Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

GOD loves us even more than angels he gave emotions ,we can sex,taste food ,do whatever but said do good and nt evil because i gave you mind to fight evil because am who wil be forever

Aren't you contradicting yourself? Previously you mentioned that the Kingdom of God is "never in sinful place." But here you say that God has given us the will to do whatever we want on this planet Earth which is part of God's Kingdom. We have the choice to do evil or good.
 
Aren't you contradicting yourself? Previously you mentioned that the Kingdom of God is "never in sinful place." But here you say that God has given us the will to do whatever we want on this planet Earth which is part of God's Kingdom. We have the choice to do evil or good.

we have the choice to do good and evil so as he wants to see whether you trust on him or what ..God created earth and for us by his wish and had a kingdom before.
 
Nyie watu, hivi huwa mnachukua muda hata kidogo lakini kuresearch hizi story au ukiona imekufurahisha nafsi tu unaikopi na kuipaste, THE FKIN HOAX HAS BEEN ON THE NET FOR QUIET SOME YEARS NOW!!! uvugizi, hebu shughulisha hicho kichwa chako bana, LABDA KAMA LENGO LAKO NI KUPOTOSHA TU.
 
Last edited by a moderator:
Can you prove that?

Nikwamba kama huamini amini unachoamini ila forget about GOD ,You want to avoid GOD In order to prove if he exists thats the first ,if you know he doesnt exists why do you want to prove you know why is because you are finding the truth because you just knw what you know ukifahamu people why hawataki kufa utapata majibu
 
indeed. The laws of physics are perfectly balanced with precise constants, and the sub atomic particles just have the right mass n charges to make life possible. The DNA complexity is way beyond comprehension. Mambo yote haya hayawezi kutokea by coincidence tu, God doesn't play dice!!

Huyo Mungu nahisi yuko complex zaidi ya laws of physics, lakini mwanzo wake yeye HAUPO! Clever Pagans!
 
Tatizo ni dogo hapa ambalo wengi hawalijua kuhusu huyu kiranga na wenzie...a.k.a walio kariri kuhusu sayansi.
Wanadhani kutuficha sisi majina yao kwa ID fake hapa jf na MMungu hawajui wala hawafahamu.
My dear ebu changamkeni mkatubu fa6 kwasababu huyo Mungu mnae mtania kama vile mpendavyo anakuoneni na akujueni!
Nakuombeeni Kwake awasamehe kwa yale maovu mtendayo na ayageuze yote maovu na kua mema kwenu amen.....
tatizo la Mungu ni mwoga . Kama anajiamini aje hapa ajitetee. personally namchukia Mungu maana a
natumiwa na wadhaifu kutawala wenye uwezo. Go to hell God!
 
mkuu kiranga, umeuliza swali gumu, lakini nalo lina majibu. Ni nzuri pia pasco akisoma hii. Sio kwamba mungu karuhusu mabaya yawezekane. Hapana. Ni zaidi ya hiyo. Mungu ndiye aliyemtengeneza lucifer, huku akijua hakika kwamba atakuwa muasi, atakuwa mbaya. Na lucifer huyo, asingeweza kuepuka kuwa mbaya. Asingeweza, kwa sababu mungu ndiye aliyemtengeneza ili awe mbaya.

Sasa jibu la swali lako, kwamba ‘mungu ana haki ya kumhukumu kwa ubaya?’. Ukifuata ‘reasoning’ ya kawaida ya sisi binadamu, mungu ‘hana haki’ ya kumhukumu shetani kwa ubaya.

Lakini mungu ana tabia nyingine ambayo inakwenda kinyume na ‘reasoning’ ya kibinadamu.
Mungu akitaka, anaweza kukuumba ili utende mabaya, halafu anakuhukumu kwa kutenda hayo mabaya. Pia mungu akitaka, anakuumba utende mema (haki) halafu anakuzawadia uzima wa milele kwa kutenda hayo mema.
Hii ni tabia ya mungu ambayo ni ngumu kwa sisi kukubaliana nayo. Maana ya wema wa mungu haifanani na 'definition' ya binadamu ya wema.

