Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Mkuu@pasco, umeongea vizuri, lakini mwisho umeingia woga kwa kumfagilia Mungu dhidi ya shetani. Swali hapa ni Je nani aliumba mwingine? Is satan self made, and if not was he made by God? Na kama alitengezwa na Mungu, alitengenezwa for wahta purpose? Na kama alitengenezwa aharibu ulimwengu, why are we makining a ----ing noise kumpinga shetani makanisani na misikitini kumsaidia Mungu asituharibu?
Mkuu Nyumbu, kumhusu Mungu na shetani, nimeishamzungumza sana hapa, huku nimezungumza kwanza
  1. Kwanza mwanzo wa Mungu na shetani, na wengi hawajui kuwa shetani hapo mwanzo alikuwa ndie malaika mkuu with powers na uwezo next to God and second to none!.
  2. Kwa nini shetani aliasi, na jee baada ya kuwa shetani alinyang'anytwa zile nguvu na kwa nini hakunyang'anywa!.
  3. Nikaeleze kuwa shetani ndie source of all evils na ana as much powers as God, almost all that God can do, the devil can do saves uumbaji na utoaji roho!. Yaani God is the creator and giver of life ambayo shetani hawezi, na devil ndie the destroyer of all that God has created!.
  4. Nimeeleza kwa nini kama Mungu aliupenda hivi ulimwengu hasdi kumtoa Mwanae mpendwa wake ili kuja kuukomboa ulimwengu, kwa nini asingemuangamiza tuu huyo shetani, na badala yake ni huyo huyo shetani alikuja kumjaribu hadi Mwana wa Mungu, na hatimaye kusulubiwa hadi kufa kwa kifo cha aibu, kisa ni shetani!.
  5. Pia nimeeleza kwa kirefu jinsi sisi binadamu tulivyo umbwa kwa mfano wa Mungu na jinsi tulivyo na nguvu za Mungu.
Karibuni sana hapa [h=3]Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila ...[/h]
Pasco
 
Mungu, supposedly the most complex entity in the universe, akiweza kuwepo bila kuumbwa, any less complex entity itawezekana zaidi kuwepo bila kuumbwa.

Hizi ndoto zako nimeshajadiliana sana na wewe na inaonekana huelewi kabisa

Nilikupa mfano ule na bahati mbaya sana umeshindwa kuuelewa
Na tatizo kubwa zaidi unadhani unaposhindwa kuelewa maelezo yoyte unadhani tatizo ni la mtoa maelezo wakati ni lako wewe

Ni kwanini unadhani kuwa kama Mungu hakuumbwa basi na binadamu nae hajaumbwa?

Ni kwanini unadhani kama binadamu hawezi kupaa angani basi viumbe vingine navyo haviwezi kupaa?

Unajua Mungu ni kitu gani wewe hadi unasema kama nae hajaumbwa basi na binadamu nae anaweza kuwepo tu bila kuumbwa?

Unakubalije kuwa binadamu katokea tu?
Unatumniaje mantiki ipi kukubali hili?

Yes najua kuwa hata kama hakutokea tu inawezekana awe hajaumbwa na Mungu,lakini je unakubali kuwa huyu binadamu ana mwanzilishi?

Kama unakana huoni kuwa unajikinza na mantiki?
 
Nihesabu na mimi kati ya hao wasiojua tumefikaje hapa tulipo.

Hujui au hutaki kujua?

Unaweza kujikuta upo Madagascar
Kufikiria kuwa kuna kilichokufikisha hapo ni ishara ya kuutumia ubongo wako vizuri

Pia ukiwaza kuwa hicho kilichokufikisha hapo ni meli hata kama huna ushahidi ni ishara ya kutumia akili yako vyema na hata kama ukija kujua kuwa kilichokufikisha hapo ni ungo hautaonekana huna maana

Lakini unapodai kuwa hujui namna ulivyofika hapo na kuna wanaokuambia kuwa kuna kilichokufikisha hapo na unakana na kudai hujui huku ukijua kabisa HUWEZI kufika hapo hivihivi tu ndugu utakuwa una ajenda yako unayoijua mwenyewe

Na kama hutakuwa na ajenda yoyote basi kwenye mfumo wako wa kufikiri kutakuwa na mushkeli ......!!!!!!!
 
