi ujue nyeusi kama nyekundu ujue ni nyekundu hawajipendekezi kijinga hata kununuliwa hawajumuiki kirahisi, wamejifunza kujitegemea husikii kelele za serikali ifanye hivi au ifanye vile, wao maisha yanasonga, serikali ifanye au isifanye huwezi sikia eti mbeya kuna njaa, ndio maana wanajiamini, mikoa ya wengine wanafikia moyoni kwasababu wanaogopa wakisema fyooo, njaa ikiwakumba watakosa chakula cha msaada
 
Kwani wewe kwenu wapi ili tujue kama mkoa wako una maendeleo kuliko mbeya, Kwani huyo Tulia kaleta nini, kaongeza kitu gani kutoka CCM kwa miaka aliyoongoza?

Mbeya watu wana misimamo yao isiyoyumba wakisema ni nyeusi ujue nyeusi kama nyekundu ujue ni nyekundu hawajipendekezi kijinga hata kununuliwa hawajumuiki kirahisi, wamejifunza kujitegemea husikii kelele za serikali ifanye hivi au ifanye vile, wao maisha yanasonga, serikali ifanye au isifanye huwezi sikia eti mbeya kuna njaa, ndio maana wanajiamini, mikoa ya wengine wanafikia moyoni kwasababu wanaogopa wakisema fyooo, njaa ikiwakumba watakosa chakula cha msaada
Error 404
 
Ina maana wewe ni zombi? Huwezi kutumia jicho la tatu ama kufikiri nje ya sanduku, nakuuliza na wewe mbeya unatoka shehemu gani halafu nilikwambia ili uwe sambamba na mimi uwe na ufahamu wa kutosha kuhusu ostracism and human herding kama unafahamu twende kazi, ( remember I can not be brain washed am knowledgeable), mimi ndiyo naweza kukusafisha fuvu lako
Jicho la tatu ni lipi hilo ?
 
Ina maana wewe ni zombi? Huwezi kutumia jicho la tatu ama kufikiri nje ya sanduku, nakuuliza na wewe mbeya unatoka shehemu gani halafu nilikwambia ili uwe sambamba na mimi uwe na ufahamu wa kutosha kuhusu ostracism and human herding kama unafahamu twende kazi, ( remember I can not be brain washed am knowledgeable), mimi ndiyo naweza kukusafisha fuvu lako
Natoka sehemu 3. Asili Mbeya Vijijini. Makuzi Mwanjelwa kwa wazazi na nilikojenga New Forest ila wanaishi wapangaji. Mimi niko Mbezi Beach Far es Salaam.

Nimbetembea miji yote ya Tanzania na nikaona consciousness ya watu na maendeleo. Ila sijaona huo ujinga wenu mnaokumnatia akina Sugu na FORM IV failures zao. Amegeuza Mbeya vijiwe vya bangi
 
Natoka sehemu 3. Asili Mbeya Vijijini. Makuzi Mwanjelwa kwa wazazi na nilikojenga New Forest ila wanaishi wapangaji. Mimi niko Mbezi Beach Far es Salaam.

Nimbetembea miji yote ya Tanzania na nikaona consciousness ya watu na maendeleo. Ila sijaona huo ujinga wenu mnaokumnatia akina Sugu na FORM IV failures zao. Amegeuza Mbeya vijiwe vya bangi
Hope utakuwa umeokoka na unampenda yesu
 
Mbeya bado manyumbu ngoja kwanza wagonganishwe kama misukuli..watakuja kusanuka ila ni baadaye kidogo...chedema huku kaskazini watukaka wameshawastukia..ni kampuni iliyovaa koti la chama cha siasa....ina ukabila hapa Arusha kama wewe sio mchagga hauteuliiwa kugombea udiwani na nafasi nyeti za uongozi wakati hspa kuna makabila mengi kama Waarusha,wameru,wamasai,wasomali,warangi n.k
Bro acha kudanganya, kwanza arusha ina makabila mengi na si kweli eti usipokuwa mchaga huchaguliwi, wenyeviti wengi wa mitaa ni maasai, wachaga wapo kidogo mno, wengine ni makabila ya nje. Na kule wanakupa kama una uzoefu na eneo husika na umekaa muda mrefu , si kabila

