Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

"Is this scientific statement", hilarious.

Nimesema Maimuuunaaa.

Nipe proof kama unayo.

Kama huna huwezi kubisha.
Can you prove that these statements really deserve answers?
 
Is this scientific statement? Can it be proved?
Silly!

Ni proof ya aina gani anayo hitaji , kwanza namna alivyoandika anaonyesha mapungufu makubwa katika kufikiri. Huwezi andika " hakuna MTU..." Hiyo ni sentensi ya binadam asiyefikiri. Dunia inawatu Karibia 6b MTU anaandika hakuna MTU,ina maanisha ametafiti katika watu wote ? Kiranga ni aibu kama hujagundua makosa kwenye andiko la "hakuna MTU..."
 
Last edited by a moderator:
Umeshindwa kuelewa argument from complexity ilivyohusishwa.
Katika hesabu, hatugawanyi kwa sifuri. Ni mwiko.
Kwanini ni mwiko?
Na hatuwezi kuhesabu mpaka infinity, ni mwiko.
Hatuwezi kuhesabu hadi infinity halafu ni mwiko?
Kivipi?

Inawezekanaje uwe huwezi kutembea kwa miguu kutoka Dar hadi Pretoria halafu hapo hapo iwe mwiko kufika Pretoria?
Lakini the fact kwamba hatuwezi kuhesabu mpaka infinity haituzuii kutumia kanuni ya kwamba hatuwezi kugawanya infinity kwa sifuri.
Hili linawezekana kama utakuwa unajua infinity kwa hakika
Ingawa hatuijui infinity ina value gani.
Unawezaje kusema kitu fulani kinaweza kugawanyika au unaweza kukigawanya na kingine wakati hujui thamani yake?
Sihitaji kujua mungu ni kitu gani ili kujua kwamba the complexity argument does not hold water.
Sio kweli kabisa
Unapotaka kujua kama gari fulani linaweza kubeba mzigo fulani ni hadi ujue uzito wa mzigo wenyewe na uwezo wa gari wa kubeba mizigo

Huwezi kukurupuka huko na ukasema kunguru anaweza kunya kinyesi cha kuweza kujaza pipa kwa mara moja bila kufanya utafiti na kujua kunguru anakula chakula kiasi gani na ana ukubwa gani

Huwezi kudai kuwa kwa kuwa Mungu nae atakuwa na muumbaji wakati hata Mungu mwenyewe humjui ni nini na yukoje

Ni sawa na ujaribu kusema umeme umeumbwa na MaxShimba wakati hata uwezo wa MaxShimba huujui

Unajicontradict mkulima ....!!!!!!!!!
 
Who told you that they are looking for an answer, let alone deserve it?

Or is that just another one of your misguided ass-umptions?

So you asked without expecting answers. I said you are amusing!
And your atheist deacons and parishioners think you are a genius?
Truly fool have said in his heart there is no God!
When you become an atheist some bolts and nuts are purposely not working!
 

Nafikiri ni mmoja wa wenye kipaji cha kukariri sana, hawezi kupambanua mambo, chunguza hoja zake kuhusu complexity, mungu na alivyoviumba kwa upande mmoja Jumbo jet na kiti kwa upande mwingine...
 

I was merely ridiculing your Maimuna diction.

That does not necessarily warrant an answer.
 

Zakumi GODS kingdom is holy and never in a sinfull place ,where satan was thrown We say everywhere because nobody knows where he is but he communicates holly

Stefano Mtangoo:

Thanks for your two cents. Could you please compare what you have said and what honorable Thinky thinks? It seems to me that even though both of you believe in God and quote the Bible, you don't agree on the kingdom of God. You think the whole universe is the kingdom of God. Whereas, Thinky believes that the kingdom of "God is holy and never in a sinful place". As you indicate in your post, we sin right here at JF. Do we live in the kingdom of God? According to Thinky, we don't because we commit sins here.
 


Mambo yale yale yanaendelea. Kwanini unasema "HE deserves"? kwanini tunamzungumzia shetani kama "he"?
 
thats it simple logical expression i say so because humans do things by excuting thoughts e.g when i build a house for rent at chalinze and live at my territory or maybe my owncastle in united kingdom it doesnt mean the house isnt mine but laws and rules in my territory are costant but in chalinze they may decide to go with my rules or not if at al i gave them bcos they dnt see me and am very far from them.
 

Mimi msomaji tu
 
Mungu uturehemu sisi binadamu wakosaji kwa maana upeo w2 ni wa kibinadamu na ni wakosaji.
 
Wewe ukitaja jina "MUNGU" utaona Wana- wa-Saya-n'si wanavyo pandwa mtindio!

Those diabolical non theists speaks more about God than theists. It's interesting isn't it?
[h=1]Why Do Non-theists Get So Angry When Christians Talk About Their Unbelief?[/h]
Because there is "GOD"
 

dah!hizo sauti zipo bhana..zinatisha watu wanakula mateso huko chini
 

Amen...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…