Mwandishi wa kitabu cha warumi kilicho katika biblia ameandika hivi, ‘romans 9:[sup] 10[/sup] …when rebecca also had conceived by one, even by our father isaac;
[sup]11[/sup] (for the children being not yet born, neither having done any good or evil, that the purpose of god according to election might stand, not of works, but of him that calleth😉
[sup]12[/sup] it was said unto her, the elder shall serve the younger.
[sup]13[/sup] as it is written, jacob have i loved, but esau have i hated (my comment: Mungu alimchagua jacob, akamkataa esau tangu wakiwa tumboni, wakiwa hawajatenda wala hawajui jema na baya- hii inatuonyesha kusudi lake la kumchagua amtakaye na kumkataa asiyemtaka).
[sup]14[/sup] what shall we say then? is there unrighteousness with god? (my comment: Mwandishi alijiuliza swali kama unalouliza wewe!) god forbid.
[sup]15[/sup] for he saith to moses, i will have mercy on whom i will have mercy, and i will have compassion on whom i will have compassion.
[sup]16[/sup] so then it is not of him that willeth, nor of him that runneth, but of god that sheweth mercy.
[sup]17[/sup] for the scripture saith unto pharaoh, even for this same purpose have i raised thee up, that i might shew my power in thee, and that my name might be declared throughout all the earth.
[sup]18[/sup] therefore hath he mercy on whom he will have mercy, and whom he will he hardeneth.
[sup]19[/sup] thou wilt say then unto me, why doth he yet find fault? For who hath resisted his will?
[sup]20[/sup] nay but, o man, who art thou that repliest against god? Shall the thing formed say to him that formed it, why hast thou made me thus?
[sup]21[/sup] hath not the potter power over the clay, of the same lump to make one vessel unto honour, and another unto dishonour?
[sup]22[/sup] what if god, willing to shew his wrath, and to make his power known, endured with much longsuffering the vessels of wrath fitted to destruction:
[sup]23[/sup] and that he might make known the riches of his glory on the vessels of mercy, which he had afore prepared unto glory…
kwa hiyo, ni uamuzi wa mungu, amrehemu yupi, na yupi amfanye kuwa mgumu. Pia ni uamuzi wa mungu, kumtengeneza lucifer/satan na kumhukumu pia. It’s god’s choice that we cannot get ‘reasonable’ answers if we question him’.
We should just bow our heads down and tell god, ‘if possible, let me be one of those on whom you will have mercy!’.

:a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13:
 
"if an all powerfull,all knowing and all capable god can let this happen isnt that his will" nadhani hautanishtaki kwa kunukuu maneno yako.asiyeamini katika yeye ni mwabudu wa shetani.kama giza ni kutokuwepo kwa mwanga basi evil ni kutokuwepo kwa mungu katika nafsi ya mtu fulani.ukifumba macho yako unaweza kusema kuwa dunia imeingiwa na giza la kutisha si ndivyo? ila ukifumbua macho nuru ile hurudi tna na kuyaangaza macho yako.ukisema hayupo ni sawa na kufumba jicho utaona giza tu ila nuru bado inaangaza.
Mungu aliumbwa na Warumi ili wamtumie kutawala dunia. Na bahati mbaya wanaoamini uwepo wa Mungu hawasomi hata hivyo vitabu vya dini kama bibilia na Qurani. Kwenye hivyo vitabu, kuna mafumbo mengi (lost symbols?), ambayo watu wanoakaririshwa vifungu hawawezi kuelewa.

Kwa mfano, kwenye agano jipya, Mtume Yesu anasema, huwezi kuingia ufalme wa mbigu , kama hujawa kama mtoto. Na wote tunajua kwamba siku zote mtoto anaweza hatumii akili za kufundishwa kuamua jambo lake, yaani kinachomwongoza mtoto ni matamanio yake tu, yaani will power! Sasa i wapi busara ya binadamu kumwogopa Mungu, kama yeye mwenyewe anajifananisha na mtoto mdogo?
 
Hayo ni maandiko matakatifu sio kitabu cha physics you need high spiritual sense and help from whom you beliv to understand what it means go test your IQ at www.tickle.com
 
Mkuu Rapture, hiki ulichoandika kuhumhusu Mungu ni abomination!, unamaanisha Mungu ndie Shetani!, Mungu ndie aliyemuumba shetani na aliyemuwezesha shetani kufanya ushetani?!. Baadhi ya vitendo vya kishetani vinavyotokea ni Mungu ndio ameviwezesha?! Yaani Mungu akuumbe ili utende mabaya (ushetani) halafu aje akuhukumu kwa huo ushetani aliokuumbia!?. No Way!.

Kuna tatizo kubwa la thinking limitations kwenye mwanza wa Mungu na sources of Godly Powers v/s mwanzo wa shetani na nguvu za kishetani!.