Mkuu Pasco, alicho eleza Rapture man ndiyo hasa dini zinavyomuelezea Mungu. Kwamba yeye ni mjuzi wa yote. Na kwakuwa yeye ni mjuzi wa yote, alijua kabla hajamuumba shetana kuwa shetani atakuja kumuasi, na ili mpango wakewa kumleta Yesu utimie, shetani hakuwa uwezo wa kukwepa uasi, ili neno litimie. Mwisho wa siku watu wanaenda kutiwa kiberiti kwa mpango wa huyo huyo Mungu mwenye "upendo mkuu" na si shetani. Kwa kuwa yeye ndiye mjuzi na mpangaji wa yote.
(bado hatumjui mungu)
Mkuu Tiger, dhana ya kwamba Mungu alimuumba shetani ili awe shetani ili autumie ushetani huo aliomuumbia kutuadhibu sisi watu wake, kisha watakaofuata shetani, waadhibiwe akiwemo Mwanaye mpandwa wake aliyeadhibiwa bila kosa kwa kuteswa, kusulubiwa hadi kifo cha aibu pale msalabani, yaani yote hiyo ilikuwa ni plan ya The One and Oly God?!, this doesn't make sense and there is mo logig in it!.

Ukweli ni huu, Mungu alituumba kwa mfano wake, na kutupa nguvu za Uungu ndani yetu!. Wakati anatuumba, shetani tayari alikwisha kuwako siku nyingi!. Mungu akatupa uwezo wa kifanya kila kitu ikiwemo nguvu za kumzuia shetani, pia akatupa mafunzo kuwa usifanye hiki, na huki ni cha shetani, ula pia akatupa utashi wa kuamua tumfuate Mungu au shetani, Eva ndio akalianzisha, Adamu akafuatia hatimaye tumejikuta tunaangamizwa na shetani!. Mungu alichokifanya kwenye kutupa utashi, ametupa choices kuchagua kati ya yeye na shetani!.

Uamuzi wa kumfuata shetani is by choice, Mungu ametupa uwezo wa Kimungu ndani yetu kuzuia mbinu zozote za shetani, controll ya uwezo huu wa Kimungu, inafanyika kwa utashi, na unachotakiwa kufanya ni kuamini tuu!. Mungu anaufalme wake The Kingdom of heaven, na shetani ana ufalme wake the kingdom of hell, kule jehanum ya moto wa milele!. Baada ya Mungu kutuumba na hizo nguvu za Uungu, ili tuzitumie kumtumikia na kuingia kwenye The Kingdom of Heaven, shetani naye kwa kutumia powers of darkness, anafanya juhudi kubwa kuwavuna watu wa Mungu ili apate wafuasi wa kumsindikiza kule kwenye ufalme wake, the kingdom of hell!.

Hivi vita vyote kati ya mema na mabaya vinavyopioganwa humu duniani hadi humu jf, ni works of powers kati ya nguvu za Mwanga na nguvu za giza!, kati ya watumishi wa Mungu na wale wa shetani!.
Nawashauri tuwe waangalifu sana!.
Pasco.
 
Huyo Mungu mwenye uwezo mkuu lakini anafanya kazi, anachoka na kuhitaji kupumzika na kustarehe ndiye anafanya niseme, "hatumjui mungu bado"
tena maelezo hayo tunaa mbiwa ni maneno yake mwenye. Kweli Mungu hajasingiziwa hapa? Stefano Mtangoo mjuu kuu wa babu yetu mzee Mtangoo hebu weka mambo sawa hapa.

Kosa kubwa unalolifanya ni kujadili kuwepo ama kutokywepo kwa Mungu huku ukutsngulia kumuweka Mungu level sawa na yako, ukihoji habari za Mungu kwa rejea ya kiswahili, si si wasomi wa kati tunajua kuna maneno kwenye kiswahili yameandikwa kwa kuwa tu ndiyo yaliyokuwa na maana ambayo inaelekeana na si kwamba ndiyo ili kuwa maana sawia, hivyo hutegemea zaidi mantiki ya maelezo yote kuliko sentensi au maana ya neno moja moja....
 
