Who said its weakness? I was showing your religion is not science since it fails to pass the test!
Binafsi ninachoweza kusema so far nikwamba sifahamu tumetoka wapi na sidhani kama ni kosa au ni kutokwa na akili kusema hivyo.
Evolution theory imejitahidi kutueleza tumetoka wapi japo sikubalianinayo kwa mengi, aidha dini inajaribu kufanya hivyo isipokuwa namna dini inavyomuelezea Mungu na utendaji wake ndivyo vitu hasa vinavyofanya baadhi ya watu kum-doubt huyo Mungu na hivyo kufikiri pengine kuna kitu hatufahamu kuhusu Mungu.
Mkuu usiongee basi kama umemeza sana science, field ya quantum physics waachie wenyewe, hata wababe kwenye hiyo field bado wanasema theres something beyond,
sababu science inastudy nature doesn't mean it goes against creation,
we unadhani hata wanaoamini Mungu hawaamini science?
ulipewa akili ili uweze kustudy uumbaji ulivofanyika vilevile.. Kama watu wanakubaliana na BigBang theory,
basi wapingane na Law of conservation of energy maana watakua wanakubaliana kua all this energy simply came from nothing,
who has proven the bigbang with concrete evidence??
simply, No one.. Kama ambavyo hamna aliyeshawahi kutengeneza devices za perpetual motion, basi vilevile wasiamini bigbang... Religion unaweza ukaidharau simply cause hujaingia deep kujua what really goes on inside, we mbona uchawi upo na unaonekana? mtu anapaaje bila fuel? au coz vimefichwa machoni kwako huoni? nenda swanga ulizia utaonyeshwa maajabu, human teleportation kwa kutumia rungu ndio utakavorudi kuanza kuelezea ma string theory hapa kua ulipelekwa parallel universe kwa kua simply hutotaka kuamini..
Evolution theory haikidhi kabisa swali la chanzo chetu.
Evolution theory haikidhi kabisa swali la chanzo chetu.
Ina mengi ambayo hayajaeleweka, the same applies to the big bang theory.
Kwangu mimi uzuri wa sayansi si kwamba ina kila jibu la kila swali, bali kwamba inakubali kwamba haina kila jibu la kila swali.
Uzuri wa sayansi ni ile scientific process inayoruhusu uchunguzi, inayopenda maswali magumu.
Inayoweza ku converge kwenye ukweli hata kama ukweli hatuujui sasa.
Inayoweza kutoa predictions na predictions zikawa tested.
Inayokubali experimentation ku establish repeatability.
Sio unaambiwa kuamini tu kwa sababu mungu kasema.
Ukitaka uthibitisho kwamba mungu yupo, unaambiwa unakufuru.
Haya ni mahubiri ambayo hayajajibu swali la msingi la kwa nini mungu mjuzi wa yote, muweza yote, mwenye upendo wa juu karuhusu mabaya yawezekane.
Let me play devil's advocate for a second.
Mungu alimjua shetani na nyendo zake zote kabla shetani hajaumbwa, right? ( the answer must be right, if not, then god does not know everything)
Sasa shetani ambaye kashahukumiwa kuishi na kuwa shetani, kwa mujibu wa maono ya mungu,ambayo hayakosei,angewezaje kuepuka kuwa mbaya?
Na kama hakuweza kuepuka kuwa mbaya, mungu ana haki ya kumhukumu kwa ubaya?
Katika makala haya, tutaangalia jinsi wanasayansi wa kawaida, tena ambao walikuwa hawaamini kabisa kwamba kuna Mungu au shetani, katika utafiti wao ambao haukuwa na uhusiano wowote na masuala ya rohoni, walijikuta wanagundua mambo ambayo yaliwatia hofu hadi wengine kukimbia kazi. Waliweza kusikia waziwazi sauti za vilio vya mateso kutokea katikati ya dunia! Sauti hizo walizirekodi; na mwisho wa makala haya utaona anwani inayoweza kukupeleka kuzisikia sauti hizo za kutisha na kusikitisha mno, mno!!
Ni nani ambaye hajasikia habari za kwamba wanga huenda baharini, wakatupa mayai viza kisha malango yanafunguka nao wanashuka hadi kuzimu? Bila shaka habari hizi si ngeni masikioni mwa wengi wetu? Ni mambo ambayo ni rahisi kuaminika katika ulimwengu wa kawaida lakini unapoyaongelea kwa mtazamo wa Biblia, hapo watu wanaanza kukosa imani na kudhani kuwa si za kweli.
Makala haya yanatokana na habari ambayo iliandikwa katika gazeti la Ammennusatia la kule Finland katika toleo lake la Julai 1989.
Sehemu ya gazeti
Kikundi kimoja cha wanajiologia (wana elimu ya miamba) wa Kirusi walikuwa katika mradi wa kutoboa tundu katika eneo la Kola, karibu na Murmansk; maili takriban 150 kaskazini mwa Duara la Aktiki, nchini Siberia. Watafiti hao waliweza kutoboa tundu ardhini lenye urefu wa kilometa 14.4 kwenda chini.
Dr Azzacov, ambaye alikuwa ndiye meneja wa mradi alisema kuwa wakati wa kutoboa, ghafla drili ilianza kuzunguka bila utaratibu, hali iliyoonyesha kwamba drili imefika kwenye sehemu iliyo na uwazi.
"Taarifa tunazokusanya ni za kushangaa sana, kiasi kwamba kwa kweli tumeingiwa na hofu maana hatujui kile tunachoweza kukikuta huko chini," alisema Dr Azzacov.