Kwa vile hakuna ajuaye mwanzo wa Mungu wala source of powers zake, nilisema logic yangu inaniambia mwanzo wa Mungu ndio mwanzo wa shetani! na source ya powers za Mungu ndio the same source ya powers za shetani!. Wengi mmeaminishwa Mungu alimuumba shetani, na kwa muktadha wako, ili aje amuasi, kisha amtume mwanaye mpendwa wake anayependezwa naye aje kuukomboa ulimwengu ulioteketezwa na shetani aliyemuumba ili aje kuufanya huo ushetani?!.

Kwa muktadha wako, Mungu alimuumba shetani ili aje kufanya huo ushetani, kisha akamtuma Huyo Mwanaye naye ili aje ajaribiwe na yule yule shetani aliyepewa ushetani na Mungu kisha ushetani huo ukatumika kumtesa, kumsulubisha hadi kifo msalabani?!.

Sorry hoja yako hii, doesn't make sense at all kea sababu its simply illogical!.
Naamini ulinisoma kule kuhusiana na Mungu na shetani, na sii nia yangu kuufufua tena ule mjadala, ila God is powers, good spirit, na shetani is power, bad spirit!, kila jema latoka kwa Mungu na kila baya latoika kwa shetani!.

Zile sifa kuu tatu za Mungu, omnipotence, omnipresent na omniscience, shetani pia anazo!. Mungu alipotuumba, alituumba kwa mfano wake na kutupa nguvu za Uungu ndani yetu, hivyo kwenye ile omnipesence ya Mungu, yumo ndani yetu na ametupa uwezo wa intellect, emotion na willpower ili tutende yaliyo mema, ila shetani pia ametumia omnipresence yake kutufikia tulipo na kwa kutumia nguvu za giza, kwa lengo la kutupoteza tusimtumikie Mungu!.

Japo tumeaminishwa kuwa only God ndio infinity, shetani ana mwisho wake!, take it from me, shetani pia hana mwisho na atakuwepo mpaka mwisho!.

Kitu ambacho nakubali ni kuwa Mungu ana nguvu zaidi ya shetani ni kwenye uumbaji, trinity na kuruhusu end of life ambavyo shetani hawezi!, inamaana hata shetani atende maovu vipi, hawezi kutoa roho wala kuumba, hivyo Mungu ni zaidi ya shetani!.

Pasco.
Mkuu@pasco, umeongea vizuri, lakini mwisho umeingia woga kwa kumfagilia Mungu dhidi ya shetani. Swali hapa ni Je nani aliumba mwingine? Is satan self made, and if not was he made by God? Na kama alitengezwa na Mungu, alitengenezwa for wahta purpose? Na kama alitengenezwa aharibu ulimwengu, why are we makining a ----ing noise kumpinga shetani makanisani na misikitini kumsaidia Mungu asituharibu?
 
Mkuu@pasco, umeongea vizuri, lakini mwisho umeingia woga kwa kumfagilia Mungu dhidi ya shetani. Swali hapa ni Je nani aliumba mwingine? Is satan self made, and if not was he made by God? Na kama alitengezwa na Mungu, alitengenezwa for wahta purpose? Na kama alitengenezwa aharibu ulimwengu, why are we makining a ----ing noise kumpinga shetani makanisani na misikitini kumsaidia Mungu asituharibu?

wataelewa tu@mkuu
 
Na hata kama uchawi upo kweli, that does not prove mungu yupo.

Arthur C. Clarke said "Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic.
Kama science doesnt prove Mungu yupo huku uchawi ni evidence ya whats written in the bible since uchawi wenyewe umeandikwa, na kuona hilo bado unabisha kua uchawi waweza kua science ambayo ni advanced zaidi, basi that simply shows science obeys religion, na kwa kujaribu kusema uchawi ni advanced science sawa na prediction yangu kua utasema uchawi ni science, umejionyesha wazi, wewe napoteza muda na wewe.

Tafuta evidence sasa uprove maana naona wewe hadi einstein anaekubali uwepo wa Mungu umemshinda..
 
in a serious case prove using ur thnkng capability si flani kasema or what we umesemaje?
 
Mkuu Rapture, hiki ulichoandika kuhumhusu Mungu ni abomination!, unamaanisha Mungu ndie Shetani!, Mungu ndie aliyemuumba shetani na aliyemuwezesha shetani kufanya ushetani?!. Baadhi ya vitendo vya kishetani vinavyotokea ni Mungu ndio ameviwezesha?! Yaani Mungu akuumbe ili utende mabaya (ushetani) halafu aje akuhukumu kwa huo ushetani aliokuumbia!?. No Way!.