Mkuu Pasco, alicho eleza Rapture man ndiyo hasa dini zinavyomuelezea Mungu. Kwamba yeye ni mjuzi wa yote. Na kwakuwa yeye ni mjuzi wa yote, alijua kabla hajamuumba shetana kuwa shetani atakuja kumuasi, na ili mpango wakewa kumleta Yesu utimie, shetani hakuwa uwezo wa kukwepa uasi, ili neno litimie. Mwisho wa siku watu wanaenda kutiwa kiberiti kwa mpango wa huyo huyo Mungu mwenye "upendo mkuu" na si shetani. Kwa kuwa yeye ndiye mjuzi na mpangaji wa yote.
(bado hatumjui mungu)

Kwa mtindo wa kumtafuta Mungu kwenye maandishi ni uhakika huwezi kumjua na sio ajabu kuhitimisha kwamba hsyupo, Mungu waweza kumtafuta kumjua kupitia wewe mwenyewe au ulimwengu na vijazavyo humo ndimo Mungu anapnekana na kusomeka vizuri kabisa kwa wenye kutafakari,ukimtafuta vitabuni Huyo atakuwa sio Mungu halisi labda utapata CV yake ambayo pia utahitaji mawazo au fikra za ziada kumjua...
 
Hizi ndoto zako nimeshajadiliana sana na wewe na inaonekana huelewi kabisa

Nilikupa mfano ule na bahati mbaya sana umeshindwa kuuelewa
Na tatizo kubwa zaidi unadhani unaposhindwa kuelewa maelezo yoyte unadhani tatizo ni la mtoa maelezo wakati ni lako wewe

Ni kwanini unadhani kuwa kama Mungu hakuumbwa basi na binadamu nae hajaumbwa?

Ni kwanini unadhani kama binadamu hawezi kupaa angani basi viumbe vingine navyo haviwezi kupaa?

Unajua Mungu ni kitu gani wewe hadi unasema kama nae hajaumbwa basi na binadamu nae anaweza kuwepo tu bila kuumbwa?

Unakubalije kuwa binadamu katokea tu?
Unatumniaje mantiki ipi kukubali hili?

Yes najua kuwa hata kama hakutokea tu inawezekana awe hajaumbwa na Mungu,lakini je unakubali kuwa huyu binadamu ana mwanzilishi?

Kama unakana huoni kuwa unajikinza na mantiki?
Mkuu Eiyer, bado unakabiliwa na lile lile tatizo tulilobishania kule kwenye ule uzi wangu wa Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila ...


ambalo ni limited thinki ability about God!, wewe ni miongoni mwa wale ambao thinking capacity na ability yao imegota kwenye dhana ya Mungu, alikuwepo kuwepo tuu, hana mwanzo wala mwisho!, yaani mwanzo ni yeye na mwisho ndio yeye, Alfa na Omega, aliyekuwepo bila kuumbwa yaani God just existed from nothing!. Hapo ndio mwisho wa thinking capacity yako, ability na uwezo wako kumhusu Mungu. You can't think beyond!.

Alichofanya Kiranga is to go beyond that, kuwa kama imewezekana kwa Mungu, ti exist just from nothing na akaamini hivyo, then imani yako inakuambia existance from nothing is possible!, na akazama zaidi, if its posible kwa God to exist from nothing, then other beings can as well exist fro nothing kama Mungu alivyoanza, unless utoe sababu why is it possible only God can exist that way and nobody else?!.

Tulichobishania na mimi kule niliwaeleza Mwanzo wa Mungu pia ndio huo huo mwanzo wa shetani, na the source of powers za Mungu, ndio the same source ya powers za shetani, tofauti kati ya Mungu na shetani, ni Mungu has more powers kuliko shetani zikiwepo powers za creation ambazo shetani hana, powers za giver of life ambazo shetani hana na powers za taker of life ambazo shetani hana!.

Pasco
 
Mungu aliumbwa na Warumi ili wamtumie kutawala dunia. Na bahati mbaya wanaoamini uwepo wa Mungu hawasomi hata hivyo vitabu vya dini kama bibilia na Qurani. Kwenye hivyo vitabu, kuna mafumbo mengi (lost symbols?), ambayo watu wanoakaririshwa vifungu hawawezi kuelewa. Kwa mfano, kwenye agano jipya, Mtume Yesu anasema, huwezi kuingia ufalme wa mbigu , kama hujawa kama mtoto. Na wote tunajua kwamba siku zote mtoto anaweza hatumii akili za kufundishwa kuamua jambo lake, yaani kinachomwongoza mtoto ni matamanio yake tu, yaani will power! Sasa i wapi busara ya binadamu kumwogopa Mungu, kama yeye mwenyewe anajifananisha na mtoto mdogo?

Utafiti uliofanya ukahitimisha hizo ndizo sifa alizonazo mtoto ? No wonder wa amini Mungu hayupo! JF limekuwa kokoro kweli Hata wewe ni GT ? Umefikiri kabla ya kuandika ulichoandika ?
 