Humu ndani kuna wazaliwa, na wazoefu la na wakaazi wa hili jiji tokea 80s, usidhani unaandilia watoto
 
Mwanzilishi wa CHADEMA ni Edwin Mtei na nyumbani kwake ni Tengeru, Arusha. Mwenyekiti wa muda wote wa CHADEMA ni Freeman Mbowe na kwao ni Hai, Kilimanjaro.

Katibu Mkuu wa CHADEMA ni John Mnyika kutoka Singida lakini mama yake ni wa Moshi Vijijini. Makamu Mwenyekiti Lissu kwao ni Singida.

Lakini kila wakitaka kutest mitambo ya siasa zao za vurugu wanakuja Mbeya.

Mbeya kwa kipindi cha Sugu 2010-20 pamekuwa ni mahali pa migomo ya biashara na kukosa maendeleo.

Wana Mbeya sasa hivi jiji lenu limeteremka hadhi kabisa kwa sababu wamegundua kuwa kuna WAJINGA wengi. Ukiwaambia maandamano wanakuja.

Jiulize kwa nini wasipeleke Moshi? Wanajuwa Moshi watu ni wajanja hawatakubali kuacha kazi zao na kwenda kuunga mkono upuuzi.
Aibu yako hii na chuki yako kwa Chadema,hivi shule ulienda kusomea ujinga?
 
To think out side the box, binadamu ana akili sana binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri
Kwa nini uende outside the Box wakati ndani ya Box kuna majibu yote.

Mimi nijibu straight acha cheap jargons. Lini ulisikia Moshi kuna maandamano?

Pili baada ya Mrisho Gambo kuwa RC Arusha unaonaje biashara ya utalii ilivyopanda as opposed na kipindi cha Godbless Lema?
 
..kwani waliofanya fujo ni Polisi, au Chadema?

..labda ungemuuliza Samia kwanini anawafanyia fujo Wanambeya?

..mbona Bazecha ilipofanyika kongamano Zanzibar Samia hakutuma polisi?

..mbona ACT wamefanya kongamano Zanzibar Samia hakutuma Polisi?

..Kwanini Watanganyika awamu hii tunapigwa na Polisi, lakini Wazanzibari hawapigwi?
Huyo jamaa uchawa kwa Samia umetoa akili sana hana tofauti na Lucas Mwashambwa ujinga mwingiiii.
 
Mkuu Stuxnet heshima kwako. Ishambulie CHADEMA, Mbowe na viongozi wake wote wanaokukera kwa mengine. Hii ya Mbeya iache.

Kule ni stronghold ya upinzani kwa ujumla kwa muda mrefu. Sio CHADEMA tu; hata ndani ya CCM yenyewe. Wale sio mazuzu wa kupelekeshwa na mwanasiasa yeyote yule. Wanajisimamia. CHADEMA wame-capitalise tu kwenye hiyo fursa. Fuatilia historia.
Huyu mjinga ameamua kuitumia Chadema kuitukana Mbeya na wana Mbeya, angalia post zake anaponda mji wa Mbeya anauita kijiji kikubwa na wana Mbeya kuwa ni vilaza wasiojitambua wanaendeshwa na Wachaga.
 
Yaani kujenga HOVYO nyumba za matope mjini ndiyo kujitambua?? Kujaza mabajaj barabarani mpaka kudababisha foleni ndiyo kujitambua?? Jiji limekuwa KIJIJI kikubwa ndiyo mnaona ndiyo upinzani. Nyambaàaf
Ungeanzisha uzi moja kwa moja tu kuitukana Mbeya na watu wake bila kuzunguka mbuyu kuitumia Chadema.
 
Back
Top Bottom