Kuna tatizo kubwa la thinking limitations kwenye mwanza wa Mungu na sources of Godly Powers v/s mwanzo wa shetani na nguvu za kishetani!.

Kwa vile hakuna ajuaye mwanzo wa Mungu wala source of powers zake, nilisema logic yangu inaniambia mwanzo wa Mungu ndio mwanzo wa shetani! na source ya powers za Mungu ndio the same source ya powers za shetani!. Wengi mmeaminishwa Mungu alimuumba shetani, na kwa muktadha wako, ili aje amuasi, kisha amtume mwanaye mpendwa wake anayependezwa naye aje kuukomboa ulimwengu ulioteketezwa na shetani aliyemuumba ili aje kuufanya huo ushetani?!.

Kwa muktadha wako, Mungu alimuumba shetani ili aje kufanya huo ushetani, kisha akamtuma Huyo Mwanaye naye ili aje ajaribiwe na yule yule shetani aliyepewa ushetani na Mungu kisha ushetani huo ukatumika kumtesa, kumsulubisha hadi kifo msalabani?!.

Sorry hoja yako hii, doesn't make sense at all kea sababu its simply illogical!.
Naamini ulinisoma kule kuhusiana na Mungu na shetani, na sii nia yangu kuufufua tena ule mjadala, ila God is powers, good spirit, na shetani is power, bad spirit!, kila jema latoka kwa Mungu na kila baya latoika kwa shetani!.

Zile sifa kuu tatu za Mungu, omnipotence, omnipresent na omniscience, shetani pia anazo!. Mungu alipotuumba, alituumba kwa mfano wake na kutupa nguvu za Uungu ndani yetu, hivyo kwenye ile omnipesence ya Mungu, yumo ndani yetu na ametupa uwezo wa intellect, emotion na willpower ili tutende yaliyo mema, ila shetani pia ametumia omnipresence yake kutufikia tulipo na kwa kutumia nguvu za giza, kwa lengo la kutupoteza tusimtumikie Mungu!.

Japo tumeaminishwa kuwa only God ndio infinity, shetani ana mwisho wake!, take it from me, shetani pia hana mwisho na atakuwepo mpaka mwisho!.

Kitu ambacho nakubali ni kuwa Mungu ana nguvu zaidi ya shetani ni kwenye uumbaji, trinity na kuruhusu end of life ambavyo shetani hawezi!, inamaana hata shetani atende maovu vipi, hawezi kutoa roho wala kuumba, hivyo Mungu ni zaidi ya shetani!.

Pasco.

Mkuu Pasco, alicho eleza Rapture man ndiyo hasa dini zinavyomuelezea Mungu. Kwamba yeye ni mjuzi wa yote. Na kwakuwa yeye ni mjuzi wa yote, alijua kabla hajamuumba shetana kuwa shetani atakuja kumuasi, na ili mpango wakewa kumleta Yesu utimie, shetani hakuwa uwezo wa kukwepa uasi, ili neno litimie.

Mwisho wa siku watu wanaenda kutiwa kiberiti kwa mpango wa huyo huyo Mungu mwenye "upendo mkuu" na si shetani. Kwa kuwa yeye ndiye mjuzi na mpangaji wa yote.
(bado hatumjui mungu)
 
how many colours are there in a rainbow?how many continents in the world?how many days in a week?how many wonders of the world?how many holes in your body?GOD created the world in 6 days and rest the 7th,je zero ni hakipo,hakionekani au hakuna kitu?kama mbele ya zero ni moja na nyuma ni negative moja, na number hazina mwisho then GOD IS THERE ANYTIME.


Huyo Mungu mwenye uwezo mkuu lakini anafanya kazi, anachoka na kuhitaji kupumzika na kustarehe ndiye anafanya niseme, "hatumjui mungu bado", tena maelezo hayo tunaa mbiwa ni maneno yake mwenye. Kweli Mungu hajasingiziwa hapa? Stefano Mtangoo mjuu kuu wa babu yetu mzee Mtangoo hebu weka mambo sawa hapa.
 
we have the choice to do good and evil so as he wants to see whether you trust on him or what ..God created earth and for us by his wish and had a kingdom before.

Why "his" wish and not "her" or "its" wish?
 
tatizo la Mungu ni mwoga . Kama anajiamini aje hapa ajitetee. personally namchukia Mungu maana a
natumiwa na wadhaifu kutawala wenye uwezo. Go to hell God!

ha ha ha ha.....mkuuu ur so funny hivi umeshilikisha ubongo kweli kabla hujapost
 
Back
Top Bottom