Mkuu Eiyer, bado unakabiliwa na lile lile tatizo tulilobishania kule kwenye ule uzi wangu wa Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila

Huko nilikuuliza maswali na hukuyajibu
So nakuona kama unapiga bla bla tu hapa
ambalo ni limited thinki ability about God!, wewe ni miongoni mwa wale ambao thinking capacity na ability yao imegota kwenye dhana ya Mungu, alikuwepo kuwepo tuu, hana mwanzo wala mwisho!, yaani mwanzo ni yeye na mwisho ndio yeye, Alfa na Omega, aliyekuwepo bila kuumbwa yaani God just existed from nothing!. Hapo ndio mwisho wa thinking capacity yako, ability na uwezo wako kumhusu Mungu. You can't think beyond!.
Una hatari wewe
Mungu alianza wapi?
Unajua Mungu ni nini?

Unajua kuwa kila kitu kilitokea tu au kila kitu kina chanzo?
Alichofanya Kiranga is to go beyond that, kuwa kama imewezekana kwa Mungu, ti exist just from nothing na akaamini hivyo, then imani yako inakuambia existance from nothing is possible!, na akazama zaidi, if its posible kwa God to exist from nothing, then other beings can as well exist fro nothing kama Mungu alivyoanza, unless utoe sababu why is it possible only God can exist that way and nobody else?!.
Kwanza nothing ni nini?
Ili uweze kusema kuwa kama Mungu hana mwanzo na binadamu inawezekana akawa na mwanzo unatakiwa uwe unamjua binadamu na uwe unamjua Mungu pia na ukubali uwepo wake

Unajua hayo wewe?
Kama unajua hebu niambie Mungu ni nini

Halafu pia dhana ya kwamba binadamu anaweza kuwa ametokea tu bila kuwa na chanzo au muwekaji inakwenda kinyume na mantiki
Ni mantiki gani inakubali vitu kuwepo tu?

Na ukisema kama ni hivyo basi na Mungu atakuwa na chanzo itakubidi ujibu hilo swali hapo juu kwa ufasaha kwasababu iwe iwavyo haiwezekani kuwepo na vitu hivi hivi tu
Tulichobishania na mimi kule niliwaeleza Mwanzo wa Mungu pia ndio huo huo mwanzo wa shetani, na the source of powers za Mungu, ndio the same source ya powers za shetani, tofauti kati ya Mungu na shetani, ni Mungu has more powers kuliko shetani zikiwepo powers za creation ambazo shetani hana, powers za giver of life ambazo shetani hana na powers za taker of life ambazo shetani hana!.
Ulisema mwanzo wa Mungu wewe?
Hebu acha kudanganya watu

Hujui hata binadamu chanzo chake ni nini halafu unadai kujua mwanzo wa Mungu?
Una hatari wewe

Halafu bila hata haya unasema kuwa eti chanzo cha shetani ni chanzo cha Mungu
Unasahau kuwa ulisema Mungu anamamlaka kwa shetani

Uko sawasawa wewe?

Hayo mamlaka ya Mungu kwa shetani aliyatoa wapi?
Kwanini Mungu ana nguvu kuliko shetani?

Kwanini nguvu za kuumba shetani awe hana na Mungu awenazo?
Nani alimpa Mungu hizo nguvu?

Naona unaongeza maswali zaidi ya kujibu hoja
Ile mada yako ilikushinda halafu unajidai kuja hapa kujibu maswali yanayomhusu Mungu ....!!!!!!!!
 