"Jambo la pili lililotushangaza lilikuwa ni kiwango cha joto tulichokigundua katikati ya dunia. Mahesabu yanaonyesha kuwa joto hilo lilikuwa takribani nyuzi 1,000 za Selsiasi," aliongeza kusema Dr Azzacov. "Hii ni zaidi ya kile tulichotegemea. Inaonekana ni kama moto wa jehanamu unawaka kwa nguvu sana humo ndani, katikati ya dunia!"
"Ugunduzi wa mwisho ndio uliokuwa wa kushitua sana masikioni mwetu kiasi kwamba wanasayansi wana hofu kubwa ya kuendelea na mradi huu. Tulikuwa tukijaribu kusikiliza mjongeo wa dunia kila baada ya muda fulani kwa kutumia vinasasauti vya hali ya juu sana (supersensitive microphones), ambavyo tulikuwa tukivishusha hadi chini kupitia kwenye tundu tulilotoboa."
Dr Azaccov anaendelea kueleza kwamba, "Kile tulichosikia, wanasayansi hawa ambao wamezoea tu kuamini mambo yanayoleta mantiki akilini, kiliwafanya kutetemeka kwa hofu kubwa mno! Wakati mwingine hicho tulichokisikia kilisikika kwa sauti ya chini lakini kali ambayo mwanzoni tulidhani inatokana na vifaa vyetu."
"Lakini baada ya kuvirekebisha, tulibaini kwamba zilikuwa ni sauti zilizotoka katikati ya dunia kabisa. Hatukuamini masikio yetu. Tulisikia sauti ya mwanadamu akipiga kelele kwa maumivu. Japokuwa sauti moja ilikuwa inasikika kwa uwazi zaidi, tuliweza kusikia kwa nyuma sauti za maelfu, na huenda mamilioni ya watu wakilia kwa mateso na maumivu.
"Baada ya ugunduzi huu wa kutisha, nusu ya wanasayansi waliachana na mradi huo kutokana na hofu. Ni matumaini yangu kuwa hicho kilichoko huko chini kitabia hukohuko," aliongezea Dr Azzacov.
"Na kilichowamaliza kabisa nguvu hawa wanasayansi wa Kisovieti, mbali na hizo sauti walizozisikia, ilikuwa ni kutokea usiku uleule kwa gesi inayong'aa kutoka kwenye tundu lile walilokuwa wamelitoboa; na katikati yake alijitokeza kiumbe mwenye mabawa kama ya popo pamoja na maneno yaliyokuwa yameandikwa kwa Kirusi ‘Nimeshinda'."
Baada ya mkasa huo, Dr Azzacove alisema, "Mimi kama mkomunisti, siamini juu ya mbingu au Biblia, lakini kama mwanasayansi, hivi sasa naamini juu ya kuwapo kwa kuzimu. Ni kweli tuliogopa sana kutokana na ugunduzi huo. Lakini tunajua fika kile tulichokiona na kukisikia. Tunaamini kabisa kuwa tulitoboa tundu kwenye lango la kuzimu yenyewe!"
Mkuu Rapture, hiki ulichoandika kuhumhusu Mungu ni abomination!, unamaanisha Mungu ndie Shetani!, Mungu ndie aliyemuumba shetani na aliyemuwezesha shetani kufanya ushetani?!. Baadhi ya vitendo vya kishetani vinavyotokea ni Mungu ndio ameviwezesha?! Yaani Mungu akuumbe ili utende mabaya (ushetani) halafu aje akuhukumu kwa huo ushetani aliokuumbia!?. No Way!.Mkuu Kiranga, umeuliza swali gumu, lakini nalo lina majibu. Ni nzuri pia Pasco akisoma hii. Sio kwamba Mungu karuhusu mabaya yawezekane. Hapana. Ni zaidi ya hiyo. Mungu ndiye aliyemtengeneza Lucifer, huku akijua hakika kwamba atakuwa muasi, atakuwa mbaya. Na Lucifer huyo, asingeweza kuepuka kuwa mbaya. Asingeweza, kwa sababu Mungu ndiye aliyemtengeneza ili awe mbaya.
Sasa jibu la swali lako, kwamba ‘Mungu ana haki ya kumhukumu kwa ubaya?'. Ukifuata ‘reasoning' ya kawaida ya sisi binadamu, Mungu 'hana haki' ya kumhukumu shetani kwa ubaya.
Lakini Mungu ana tabia nyingine ambayo inakwenda kinyume na ‘reasoning' ya kibinadamu.
Mungu akitaka, anaweza kukuumba ili utende mabaya, halafu anakuhukumu kwa kutenda hayo mabaya. Pia Mungu akitaka, anakuumba utende mema (haki) halafu anakuzawadia uzima wa milele kwa kutenda hayo mema.
Hii ni tabia ya Mungu ambayo ni ngumu kwa sisi kukubaliana nayo. Maana ya wema wa Mungu haifanani na 'definition' ya binadamu ya wema.
shetani ni giza na MUNGU ni NURU (THERE IS NO SHADOW WITHOUT LIGHT AND NO DARK IN LIGHT HENCE GOD CREATED AN ANGEL WHO BATRAYED BUT GOD IN HUMAN INTELLECT AND REASONING KNEW BEFORE COS ONLY KNOWS EVERYTHING HE THROW HIM OUT OF KINGDON AND BECAME EVIL)
Which Kingdom are you talking about? If the entire universe is the Kingdom of God, where does shetani live?
Hakuna aliyethibitisha kuwepo kwa mungu bado.
So planet earth doesn't belong to God because it's full of sin? Please educate me.
saba ni utimilifu wake he is there and knows what you are thinking