Utafiti uliofanya ukahitimisha hizo ndizo sifa alizonazo mtoto ? No wonder wa amini Mungu hayupo! JF limekuwa kokoro kweli Hata wewe ni GT ? Umefikiri kabla ya kuandika ulichoandika ?
Mkuu Cureone, kwa kunishambulia hivi ndo umenisaidiaje? Si uniambie character ya Mungu basi ili nami nielewe? Naomba uniambie ni kitu gani kinamwongoza mtoto kujua anahitaji kunyonya na ni kitu gani kinamsaidia mtoto kujua mtu mbaya na mzuri? Maana si rahisi kumfundisha mtoto wa mwezi mmoja kujua mtu mabaya na mzuri, lakini amini nakwambia, mkienda watu kadhaa kumsalimia mtoto mchanga, na wote mkataka kumbeba, utashangaa mtoto yule anakataa baadhi yenu na kuwakubali wengine! Jenhapo ametumia nini kama sio insticts na "will powers" zake mwenyewe kudetect mbaya na mzuri kati yenu? Sasa hizo will powers alizonazo mtoto ndo hizo ambazo binadamu kwa elimu zetu hizi na jadi zetu tunaziharibu kwa mafunzo na miiko kibao! Naomba uje na hoja za kunishawishi kwanini Mungu hafanani na mtoto hapa mkuu, inawezekana mimi sio Great thinker, lakini nilitegemea wewe great thinker unisaidie na siyo kucrash bila maelezo!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nyumbu, kumhusu Mungu na shetani, nimeishamzungumza sana hapa, huku nimezungumza kwanza
  1. Kwanza mwanzo wa Mungu na shetani, na wengi hawajui kuwa shetani hapo mwanzo alikuwa ndie malaika mkuu with powers na uwezo next to God and second to none!.
  2. Kwa nini shetani aliasi, na jee baada ya kuwa shetani alinyang'anytwa zile nguvu na kwa nini hakunyang'anywa!.
  3. Nikaeleze kuwa shetani ndie source of all evils na ana as much powers as God, almost all that God can do, the devil can do saves uumbaji na utoaji roho!. Yaani God is the creator and giver of life ambayo shetani hawezi, na devil ndie the destroyer of all that God has created!.
  4. Nimeeleza kwa nini kama Mungu aliupenda hivi ulimwengu hasdi kumtoa Mwanae mpendwa wake ili kuja kuukomboa ulimwengu, kwa nini asingemuangamiza tuu huyo shetani, na badala yake ni huyo huyo shetani alikuja kumjaribu hadi Mwana wa Mungu, na hatimaye kusulubiwa hadi kufa kwa kifo cha aibu, kisa ni shetani!.
  5. Pia nimeeleza kwa kirefu jinsi sisi binadamu tulivyo umbwa kwa mfano wa Mungu na jinsi tulivyo na nguvu za Mungu.
Karibuni sana hapa [h=3]Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila ...[/h]
Pasco

Kama mungu na shetani walikuwa na nguvu sawa(kwa maelezo yako) ilikuwaje mungu a-demand kuabudiwa na shetani kupitia uumbaji wake(Adam) au mungu alikuwa anamletea shetani ubabe, wakagombana?
 
Hujui au hutaki kujua?

Unaweza kujikuta upo Madagascar
Kufikiria kuwa kuna kilichokufikisha hapo ni ishara ya kuutumia ubongo wako vizuri

Pia ukiwaza kuwa hicho kilichokufikisha hapo ni meli hata kama huna ushahidi ni ishara ya kutumia akili yako vyema na hata kama ukija kujua kuwa kilichokufikisha hapo ni ungo hautaonekana huna maana

Lakini unapodai kuwa hujui namna ulivyofika hapo na kuna wanaokuambia kuwa kuna kilichokufikisha hapo na unakana na kudai hujui huku ukijua kabisa HUWEZI kufika hapo hivihivi tu ndugu utakuwa una ajenda yako unayoijua mwenyewe

Na kama hutakuwa na ajenda yoyote basi kwenye mfumo wako wa kufikiri kutakuwa na mushkeli ......!!!!!!!

Naweza "kuamini" kuwa nimefika hapo kisiwani kwa meli baada ya kuambiwa na Eiyer kumbe ukweli ni kuwa nilifika kwa ndege. Kama vipi nithibitishie kuwa nilifika kwa meli na siyo ndege.
 
Mkuu Tiger, dhana ya kwamba Mungu alimuumba shetani ili awe shetani ili autumie ushetani huo aliomuumbia kutuadhibu sisi watu wake, kisha watakaofuata shetani, waadhibiwe akiwemo Mwanaye mpandwa wake aliyeadhibiwa bila kosa kwa kuteswa, kusulubiwa hadi kifo cha aibu pale msalabani, yaani yote hiyo ilikuwa ni plan ya The One and Oly God?!, this doesn't make sense and there is mo logig in it!.

Ukweli ni huu, Mungu alituumba kwa mfano wake, na kutupa nguvu za Uungu ndani yetu!. Wakati anatuumba, shetani tayari alikwisha kuwako siku nyingi!. Mungu akatupa uwezo wa kifanya kila kitu ikiwemo nguvu za kumzuia shetani, pia akatupa mafunzo kuwa usifanye hiki, na huki ni cha shetani, ula pia akatupa utashi wa kuamua tumfuate Mungu au shetani, Eva ndio akalianzisha, Adamu akafuatia hatimaye tumejikuta tunaangamizwa na shetani!. Mungu alichokifanya kwenye kutupa utashi, ametupa choices kuchagua kati ya yeye na shetani!.

Uamuzi wa kumfuata shetani is by choice, Mungu ametupa uwezo wa Kimungu ndani yetu kuzuia mbinu zozote za shetani, controll ya uwezo huu wa Kimungu, inafanyika kwa utashi, na unachotakiwa kufanya ni kuamini tuu!. Mungu anaufalme wake The Kingdom of heaven, na shetani ana ufalme wake the kingdom of hell, kule jehanum ya moto wa milele!. Baada ya Mungu kutuumba na hizo nguvu za Uungu, ili tuzitumie kumtumikia na kuingia kwenye The Kingdom of Heaven, shetani naye kwa kutumia powers of darkness, anafanya juhudi kubwa kuwavuna watu wa Mungu ili apate wafuasi wa kumsindikiza kule kwenye ufalme wake, the kingdom of hell!.

Hivi vita vyote kati ya mema na mabaya vinavyopioganwa humu duniani hadi humu jf, ni works of powers kati ya nguvu za Mwanga na nguvu za giza!, kati ya watumishi wa Mungu na wale wa shetani!.
Nawashauri tuwe waangalifu sana!.
Pasco.

Mungu hakujua kama shetani ataasi? Kwanini alimuacha aendelee kuwepo?
Je, alishindwa kuchukua hatua?
Je, aliamua kumuacha makusudi? Kwa lengo gani?
 
Kosa kubwa unalolifanya ni kujadili kuwepo ama kutokywepo kwa Mungu huku ukutsngulia kumuweka Mungu level sawa na yako, ukihoji habari za Mungu kwa rejea ya kiswahili, si si wasomi wa kati tunajua kuna maneno kwenye kiswahili yameandikwa kwa kuwa tu ndiyo yaliyokuwa na maana ambayo inaelekeana na si kwamba ndiyo ili kuwa maana sawia, hivyo hutegemea zaidi mantiki ya maelezo yote kuliko sentensi au maana ya neno moja moja....

Tupe darasa mkuu.
Tupe fafanuzi mujarabu.
 
Kwa mtindo wa kumtafuta Mungu kwenye maandishi ni uhakika huwezi kumjua na sio ajabu kuhitimisha kwamba hsyupo, Mungu waweza kumtafuta kumjua kupitia wewe mwenyewe au ulimwengu na vijazavyo humo ndimo Mungu anapnekana na kusomeka vizuri kabisa kwa wenye kutafakari,ukimtafuta vitabuni Huyo atakuwa sio Mungu halisi labda utapata CV yake ambayo pia utahitaji mawazo au fikra za ziada kumjua...

Mungu anayezungumziwa ni yule tunayemsoma kwenye vitabu. Ila kama wewe una maelezo nje ya vitabu, tupe ili tumjue mungu wako.
 
Mh! Mbona unanitisha hapa? Hebu fafanua kwanza mi naogopa ku-offend watu hapa.

Ipo wazi ukifata maandiko na ni wajibu wako kufata au kutofata maandiko afu je bila kutumia maandiko niambie why humans and why death na mawingu na bahari yametoka wapi tel me 4rm your intellect afu ntaprove yupo
 
Kama mungu na shetani walikuwa na nguvu sawa(kwa maelezo yako) ilikuwaje mungu a-demand kuabudiwa na shetani kupitia uumbaji wake(Adam) au mungu alikuwa anamletea shetani ubabe, wakagombana?
Kanisome tena huku umetuliza kichwa, sijasema popote kuwa Mungu ana uwezo sawa na shetani, nimesema Mungu ana uwezo zaidi ya shetani, ila nimesema mwanzo wao ni the same na source of powers is the same!.
Pasco.
 
Ipo wazi ukifata maandiko na ni wajibu wako kufata au kutofata maandiko afu je bila kutumia maandiko niambie why humans and why death na mawingu na bahari yametoka wapi tel me 4rm your intellect afu ntaprove yupo


Nilikuuliza kwanini unatumia "HIS wish" na siyo HER wish au "ITS wish" ukasema kwakuwa yeye alimtumia Mary kumleta Yesu.
Ulikuwa na maana gani? Kwamba lazima mungu awe mwanaume(HE) ili kumleta Yesu. Huona kuna tusi limejificha hapo?
 
Back
Top Bottom